Eti anaropoka "Upinzani hakuna mwenye sura ya urais". Simcard imemshinda ataweza kukabiliana na mikataba ya Nyuklia?Ushamba tu.
By the way,huwezi kusomea shahada ya conflict resolution kama una akili timamu.Je,Migogoro ikiisha utafanya nini?Utafitini na kuomba watu wagombane?Ndiyo future hii?Je,taaluma hii isingesaidia usuluhishi na mzee shelukindo huko Bumbuli?Conflict haihitaji digrii bali busara na kujitambua tu.Kwani wafalme wetu miaka ya zamani waliwezaje kutatua migogoro?Only,Weak Creatures watafanya promotion ya taaluma hii na kujisifia kwa vyeti na majoho.