Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
si kwa kujikomba huko na uzee huo.
 
alifeli pale Muccobs sitta akapiga simu apasishwe haraka sana
Kufeli kitu gani?
Mbona yule RC dokta aliboronga na alipotumbuliwa alilia?
Lakini kazi ya Makonda si unaiona?
Tena usimpime kabisa! Utazama na elimu zako.
Jembe hilo.
Watu mnaringia vyeti ila ujasiri ni sifuri.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

alo nunua cheti cha F4 Na kujibadilisha Jina ?
watu wengine bwana ati unaulizwa unalewa jawabu muulize kaka yako kam analewa...kama alikuwa rais wa wanafunzi hata sisi tulikuwa lakini tulifika vyuoni halali kabisa sio ma vyeti ya kufoji na kubadilisha majina
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

We ndiyo maana ndugu zako walikutenga waliona ufananii kabisa na wao unatia aibu familia..bogas kwel we jamaa
 
Thanks!!

Nakifahamu hicho chuo (Chuo cha Ushirika). Sikuwa najua kifupi chake.

Ila masahihisho kidogo, Chuo hicho hakijawahi kuwa sehemu ya SUA ...... Bahati nzuri, mimi pia ni graduate wa SUA!!
Ushirika moshi Kilishawahi kua sehemu ya SUA,kama hujui bora ungenyamaza tu
 
Naamini makonda hajachakachua vyeti vyake, na kwa jinsi alivyo MTU wa Mungu ataonyesha mubashara vyeti vyake vyote vya toka darasa la saba mbele ya waandishi huku pembeni akiwa na baadhi ya waalimu wake wa secondary.
 
Hilo jibu lilitakiwa lijibiwe na 16 years old sio old man with 56 kama wewe!

Mtu ameuliza wasifu wa DC mpya, wewe unadai wasifu wa Sugu.

Ndo ulivyojifunza namna ya kujibu maswali kwenye hzo degree tatu?
Tatizo sio degree tatu....!ni uvivu wa kufikiri alionao.
 
Tuhuma za Academic dishonesty ni serious allegation.

Serikali nzima ilikuwa katika uhakiki wa vyeti feki, kama tuhuma dhidi ya mkuu wa mkoa ni kweli then hili ni doa
 
Wadau atakayepata CV yake aongeze na hii: kashindwa kuilewa rasmu ya warioba!

Makonda CV:
  1. Ni Mtoto wa mtaani.
  2. Alifeli Muccos.
  3. Alimpiga Jaji Warioba.
  4. Alifeli mpango wa kulipia nauli Waalimu.
  5. Alimtuhumu PM Majaliwa kuruhusu shisha Tanzania.
  6. Alimtuhumu Kamanda Sirro kwa kuhogwa milioni 5 tano na Wauza shisha.
  7. Amekurupuka kusimamia vita vya kupambana na madawa kulevya.
  8. Anatakiwa kwenda kujieleza mbele ya Bunge kwa kulidharau.
  9. Amefungwa gavana kwa sasa haruhusiwi kutaja majina ya wauza unga.
  10. Very soon anakwena kupotea kwenye ramani za kisiasa Tanzania.
  11. Na +++++++........!
 
Kwa hali hii rafiki yake Magufuli nae ahakikiwe vyeti vyake aisee!
 
Kwa hali hii Makonda na rafiki yake Magufuli nae ahakikiwe vyeti vyake...maana siyo kwa umburulaazzz huu walio nao aisee!
 
Nimekuta sehemu kuwa inasemekana Daudi Albert Makonda alinunua vyeti vya mtangazaji Paul Christian Kagezi.

Kwa wale waliosoma naye primary na secondary hebu tujulishe. Ni kweli hapo nyuma Alikuwa akiitwa Daudi Albert Christian Kagezi ila alipopata division 0 ndyo akanunua cheti?

Wale pia mliosoma naye chuo vipi uwezo wake wa darasani?
 
Back
Top Bottom