Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Mkuu kama hauna ushahidi ni jambo la aibu mtu mzima kuongea tuhuma za kizushi hasa kumhusisha marehemu. Tukumbuke Marehemu Sitta ana watoto je wanajisikiaje kusikia baba yao marehemu anahusishwa na mambo yaliyo kinyume na maadili na sheria? Tuweke staha ya maneno yetu, kesho kwako au kwa baba yako au kwa mtoto wako. Hizi siasa tu zisitupunguze busara.
Kama umejiunga JF juzi pole ila jaribu kufuatilia alicomment kipindi gan
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
twafwaZzzzzzz
 
Kama umejiunga JF juzi pole ila jaribu kufuatilia alicomment kipindi gan
Mkuu profile yako inasema wewe ni member since Jun 2015, na profile yangu inasema member since Jan 2012 sijui mgeni nani? Kwanza hapo tu inaonesha wewe mgeni kiasi kwamba haujui kuangalia member kajiunga lini na JF.
 
Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika
New


Lo, kumbe anamzidi hata Dr. Slaa mwenye Ph.D.? Ana degree gani na aliipata chuo gani? CV za watu ikiwa ni pamoja na umri wao hasa wenye madaraka zinakuwa wazi kwenye Google. Ukiona mtu anaficha CV yake ujue kuna kasoro
 
Dr. Slaa unadhani alipewa udoctor ka laprofeseli wa kilimo. Aka mic wa magogon.

Mkuu, katika hao uliwataja hapo kuna mkuu wa mkoa?
Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika


Mkuu, katika hao uliowataja kuna mteule wa rais hata mmoja?
yupo mkuu wa wilaya/mkoa?

mtu ameomba CV ya mteule .....
 
Mkuu profile yako inasema wewe ni member since Jun 2015, na profile yangu inasema member since Jan 2012 sijui mgeni nani? Kwanza hapo tu inaonesha wewe mgeni kiasi kwamba haujui kuangalia member kajiunga lini na JF.
Nimekueleza hivyo kutokana na ww ulivyocomment as if hiyo post ni ya juzi,wakati hii post ina zaidi ya miaka mitatu Kama sikosei
 
Nimekueleza hivyo kutokana na ww ulivyocomment as if hiyo post ni ya juzi,wakati hii post ina zaidi ya miaka mitatu Kama sikosei
Finaly now we speak same language. Kosa nililofanya mimi ni kama ulilolifanya wewe, sikuangalia tarehe ya post na wewe haukuangalia tarehe niliyojiunga JF lakini ukanishambulia mgeni. Ulitakiwa utumie busara tu kuniambia hii post ni ya muda mrefu na mimi ningekuelewa kuliko kunishambulia huku na wewe ukifanya kosa lile lile ktk muktadha tofauti. We all did a human error, after all we are humans, we can't be 100% faultless. Sio mbaya wote tumejifunza kitu ktk hili tukio.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Wee jamaa kwenye wale wababe madawa ya kulevya na wewe umo yaan ww ndiyo punda mzur .tunasubir had mwisho wake wa hii ishu upoje ila tunasuburi jina lako kwahiyo na ww jiandae
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Wewe kubwa jinga kula kulala bado upo gheto unawapa mimba house girl? Unajidai una hisa swahili TV kumbe unafagia choo kwa mujibu wa boss wako Emmanuel Likuda, CV za Sugu na mbowe ni za kawaida lakini wana Akili na Elimu Dunia kuliko hao wenye PHD za kununua mitihani kuiba matokeo na kununua vyeti ( wasomi feki) ww Le mutuz akili yako kama ya Lipumba, kapuya na wenzao wanaojiita wasomi lakini ni wajinga kuliko hata mtu wa darasa la pili, ww unajidai umesoma huko marekani mbona sasa umeishia kuwa mpambe wa Devis mosha? na kuishi gheto na house boy, huna mke wala familila usomi wako umekusaidia nini? au umesomea kukesha usiku kwenye club na wanawake?
 
Yaani makonda kaamua kupoteza pesa zake kwa kubwa jinga Le-mutuz lije kummtetea humu jukwaani kwa kumwita Makonda msomi mwenye CV kubwa! hivi CV kubwa bongo zimelifanyia nini Taifa hili? Wenye PhD ndiyo walinunua kivuko feki, wenye PhD ndiyo walinunua mabehewa chakavu, wenye PhD ndiyo wamekuwa wakisaini mikataba mibovu kila siku, hata kule NSSF mwenye PhD ndiyo alipiga pesa za daraja na majengo mengine, wanaojiita wasomi Tanzania ni tofauti na wasomi wa Nchi zingine, wasomi wa Tanzania wengi wamesomea ufisadi na wengi ni wasomi feki kwa maana kwamba wanamiliki vyeti vya kugushi na hata aliyefaulu mitihani aliiba mitihani.
 
- Mvuto wa jamii upo CCM ndio maana ni Watawala toka tupate uhuru, wasio na mvuto wapo pembeni wanalipwa kupiga kelele ok!!

Le Mutuz
Wewe mbona ni mpambe wa Devis mosha? huna lolote kubwa jinga wewe hupati hata katibu tawala wa wilaya ya mbinga kwani kichwani mwako umejaza mafuta kwenye Ubongo baada ya kujinenepeana sana, CCM hawakutaki japo unajipendekeza sana lakini wanajua tabia zako za kukesha kwenye bar usiku ukisaka wanawake ukiamini huo ndiyo usomi na cv bora .
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Noted
 
Hello wana jamvi nawaombeni sana mnipatie CV's za Mteule wa Rais kwenye Wilaya wa Kinondoni Paul Makonda.

Napenda kujua hasa pia maisha yake ndani na nje ya siasa.
Alipita pale chuo cha uvuvi nyegezi japo alipatwa na skendo ikabidi mama yake ajekumuombea asitimuliwe
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
kubwa jinga, nakuona ushakuja
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Nasikia unaushirikiano mkubwa na wauza sembe.Vipi kuhusu wewe unaonaje tukafanya upimaji?
 
Back
Top Bottom