Hakuna haja ya elimu kubwa katika nafasi hizo za dc na rc. Kwa kuwa kazi zao ni kuelekeza , kusimamia na kumuwakilisha rais. Kinachombeba mtu pale ni ujanja, akili ya kuzaliwa nayo,japo akiwa na elimu itamsaidia kidogo.
Mfano, sisi wana Dar es salaam tunajua utendaji wa mh Makonda, lakini mnaweza kuniambia kuna kazi gani aliyoifanya ikahusisha elimu kubwa ambayo mtu wa form 4 asingefanya?
Yule dogo ni mjanja sana , na kwa awamu hii atafika mbali kwakuwa tumempata rais mzuri anayetembelea sera za ukawa.
Tuwaombee , watende kazi zao kwa kujua kuwa, madara hutoka kwa Mungu