Wasifu (CV) wa January Makamba

Wasifu (CV) wa January Makamba

Wewe ndiyo mwenye uwezo mdogo.Mimi niliripoti kuwa alituhumiwa kuiba mitihani na kumtaka ajitokeze kuweka mambo sawa.Wewe unadai mimi ndiye niliyemtuhumu?You must be sick!
Kaimbe taarabu we ben umekaa kimbea mbea wivu km mwanamke
 
Hebu wekeni hii sawa:

(a) alipata zero form four

(b) aliiba mtihani akapata zero form four (ikiwa hivi itakuwa noma kichizi)

(c) alifaulu form four lakini aliiba mtihani

The same can be asked for form six results.

Kwa uchache from my sources nafaham kuwa alifanya mtihani majibu yakaja amefaulu kwa kiwango cha Div 1 point 7. Ikagundulika waliiba mitihani akafutiwa matokeo ya form four.

Kwa misingi hii inamaana lazima ana akili za kutosha tu maana angekywa hanazo asingeweza pata 7 points, bali ajiamini na asipende kuwa opportunist. Hata bila majina ya watu anaweza kuwa successful.
 
Kwa uchache from my sources nafaham kuwa alifanya mtihani majibu yakaja amefaulu kwa kiwango cha Div 1 point 7. Ikagundulika waliiba mitihani akafutiwa matokeo ya form four.

Kwa misingi hii inamaana lazima ana akili za kutosha tu maana angekywa hanazo asingeweza pata 7 points, bali ajiamini na asipende kuwa opportunist. Hata bila majina ya watu anaweza kuwa successful.


Ajabu kweli kweli.

Ina maana wewe ungepata desa ungeshindwa kupiga iyo single digit ya point 7??unaconclude kwamba kwa kuwa kapata desa na kupiga div one single digit 7 then yuko smart??

Mkuu unachokisema na unachomaanisha ni tofaut
 
Kaimbe taarabu we ben umekaa kimbea mbea wivu km mwanamke

Eh Hapa yanahitajika majibu,ilikuaje arudie mtihani kwa makosa yaliyofanywa na NECTA kama alivyoeleza?Kama huna majibu,basi usilete umbea hapa.Kaa pembeni
 
Zitto Kabwe kamuathiri kisaikolojia sana huyo jamaa,i am telling you.

I feel sorry for him,with his sad destiny..,
Tunajadili tuhuma za udanganyifu wa mitihani.Sio lazima uchangie na spew hatred zako hapa.

Hivi na wewe unatarajia nikujibu zaidi ya hapa? Ni vichekesho,ungeingia na ID yako real ningeweza kukujibu inavyostahili.Ni mara nyingi tu naona post zako za kijinga jinga na kuzipuuza.
 
Zitto Kabwe kamuathiri kisaikolojia sana huyo jamaa,i am telling you.

I feel sorry for him,with his sad destiny..,
...mkuu hivi umeshindwa kuelewa kinachojadiliwa au ndo athari za shehe Ilunga zinakutoa ufahamu?
 
Tunajadili tuhuma za udanganyifu wa mitihani.Sio lazima uchangie na spew hatred zako hapa.

Hivi na wewe unatarajia nikujibu zaidi ya hapa? Ni vichekesho,ungeingia na ID yako real ningeweza kukujibu inavyostahili.Ni mara nyingi tu naona post zako za kijinga jinga na kuzipuuza.


Multiple ID's??wala sihitaji iyo,na wala sihitaji kuwa verified,stil nasimama mimi kama mimi,

Unajua wewe huu umaarufu unaoclaim kuwa nao sijui humu JF na sehemu zingine unazozijua wewe unakutoa ufaham sana,me siwez kuwa na hizo chuki unazozisema tena kwa mtu hopless na nisemfaham,aise na status wala jambo lolote la maaana la kuwekewa wivu wa kimaendeleo au kinyongo chochote kama wewe,una nin me nikuwekee chuki??unajua umekuwa unaish maisha ya labda labda na kutojiamin kias kwamba kila mtu unamuona ana chuki nawe,na hizo ndio athari za kisaikolojia ulizonazo ambazo wewe mwenyewe huzitambui,pole sana

Brother Dont Start,go and build your Noah's Ark,
You could float to the end of the world and pretend you are not,but i know who you are

Matter of fact you are an easier target,and i respect everything you accomplished,
But i hope i never get old,dumb & stupid and talk nonsense with you,

Standing up all proud,speak to correct your folks,

You want to lecturer folks,and claiming you are political professional and etc,you are no body.

