Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Le Mutuz nahisi bwabwa. Maana nikiangalia body lake na matendo yake haviendani,Hv huko kwenye danguro lenu la CCM una cheo gani vile?

- Kama kawaida CUF nao si mlisema haya haya mkaungana nao leo unajisema mwenye bila hata kuulizwa duh kweli hiyo tabia huwezi kuificha itajitokeza tu hahahahaha

Le Mutuz
 
quote_icon.png
By nyabhingi

hapo kwenye red:halafu unatuambia una digrii tatu,yes unaweza kuwa nazo lakini lazima itakuwa john malecela alipiga simu utunukiwe hizo shahada.Kubwa jinga linaongea kama darasa la pili.

- Sasa wewe elimu yangu utalinganisha na nani huko UKAWA yaani wewe utalinganisha elimu yangu na Mnyika au Sugu are U kidding me or what? hahahahaha wewe wacha wewe mnakimbia shule halafu mlitegemea kuja kuleta maneno maneno JF nenda shule waambie viongozi wako waende shule now!! hahahahaha

Le Mutuz
 
- Sasa wewe elimu yangu utalinganisha na nani huko UKAWA yaani wewe utalinganisha elimu yangu na Mnyika au Sugu are U kidding me or what? hahahahaha wewe wacha wewe mnakimbia shule halafu mlitegemea kuja kuleta maneno maneno JF nenda shule waambie viongozi wako waende shule now!! hahahahahau

Le Mutuz

Kukataa mzizi wa fitna tuwekee picha zingine na utoneshe vyeti
 

Attachments

  • 1424445134757.jpg
    1424445134757.jpg
    58 KB · Views: 358
  • 1424445148747.jpg
    1424445148747.jpg
    87 KB · Views: 338
- Sasa wewe elimu yangu utalinganisha na nani huko UKAWA yaani wewe utalinganisha elimu yangu na Mnyika au Sugu are U kidding me or what? hahahahaha wewe wacha wewe mnakimbia shule halafu mlitegemea kuja kuleta maneno maneno JF nenda shule waambie viongozi wako waende shule now!! hahahahaha

Le Mutuz

Bora wao wamechaguliwa na wananchi wewe msomi eti mwenye digrii tatu mbona ulishindwa na mke wa jafarahi em kamwandalie mama yako wa kambo maji ya kuoga ametoka kukutafutia dona
 
- Sasa wewe elimu yangu utalinganisha na nani huko UKAWA yaani wewe utalinganisha elimu yangu na Mnyika au Sugu are U kidding me or what? hahahahaha wewe wacha wewe mnakimbia shule halafu mlitegemea kuja kuleta maneno maneno JF nenda shule waambie viongozi wako waende shule now!! hahahahaha

Le Mutuz

mbona unacheka cheka tu kwenye kila post!!!! vipi mzima kweli wewe
 
Bora wao wamechaguliwa na wananchi wewe msomi eti mwenye digrii tatu mbona ulishindwa na mke wa jafarahi em kamwandalie mama yako wa kambo maji ya kuoga ametoka kukutafutia dona

- Nifungulie thread hahahaha hii hainihusu U know hahahaha

Le Mutuz
 
- Sasa wewe elimu yangu utalinganisha na nani huko UKAWA yaani wewe utalinganisha elimu yangu na Mnyika au Sugu are U kidding me or what? hahahahaha wewe wacha wewe mnakimbia shule halafu mlitegemea kuja kuleta maneno maneno JF nenda shule waambie viongozi wako waende shule now!! hahahahaha

Le Mutuz

Wewe ficha aibu yako! Usijilinganishe kabisa na Mh. Mnyika!
 
- Nifungulie thread hahahaha hii hainihusu U know hahahaha

Le Mutuz
Hakuna cha kukufungulia thread wala nini We endelea kujichekeshachekesha kama bwabwa me watu wa Mtera mnanishangaza ukiliangalia li kibajaji nalo akili ndogo kama zako mbona wananchi wa mtera wanataabu jamani
 
Watu wengine wanachekesha, eti kaendesha malori marekani, sasa anasubiria pensheni. Halafu now days ana ki blog sijui. Sasa degree zote 3 ni biashara zipi!!! Malori ya marekani na ki blog cha umbea??? 😀😀😀
 
Hakuna cha kukufungulia thread wala nini We endelea kujichekeshachekesha kama bwabwa me watu wa Mtera mnanishangaza ukiliangalia li kibajaji nalo akili ndogo kama zako mbona wananchi wa mtera wanataabu jamani

- Unazidi kujivua nguo kwamba una tabia mbaya sana yaani mjadala hauhusu then unaleta mambo yako ya chumbani hahahahaha

Le Mutuz
 
Watu wengine wanachekesha, eti kaendesha malori marekani, sasa anasubiria pensheni. Halafu now days ana ki blog sijui. Sasa degree zote 3 ni biashara zipi!!! Malori ya marekani na ki blog cha umbea??? 😀😀😀
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
- Nipo ofisini kwangu hapo Tancot House 2nd fl, zamani ilikuwa ofisi ya Air Tanzania so karibu sana I am broker hahahahaha U know ni kweli niliendesha malori nilipokuwa natafuta Degree 3 ndio zimenifanya niwe na ofisi kama hii downtown ok, hahahahahaha

Le Mutuz
 
Alishawah kuwa msadiz wa mwanawa mfalme anafunaga kamba za viatu
 
Mr mutuz embu wape vidonge hao empty brain wasio na ixhu mjini kazi kutukana watu wazito na heshima zao . hahaahaaa iam realy enjoying this
 
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
- Nipo ofisini kwangu hapo Tancot House 2nd fl, zamani ilikuwa ofisi ya Air Tanzania so karibu sana I am broker hahahahaha U know ni kweli niliendesha malori nilipokuwa natafuta Degree 3 ndio zimenifanya niwe na ofisi kama hii downtown ok, hahahahahaha

Le Mutuz

Mbona unasinzia ofisini?deal hamna au?
 
Back
Top Bottom