Alex Manonga
Senior Member
- Oct 8, 2010
- 155
- 87
Hizo tuhuma nilizijibu.Sasa iweje hutaki yeye ajibu tuhuma hizo?
Ulitaka jibu gani zaidi ya alichosema kwenye story yake? January Makamba.com
Hizo tuhuma nilizijibu.Sasa iweje hutaki yeye ajibu tuhuma hizo?
Ulitaka jibu gani zaidi ya alichosema kwenye story yake? January Makamba.com
Hv huyu faizafoxy anaga shughuli nyngne kwnye kila thread lazma ukute comments zake za utata.
Hizo tuhuma nilizijibu.Sasa iweje hutaki yeye ajibu tuhuma hizo?
Kwamba Ilikuaje akubali kurudia mitihani kwa Negligence ya NECTA?
ben, hili suala umelikomalia lkn katika mtindo wa kijiweni. siyo kisomi! ni ajabu sana unapo komalia jambo la kielimu na kisoma kwa kujenga hoja za kijiweni zilizo jaa majungu na wivu. kama una ushahidi kutoka shuleni alikosoma au baraza la mitihani hebu uanike ili tukuelewe. unashusha hadhi yako. amka!
marais wa tanzania huwa ni "chaguo la mungu https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/heh.gifHivi ma president wa Tanzania huwa wanaandaliwa na binaadam? mie nilifikiri huwa ni "chaguo la mungu"!
Nimenukuu taarifa mbalimbali emanating from different sources.I hope he'll be smart enough kujibu tuhuma hizi mapema ili.kuepuka vileo kama unavyotoa.
Mheshimiwa Januari Makamba bado mchanga mno kwenye siasa, huwezi hata kumfikiria kwa nafasi ya uwaziri, SEMBUSE URAISI, MSIFANYE MCHEZO JAMANI NA NAFASI YA URAISI, huo unaibu waziri amepewa kwa majaribio lakini bado unaonekana kumshinda, ukitaka kujua kama bado hajakomaa kisiasa fuatilia suala dogo tu la sakata la kodi ya laini za simu ambavyo alianza kujihami kwenye mitandao ya kijamii kuonyesha kwamba hakuwa ameuafiki uamuzi wa Bunge wa kupitisha kodi ya laini za simu, yeye kama sehemu ya serikali hakutakiwa kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii kuanza kujitetea kwa wananchi kwamba yeye ni msafi ila hao waliopitisha ile kodi ndio ambao hawawatakii mema wananchi, alitakiwa apambane na hilo suala humo humo ndani ya serikali bila kutuonyesha sisi wananchi kwamba yeye ndio mzuri na wengine ndio wabaya, hizo alizoonyesha ni siasa za kinafiki, mbali na hivyo alienda mbali zaidi na kuanzisha malumbano ya mipasho na Mheshimiwa John Mnyika, hilo lilikuwa ni suala la kipumbavu sana kufanywa na mtu kama yeye, Naibu Waziri unaanzisha malumbano ya mipasho, THAT WAS A VERY STUPID THING TO DO.
OK mkuu but si na wewe mwanga hapa data zako maana jf hatufichi chochote bwana.....
Makamba jr wala usisite wengi wanaotukana wana fakeID pili ni wafuasi wagombea Urais watarajiwa ambao ni wazee ambao wengi wao wanafadhiliwa kukesha kwenye jamvi! Wengi wenye hizo IDfake ni wafuasi wa hao wazee ambao ni sehemu ya matatizo walianza kwa zito baada ya kusema Rais ajaye hawezi kuwa ni mtu aliyezaliwa kabla ya uhuru wakamtukana sana sasa wamehamia kwa huyu! Swali moja kwa wanaopinga vijana kushika nyadhifa kubwa mbona Mwl Nyerere alianza kuongoza Nchi akiwa na miaka 39 na wapigania uhuru wengi walikuwa vijana! Vijana msikatishwe tamaa eti anauzoefu gani kama uzooefu ni matatizo tuliyonayo ambayo yaliwashinda wakiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri itakuweje uzeeni! Hatima ya Tanzania iko mikononi mwa vijana maana kama tukibahatika kuishi bila ajali za vifo tunatarajia kuishi muda kuliko wazee hivyo tuwe kwenye sehemu za maamuzi kuanzia serikali za vijiji udiwani ubunge na mpaka Urais na nyanja zingine zote! Ninamaliza kwa kusema pole wafuasi wa wazee. "Vijana wanaweza wakithubutu 2015"