So,who the hell are you?

Live your Life Comrade,You have to live your life....
 
  • Thanks
Reactions: kdc
Eh Hapa yanahitajika majibu,ilikuaje arudie mtihani kwa makosa yaliyofanywa na NECTA kama alivyoeleza?Kama huna majibu,basi usilete umbea hapa.Kaa pembeni
NECTA ipi hiyo si ndo hiyo iliyotoa matokeo ya waislam wamefeli wote somo la dini? au sio hiyo iliyorudia kusahihisha mwaka jana. Sijui wewe unasema NECT ipi ambayo haiwezi kufanya makosa.
 
Multiple ID's??wala sihitaji iyo,na wala sihitaji kuwa verified,stil nasimama mimi kama mimi,

Unajua wewe huu umaarufu unaoclaim kuwa nao sijui humu JF na sehemu zingine unazozijua wewe unakutoa ufaham sana,me siwez kuwa na hizo chuki unazozisema tena kwa mtu hopless na nisemfaham,aise na status wala jambo lolote la maaana la kuwekewa wivu wa kimaendeleo au kinyongo chochote kama wewe,una nin me nikuwekee chuki??unajua umekuwa unaish maisha ya labda labda na kutojiamin kias kwamba kila mtu unamuona ana chuki nawe,na hizo ndio athari za kisaikolojia ulizonazo ambazo wewe mwenyewe huzitambui,pole sana

Brother Dont Start,go and build your Noah's Ark,
You could float to the end of the world and pretend you are not,but i know who you are

Matter of fact you are an easier target,and i respect everything you accomplished,
But i hope i never get old,dumb & stupid and talk nonsense with you,

Standing up all proud,speak to correct your folks,

You want to lecturer folks,and claiming you are political professional and etc,you are no body.

So,who the hell are you?

Live your Life Comrade,You have to live your life....
...hoja ni je January aliiba mitihani au la. hayo mengine yanatoka wapi mkuu? inaonekana una chuki na Ben kwa sababu za ki-shehe Ilungailunga tu. Hadi sasa hujajustify attack zako kwa Ben zimetokana na nini ili GT wengine washiriki kuzijadili na hapo ndipo Ben anapokutoa KO. Mwenzako anatoa hoja kisomi wewe unaatack ki-Napenape pasipo justification yoyote. Come on! you can do beteer than that BS.
 
Multiple ID's??wala sihitaji iyo,na wala sihitaji kuwa verified,stil nasimama mimi kama mimi,

Unajua wewe huu umaarufu unaoclaim kuwa nao sijui humu JF na sehemu zingine unazozijua wewe unakutoa ufaham sana,me siwez kuwa na hizo chuki unazozisema tena kwa mtu hopless na nisemfaham,aise na status wala jambo lolote la maaana la kuwekewa wivu wa kimaendeleo au kinyongo chochote kama wewe,una nin me nikuwekee chuki??unajua umekuwa unaish maisha ya labda labda na kutojiamin kias kwamba kila mtu unamuona ana chuki nawe,na hizo ndio athari za kisaikolojia ulizonazo ambazo wewe mwenyewe huzitambui,pole sana

Brother Dont Start,go and build your Noah's Ark,
You could float to the end of the world and pretend you are not,but i know who you are

Matter of fact you are an easier target,and i respect everything you accomplished,
But i hope i never get old,dumb & stupid and talk nonsense with you,

Standing up all proud,speak to correct your folks,

You want to lecturer folks,and claiming you are political professional and etc,you are no body.

So,who the hell are you?

Live your Life Comrade,You have to live your life....

Nimeamini ben kiboko yenu.Katoa statement 2 tu lakini umetoa mapovu tank nzima.Wewe unaonekana una chuki binafsi na unatia aibu sana ndugu kwa maelezo haya tu.Ni kipi kilichokuuma sana katika mjadala huu.Watu wengine bhana.Huwa napingana na ben mambo mengi ila wewe umeonyesha iq ndogo sana kwa uliyoandika.kama ameshasema anakupuuza ni jambo jema maana ushauri unaotoa naona unakuhusu wewe mwenyewe ndugu yangu.Watanzania tupendane na tutumie busara tulizojaliwa katika majadiliano
 
...hoja ni je January aliiba mitihani au la. hayo mengine yanatoka wapi mkuu? inaonekana una chuki na Ben kwa sababu za ki-shehe Ilungailunga tu. Hadi sasa hujajustify attack zako kwa Ben zimetokana na nini ili GT wengine washiriki kuzijadili na hapo ndipo Ben anapokutoa KO. Mwenzako anatoa hoja kisomi wewe unaatack ki-Napenape pasipo justification yoyote. Come on! you can do beteer than that BS.


