Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Kama Paul amefanywa kuwa DC wa Kinondoni kama sehemu ya mpango mkakati wa uchaguzi mkuu, basi, Prof. Dr. Lt. Col. kaamua "kuisaliti" Ccm!
 
hawawezi kuingia ikulu hao hata kama Nyerere amekufa miaka 50 iliyopita, ni wamelaniwa na mwalimu
 
Unachosha na wewe na kejeli zako za kijingaaaa, msomi wa dunia awe makonda??? au unataka sifa, umekosa hata uDC, mama kapata Unaibu tulia.

huyo ni kubwa jinga mwili mkubwa kichwani hamna kitu kama baba yake
 
Le Mutuz .....ni kweli mvuto wa jamii upo CCM kwa kuwa ni chama tawala tangu tupate uhuru???confirm this ili tuwaambie wanaochukua masomo ya civics na history.
 
alifeli pale Muccobs sitta akapiga simu apasishwe haraka sana


4PwvDfB02n4kotMAAAAASUVORK5CYII=


Paulo alikuwa bize na usingizi na kusahau madesa!
 
kumbe ni kichwa,maana zitto kabwe anayo ya 2.6.

Mbowe yeye hajawahi fika chuo kikuu alipata ZERO mtihani wa form 6,hata habari ya GPA mbowe yeye haimhusu! Chadema inaongozwa na Zombe mbumbumbu! Yani makonda na mbowe wote ni mbululazzzz
 
hapo kwenye red:halafu unatuambia una digrii tatu,yes unaweza kuwa nazo lakini lazima itakuwa john malecela alipiga simu utunukiwe hizo shahada.Kubwa jinga linaongea kama darasa la pili.

Mkuu Achana Nae Huyo Bonge! Me Hua Sielewi Comments Zake Humu, Haziendane Na Jina La Historia Ya Familia Yake! Hivi Huyu Jamaa Elimu Yake Ya Marekani Aliipataje?
 
Hahahaha mkuu huwa unanivunja mbavu sana, usijali hata hivyo wewe ni DC wa Instagram, inatosha.

Hahahahaaaa...mama yake amesubirishwa hadi imebaki miezi 7 ndo amelambishwa vipunje vya sukari....
 
Lindiwe sisulu Ndugu Paul Makonda ni msomi wa shahada mbili za sheria kutoka UDSM ni mwanasheria mahiri ni kijana aliyekulia kutoka chipukizi hadi hapo alipofikia..amezaliwa kiongozi kwani kote alipokuwepo ikiwemo skuli amekuwa kiongozi na anayo dhamira ya dhati ya kulitumikia taifa lake la tanzania kwani kazaliwa mtanzania kasoma mtanzania na atabaki mtanzania

ImageUploadedByJamiiForums1424372056.228719.jpg
Jamani, usitudanganye. Angalia picha hii inaonyesha kasoma nini huyu dogo
 
Back
Top Bottom