Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,228
Hapo kwenye red hapo,Malizia wakithubutu kusema ukweli na kuacha udanganyifu na unafiki kama wazee wao.Makamba jr wala usisite wengi wanaotukana wana fakeID pili ni wafuasi wagombea Urais watarajiwa ambao ni wazee ambao wengi wao wanafadhiliwa kukesha kwenye jamvi! Wengi wenye hizo IDfake ni wafuasi wa hao wazee ambao ni sehemu ya matatizo walianza kwa zito baada ya kusema Rais ajaye hawezi kuwa ni mtu aliyezaliwa kabla ya uhuru wakamtukana sana sasa wamehamia kwa huyu! Swali moja kwa wanaopinga vijana kushika nyadhifa kubwa mbona Mwl Nyerere alianza kuongoza Nchi akiwa na miaka 39 na wapigania uhuru wengi walikuwa vijana! Vijana msikatishwe tamaa eti anauzoefu gani kama uzooefu ni matatizo tuliyonayo ambayo yaliwashinda wakiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri itakuweje uzeeni! Hatima ya Tanzania iko mikononi mwa vijana maana kama tukibahatika kuishi bila ajali za vifo tunatarajia kuishi muda kuliko wazee hivyo tuwe kwenye sehemu za maamuzi kuanzia serikali za vijiji udiwani ubunge na mpaka Urais na nyanja zingine zote! Ninamaliza kwa kusema pole wafuasi wa wazee. "Vijana wanaweza wakithubutu 2015"
Umemaliza kabisa mkuu.
Umemaliza. Ni zamu ya vijana wenye uweledi, maarifa, na nia ya dhati ya kuleta maendeleo endelevu kwenye jamii ya WaTanzania na Africa kwa ujumla.Chuki mchukien roho yake mwachien,nyota njema huonekana asubuhu,go January Goooo
JK amerahisisha sana hili swala la mtu kutaka kuwa rais... kesho unaweza sikia nae Nape anataka kuwa rais....
dogo tumekuzeaa kwa wivu wako.fanya yako watu wakuone acha kupiga kelele komaa na mambo yako kutafuta attention kwenye mambo ya watu. mbona wao walitoka kivyao fanya yako utatoka.mara unaugomvi na zito, Makamba jr tena.hivi ulitaka wewe peke yako ung'ae kwenye siasa kama kijana.Hapo kwenye red hapo,Malizia wakithubutu kusema ukweli na kuacha udanganyifu na unafiki kama wazee wao.
Amemaliza kabisa kivipi?Bila kutoa majibu ya tuhuma?
Dunia haitapasuka utapasuka wewe ukimuona January kwenye jumba jeupe ndio chaguo vijana wamesema, acha wivuHata dunia ikipasuka vipande vipande January Makamba hawezi kugusa ikulu.kwani Ana akili kama za baba yake mstaafu Wa magamba
Oh Kumbe huu ni wivu ehh.Kama kukemea udanganyifu kwenye mitihani ni wivu basi wivu huu nitauendeleza na haya ndiyo yangudogo tumekuzeaa kwa wivu wako.fanya yako watu wakuone acha kupiga kelele komaa na mambo yako kutafuta attention kwenye mambo ya watu. mbona wao walitoka kivyao fanya yako utatoka.mara unaugomvi na zito, Makamba jr tena.hivi ulitaka wewe peke yako ung'ae kwenye siasa kama kijana.
Ushauri wa bure fanya yako dogo.
umekemea nini? unafahamu maana ya kukemea? so what next usipende kuishi kwa kufikiri kumwangusha mtu ndo kunakupandisha wewe.fanya yako kupanda mbona wewe tu unakomalia hili swala? Ok waliiba what next mbona wewe watu wamekupetezea unajiita mzalendo wa CDM wakati ulikua MASALIA na kutembea na sumu za panya?Oh Kumbe huu ni wivu ehh.Kama kukemea udanganyifu kwenye mitihani ni wivu basi wivu huu nitauendeleza na haya ndiyo yangu
Oh Kumbe huu ni wivu ehh.Kama kukemea udanganyifu kwenye mitihani ni wivu basi wivu huu nitauendeleza na haya ndiyo yangu
Tupe ushahidi sio maneno ya mitaani, fanya utafiti kidogo! Uliza waliosoma na January Forest wakwambie kaka!.
JK amerahisisha sana hili swala la mtu kutaka kuwa rais... kesho unaweza sikia nae Nape anataka kuwa rais....
Hizo syntax za Kiswahili zinakushinda na wewe ulijifunza syntax za Java, C, C++ ukiwa "young boy" bada ya kumaliza kidato cha nne tu? Maana logic za kumtuhumu mtu kuiba mtihani halafu kudai "unless he comes out clean" ni kielelezo tosha kuonyesha kuwa uwezo wako wa kufikiria ni mdogo sana. No wonder hicho chama chenu kila kukicha inakuja na sindimba mpya ya kisiasa!Unaongelea Java,C,C++ na "Syntax".I was a young boy.Nilijifunza hiyo 2002 Baada ya kumaliza kidato cha nne tu ambacho Huyo waziri wa C,C++, Java na "Syntax" alituhumiwa kuiba mitihani na leo unataka awe Rais.Kwanza mpe shule.Hizo ni computer language.Very basic.Sidhani kama ana ufahamu kwa mazingira ya tuhuma hizo.He looks like a clueless minister!Disguisting,anyways !
Kwahiyo wewe umejiunga leo kuja kutafuta cv ya mtu-unadhani hili jukwaa la mipasho?
Hizo syntax za Kiswahili zinakushinda na wewe ulijifunza syntax za Java, C, C++ ukiwa "young boy" bada ya kumaliza kidato cha nne tu? Maana logic za kumtuhumu mtu kuiba mtihani halafu kudai "unless he comes out clean" ni kielelezo tosha kuonyesha kuwa uwezo wako wa kufikiria ni mdogo sana. No wonder hicho chama chenu kila kukicha inakuja na sindimba mpya ya kisiasa!
Umemaliza. Ni zamu ya vijana wenye uweledi, maarifa, na nia ya dhati ya kuleta maendeleo endelevu kwenye jamii ya WaTanzania na Africa kwa ujumla.