No Personal Attack,hiyo hoja inaeleweka na inazungumzika,may be hujui kipi kinaendelea katika hiki nikisemacho,

Wewe ndie mwenye personal Attack,kufikiri kwangu kinape nape na kisheikh ilunga ilunga kusikupe shida sana,

I told him to live his life,asipende sana kuchunguza chunguza maisha ya watu na kuyatangaza yake ni bora zaid ya wenzake,wenzake wanaish maisha yao,kama anakosoa its better kukosoa na kutupa ushahid,maisha ya kuwanga wanga na kutegemea kuziwekea chuki destiny za watu hazifanyi MUNGU kumpa yeye destiny bora,mifano kibao tunaiona humu ndan,

I told him to live his life,

There's no promise of a second time around,

There's no reason
why he shouldn't,everything is up to him,not you

Because i promise he'll regret it bro..
 
...hoja ni je January aliiba mitihani au la. hayo mengine yanatoka wapi mkuu? inaonekana una chuki na Ben kwa sababu za ki-shehe Ilungailunga tu. Hadi sasa hujajustify attack zako kwa Ben zimetokana na nini ili GT wengine washiriki kuzijadili na hapo ndipo Ben anapokutoa KO. Mwenzako anatoa hoja kisomi wewe unaatack ki-Napenape pasipo justification yoyote. Come on! you can do beteer than that BS.


Huyu ndugu hata mimi amenishangaza sana.Kuna kipindi nimekua na ugomvi na ben ila nilikua najitahidi kupambana nae kwa hoja bila vioja.Sasa hapa nashangaa
 
No Personal Attack,hiyo hoja inaeleweka na inazungumzika,may be hujui kipi kinaendelea katika hiki nikisemacho,

Wewe ndie mwenye personal Attack,kufikiri kwangu kinape nape na kisheikh ilunga ilunga kusikupe shida sana,

I told him to live his life,asipende sana kuchunguza chunguza maisha ya watu na kuyatangaza yake ni bora zaid ya wenzake,wenzake wanaish maisha yao,kama anakosoa its better kukosoa na kutupa ushahid,maisha ya kuwanga wanga na kutegemea kuziwekea chuki destiny za watu hazifanyi MUNGU kumpa yeye destiny bora,mifano kibao tunaiona humu ndan,

I told him to live his life,

There's no promise of a second time around,

There's no reason
why he shouldn't,everything is up to him,not you

Because i promise he'll regret it bro..


Read more: Nas - Live Now Lyrics | MetroLyrics

Labda wewe ungeweka wazi hapa ili sote tukichambue.Ben amekosea wapi?vinginevyo wewe ndiyo mwenye matatizo mkuu
 
CV ya kijana January Makamba ni nzuri sana. He stands above many Tz youths in terms of education, knowledge and strength of character.

Ni vizuri vijana wakajifunza toka kwake. He can serve a very good role model and mentor!
 
Nimeamini ben kiboko yenu.Katoa statement 2 tu lakini umetoa mapovu tank nzima.Wewe unaonekana una chuki binafsi na unatia aibu sana ndugu kwa maelezo haya tu.Ni kipi kilichokuuma sana katika mjadala huu.Watu wengine bhana.Huwa napingana na ben mambo mengi ila wewe umeonyesha iq ndogo sana kwa uliyoandika.kama ameshasema anakupuuza ni jambo jema maana ushauri unaotoa naona unakuhusu wewe mwenyewe ndugu yangu.Watanzania tupendane na tutumie busara tulizojaliwa katika majadiliano

JIBRIL,

Mtu asiyejiamini hakuna haja ya kuhangaika nae zaidi ya kumpuuza tu.Wataalamu wa saikolojia wanasema mtu wa aina hiyo mara nyingi atajipa majina kama hayo "BIG SHOW" "Super ...." , "The King..." n.k.Sasa ukishaona mtu mwenye ID zinazoashiria kuwa he's suffering from identity crisis,the best thing you can do is to ignore him.

