Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Unapokuwa mwanaume unajua kabisa nani wa kumuoa na nani wa kukachezea na kukatupilia kando.


Mwanamke anajianika kama samaki juani. Hajali wala kuheshimu mwili wake. Ndo' akawe mama wa watoto wako?



☆Steve
 
Nilishasema, wanaume tuna akili sana ktk kutafuta mwanamke wa kuoa
 
Wanabaki kuwa fahari ya macho. Acha waendelee kuvaa Jeans zimechanika kwamba ndio fashion. Siku mwanaume anataka mwenza wa maisha atatafuta mwenye kujistiri.
 
Kuna mtu alisema yeye anapenda mkewe avae hivyo na kwake haionyeshi kutokujiheshimu hata kidogo.
Wanasahau tunatofautiana kabisa mimi have a friend yani anamwambiaga mkewe kabisa mambo ya umama umama na uzee sitaki, vaa pendeza(show what your mama gave you).
By da way heshima huanza kichwani mtu akiwa na akili na anajielewa anajua limits zake za kila kitu mpka mavazi na heshima iko na mtu ndani yake wala sio muonekano wa nje.
Swali kwa mtoa mada jee? hao wanawake wote wakivaa anavyotaka anaeza akawaoa wote?. Au wavaa hizo unazotaka wameolewa wote?
 
Wanasahau tunatofautiana kabisa mimi have a friend yani anamwambiaga mkewe kabisa mambo ya umama umama na uzee sitaki, vaa pendeza(show what your mama gave you).
By da way heshima huanza kichwani mtu akiwa na akili na anajielewa anajua limits zake za kila kitu mpka mavazi na heshima iko na mtu ndani yake wala sio muonekano wa nje.
Swali kwa mtoa mada jee? hao wanawake wote wakivaa anavyotaka anaeza akawaoa wote?. Au wavaa hizo unazotaka wameolewa wote?

Wanafurahisha genge tu, mashahidiwa Yehova wote wameolewa? Maana wanavaa skirt ndefuu tena zina marinda marinda.
 
Ni kwenda na wakati,
Pia ni ujana tu ila kama umempenda na una malengo nae utamwambia ajirekebishe.
 
wanawake wa kisasa
 

Attachments

  • IMG-20170317-WA0015.jpg
    IMG-20170317-WA0015.jpg
    31.6 KB · Views: 36
Nataman sana mwanamke avae hivyo lkn sitak mke wng aje kuvaa hvyo
Kwa kauli hiyo wewe ukioa utabaki kuwatamani wanawake wanaovaa hivyo. Bora umruhusu mkeo akuvalie hayo mavazi uli uyaone kwa mkeo hata siku ukiwa barabarani ukiona binti kazivaa wala hutaangaika kumtamani.
 
Tunayoyafanya kwa sasa kama wanadamu ujue hata shetani anatushangaa maana ni mageni kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom