Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz



Kubwa jinga le mutuz cv yako ipoje? Miakka54 bado kula kwa mama
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Mbona unapenda kucheka cheka kama kocho?
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Kumbe zombi kula kulala pole sana mpambe wa Chicago
 
Lifestyle ya upambe Kwa Devis Mosha ? Kukesha kwenye bar kuomba bia? Kubwa jinga bado unaishi Kwa wazazi huwezi nunua hata shuka ? Bado Asubuhi unaenda kugonga dirishani kusalimia wazazi , fanya mazoezi upunguze mafuta kwenye ubongo kunenepeana sana kumeathiri Akili zote zinaelelea kwenye mafuta .
Duh mkuu kuwa na huruma
 
Hello wana jamvi nawaombeni sana mnipatie CV's za Mteule wa Rais kwenye Wilaya wa Kinondoni Paul Makonda.

Napenda kujua hasa pia maisha yake ndani na nje ya siasa.

- Alikuwa Rais wa Shirikisho la Vyuo East Africa, Katibu wa Uahamsiashaji wa UVCCM, DC wa Kinondoni, sasa ni RC wa Dar please naomba sana uweke CV ya MWenyekiti wako tuone pumba na mchele upo wapi? hahahahahah

le Mutuz
 
Duuuu we kiumbe upooo cv muhimu mdau usiogopeeee.

- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Mutuz naona wamekusahau tena ukuu wa wilaya
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

kwa hiyo hapo ndo umetoa CV yake, ama kweli we mjinga na haujui maana ya CV na namna inavyotolewa
 
Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika

kwa mtu ambaye ni msomi, na si msomi wa kichina ukiulizwa CV ya mtu huwezi kuandika upumbavu kama uliouandika, hii inaonesha ni kwa namna gani huelewi nini maana ya cv
 
aisee mbona hakuna uzito apo mwenye CV ya huyo mh c aiweke tuu ewan xx mambo ya kwamba kamzd nan Elim inahusu nn au CV maaana ake elim?
 
- Alikuwa Rais wa Shirikisho la Vyuo East Africa, Katibu wa Uahamsiashaji wa UVCCM, DC wa Kinondoni, sasa ni RC wa Dar please naomba sana uweke CV ya MWenyekiti wako tuone pumba na mchele upo wapi? hahahahahah

le Mutuz
Wewe Kubwa jinga CV yako ni nini ? Weka cv ya ole sendeka, Kinana , mangula , kibajaji , Lukuvi , Ana kilango, Profesa maji marefu na wenzako wote wanaokulea , Umeng'ang'ania cv kila siku !! Hivi Nani kakuambia cv hapa Tanzania zinasaidia kitu ? Kama zina msaada mbona Hosea wa Takukuru , akina Dau wa NSSF , ombeni Sefue wenye cv mmewatumbua Majipu? Mwenye Cv nzuri akina chenge , werema, Tibaijuka , Kapuya, Mwakyembe , mwandosya na wenzao wamelifanyia nini Taifa hili ?
 
Mim CV yake niliyonayo ni kuwa
Ana uzoefu wa kuwavua mabosi
Viatu na kuwavalisha soksi, kupe
leka maji ya kuoga bafuni na
Menginineyo ili kujikomba.
Hayo mengine mnayosema
Mimi siyajui bwanaas
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Njaa mbaya saana, hivi huyu unayemuita msomi wa dunia na Dr. Rutengwe ungemuitaje?
 
- hahahahahah vipi CV ya mwenyekiti wetu hahahahahahaha

le Mutuz
weka cv yako kwanza pia uweke cv ya Mwenyekiti wako anayeishi Msoga aliyeondoka na kuacha Hazina ikiwa Tupu , Thamani ya shilingi inazidi kushuka dola ipo juu , usikariri Akili za boss wako Nape na kusahau kuwa wenye hizo cv zako ndiyo wamelifikisha Taifa kwenye Utitiri wa Majipu , acha kujitoa Fahamu fanya mazoezi upunguze Mafuta kichwani angalau utazinduka na kuacha Ujinga .
 
Cv yake utaiona kutokana na utendaji wake, hakuna sababu ya kujua maisha yake maana hayakuhusu, cha mhimu ni kiongozi anayejielewa anafanya nn kwa Taifa.
 
Back
Top Bottom