Tuendelee na mjadala wetu wa kuhoji tuhuma za udanganyifu kwenye mitihani maana hatuwezi kujenga taifa adilifu kwa kuendekeza udanganyifu kwenye taaluma.Ilikuaje akubali kurudia paper ikiwa uzembe ulitokana na utendaji wa NECTA?
 
JIBRIL,

Mtu asiyejiamini hakuna haja ya kuhangaika nae zaidi ya kumpuuza tu.Wataalamu wa saikolojia wanasema mtu wa aina hiyo mara nyingi atajipa majina kama hayo "BIG SHOW" "Super ...." , "The King..." n.k.Sasa ukishaona mtu mwenye ID zinazoashiria kuwa he's suffering from identity crisis,the best thing you can do is to ignore him.

Tuendelee na mjadala wetu wa kuhoji tuhuma za udanganyifu kwenye mitihani maana hatuwezi kujenga taifa adilifu kwa kuendekeza udanganyifu kwenye taaluma.Ilikuaje akubali kurudia paper ikiwa uzembe ulitokana na utendaji wa NECTA?
Wewe jamaa mkorofi sana,mjeuri na mbishi uliyepindukia.Siamini kwa namna ulivyokomalia mjadala huu.Debate zilikuharibu sana ukiwa shule.Hapa naona muendelezo wako na Mnyika na vijana wengine wa CDM dhidi ya Zitto na akina January.Karibu CCM ambako vipaji vyenu vitatumika vizuri
 
Ukifuatilia maoni mengi yanayotolewa kwenye mitandao utagundua kwamba wengi wanaongozwa na ushabiki zaidi na inawezekana pia wanatumiwa kwa maslahi ya watu Fulani au kundi fulani bila kutanguliza maslahi ya Taifa, na hii inaashiria kwamba ilikupatikana ukombozi wa kweli kwa nchi yetu inabidi ifanyike kazi ya ziada, mwacheni Januari Makamba akue kwanza, awe mtu mzima, akomae kwenye siasa, ajitambue yeye ni nani na nafasi yake ni ipi na ni kipi anatakiwa awatendee Watanzania, ajipambanue kama kiongozi, anachokimbilia Mheshimiwa Januari Makamba sasa hivi ni hii nafasi ndogo iliyobakia kwa Tanzania ambapo mtu yoyote yule hata awe dhaifu kiasi gani na hata awe ameandamwa na kashfa kiasi gani bado anaweza kupenya penya na kwa kutumia umaskini na ujinga wa Watanzania walio wengi na mbinu chafu za wizi na udanganyifu kuingia madarakani, anafahamu fika kwamba baada ya muda fulani CCM haitakuwa na nguvu na ushawishi mkubwa kama ilivyo sasa na kiongozi yoyote asipojipambanua kwenye jamii ni vigumu kwake kuweza kupata ridhaa ya wananchi ya kuwaongoza, huwa nawaogopa sana viongozi wa namna hii kwani wanaweza kufanya chochote na kwa gharama yoyote ili kupata uongozi, swali la kujiuliza ni kwamba, KAMA UONGOZI NI KWA FAIDA YA WANANCHI JE GHARAMA ZOTE HIZO WANAZOINGIA NI KWA FAIDA YA NANI?
 
JIBRIL,

Mtu asiyejiamini hakuna haja ya kuhangaika nae zaidi ya kumpuuza tu.Wataalamu wa saikolojia wanasema mtu wa aina hiyo mara nyingi atajipa majina kama hayo "BIG SHOW" "Super ...." , "The King..." n.k.Sasa ukishaona mtu mwenye ID zinazoashiria kuwa he's suffering from identity crisis,the best thing you can do is to ignore him.

Tuendelee na mjadala wetu wa kuhoji tuhuma za udanganyifu kwenye mitihani maana hatuwezi kujenga taifa adilifu kwa kuendekeza udanganyifu kwenye taaluma.Ilikuaje akubali kurudia paper ikiwa uzembe ulitokana na utendaji wa NECTA?
kweli BIG amekutisha hadi unaongelea pembeni kinafiki mjibu uone. dogo uko empty sana, wivu na majungu ndo vilivyokujaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom