Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz


Makonda ni kiongozi na mwenyeki wa kamati ya ulinzi na usalama katika mkoa(kama DC)
Hata kama kasoma vipi watu wanataka kujua CV take.

Kikwete alichaguliwa kwa kuwa Handsome Leo hii nchi inajiongoza yenyewe.
 
mtu anayetaka kujua maisha ya mwenzake,anataka nn?

Ni wajibu wa mwananchi kujua CV ya kiongozi wake asije akatawaliwa hata na wenda wazimu. Ni haki yetu kabisa kujua wasifu wa viongozi wanaoingia madarakani. Tukikaa kimya tutatawaliwa hata na watu wa darasa la tatu, itakuwa nchi gani hii
 
du, kazi kweli! kwamba naye ni mteule wa Raisi! ndiomaana rasimu ya jaji warioba ilikua inaelekeza namna ya kupunguza mamlaka ya raisi kwenye teuzi mbalimbali
Wala madaraka si shida. Shida imekuja
Hizi tawala za uswazi swazi kujuana ni kwingi mno zaidi ya uteuzi unaowajali wananchi . Mwalimu R.I.P asingeweza kuweka makonda kuwa presidential appointee .utawala wa nne Ukishajitoa mhanga kuoambana na opposition hata kwa ku washauru basi Kama si mKoa ujue wilaya inakusubriri kwa mwendo huo wananchi Walie tu . Ila jamii ya Watanzania ni kizazi cha aina Yake duniani
 
Ila Kweli Pamoja Na Ufyatu Wake Au Upunguani Wake Le Mutuz Nae Alipaswa Apewe Wilaya Hata Ya Lindi Kikwete Hajamtendea Haki Le Mutuz
 
chuo chenyewe muccobs!!!! iki chuo kina accredition (you can google this), hardly a reputable instituition na pamoja na chuo chenyewe kua mwenzangu na mie bado amerudia rudia ovyo!!!
 
amedisco mara mbili muccobs akapigiwa kifua na sitta, kinara wa kutukana viongozi wa kitaifa, amewahi kumpiga mzee waryoba. hiyo ndo cv niijuayo
 
SIKU HIZI MATUSI NDO SIFA NAMBARI ONE YA KUWA KIONGOZI ....under Chinese professor.
 
- Mtaujua vizuri sana mzigo kwenye uchaguzi wa Majimbo ya Kawe na Ubungo hahahaha

Le Mutuz

Wewe jiandae kulia tu october,wapiga kura tulishashutuka toka 2010 na ndio maana kawe na ubungo tukawakabidhi CHADEMA na safari hii tunawanyang'anya mengine.
Mchezo uliuona serikali za mitaa,huna haja ya kuumiza kichwa
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Lemutuz tunakuomba sana wana jf,husijitie kitanzi kwa kuachwa solemba na wakuu kwa kutokupatia angalau kanafasi ka kuongoza nyumba kumi.pamoja na kujikombakomba kote.
 
Wasifu wa makonda wa matatu. Vidalala au mabasi ya mikoani?
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Le Mutuz nakuheshimu mkuu
Pamoja na kwamba baba yako na familia yako mnaishi kwa mgongo wa kodi za wavuja jasho jaribuni kuwa wakweli panapo hitaji ukweli.
Sigiyemwisi alilokuwa kijana alikuwa mtu wa kutegemewa sana hata kidogo ni mwone mwalimu kama alitaka kumzima miaka ile ya udiplomasia pale NY.
Lakini sasa naanza kuona kuwa lipo tatizo kwenu maana unaona hata vituko vya kina Lusinde.
Sasa kwa heshima niliyo nayo kwako jaribu kuwa mtu wakusaidia taifa hili usiwe kama washabiki ambao hawana exposure.
 
Kama cv ni muhimu iangalie ya waziri wako kivuli sugu.acha udaku fanya kazi unaweza kuwa hata katibu tarafa.ona wenzako sasa ni waheshimiwa

Elimu haina mwisho, tutumie jukwaa hili kuelimishana pia. Matusi na jazba siyo uungwana; tujibizane kwa hoja na kistaarabu. Nafasi za u-DC na u-Ubunge ni nafasi mbili tofauti sana. Mbunge anachaguliwa na wananchi, kigezo muhimu kikiwa umahiri wa mhusika katika kuchangamana na kuishi vizuri na jamii yake. DC ni mteule mtendaji ambaye kimsingi, pamoja na mambo mengine uteuzi wake unazingatia elimu, uwezo na uzoefu katika uongozi na utawala. Bila shaka Makonda anayo cv katika maeneo hayo; labda kama Boko Halali haijui!
 
Please tuone C.V ya Le Mutuz tuone kama kodi zetu zilitumika vizuri !
 
Ngoja nikufundishe kuwa analyst mzuri...
Wewe mtoto wa Mzee Malecela una degree tatu (kwa mujibu wako, binafsi sina uhakika na hilo kwa vile hufanya ni na mtu mwenye degree tatu, nina maana wewe ni mweupe sana kichwani) Makonda ana degree moja tena ya magumashi kwa vile alikuwa hafanyi assignment na kutafuta watu wa kumsaidia, cha ajabu wewe mwenye degree tatu za vyuo vya kata kutoka sijui wapi hujazawadiwa hata ukarani wa afisa wa serikali ya mtaa, ila Makonda ni DC.
Sasa swali langu....
Utaacha lini kusifia wenzio tena vijana wadogo kama Makonda na umri wako ulionao? Wewe kila saa upo mitandaoni kusifia wanaume lini na wewe utasifiwa mkuu? Wewe ni nani nchi zaidi ya kuwa mtoto wa Malecela?
Hivi kwa umri wako, degree zako feki unazojisifiaga na umbo lako, wewe ni mtu wa kujikomba kwa Makonda kweli? Mwizi wa simu! Kijana asiye na nidhamu kwa wazee? Kijana anayetetea wezi?
Brother this is too low for you, badilika mkuu! Kuna siku nilipata nafasi ya kuongea na wewe nikakwambia wewe hustahili haya yote, ukijurebisha huenda ukawa hata RPC lakini si kwa tabia yako ya sasa.
Hata maccm wenzako na kudharau ndo maana huwajawahi kukupendekeza uwe japo afisa wa serikali ya mtaa.
Jifunze kujitathimini mkuu, achana na utoto wewe ni babu sasa, hauko level ya akina Makonda. Wewe ni baba yake Makonda kwa umri wako, so stop!
Bro hyu le mutuz inasemekana ni bwabwa Ndo maana anasifia wanaume matajiri umr miama54 akili miaka24
 
Back
Top Bottom