Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Ishu ya mavazi bwanaaa! Iko complicated sana. Exposure ya mtu pia inachangia. Na inategemea unaishi katika mazingira gani.
Mda mwingine unajisikia tu kuvaa kikaptura na kukata mitaa...
Lisiwe tu lile la Manchester United
 
Umevaa suruali imekubana na kuyachora maungo yako yote, halafu imechanwa chanwa mapajani kwa mbele, maungo yako yanaonekana na kila mtu.

Unakutana na rafiki yako anakuuliza kama umeolewa nawe bila haya unasema "niolewe na nani shost, wanaume wenyewe matapeli tu"

We unadhani kuna mwanaume mwehu mpenda laana, wa kukuoa wewe, uje kumletea laana kwenye ukoo wake, mwishowe aje azae watoto wehu.

Utabaki hivyo hivyo, ukija kushituka ushazeeka unaamua kujioa kwa kwenda kuishi na lishikaji tu (sio mume).

Hapo ndo unaishi kwa shida full vilio kwa kuwa na mume asiyeeleweka, wakati wewe mwenyewe ulishindwa kujenga misingi ya kueleweka.

Poleni wote mnaopitia vipindi hivyo hasa mkiwa ndio wasanifu na wajenzi hali hizo.


Unaambiwa wanajiuza, wao wanachojali ni kutongozwa na kununuliwa simu wajisifie.
 
Ila of course vichupa, visuruali vyao, visket vifupi vya kubana maungo yao vnaniboaga saana
 
Muonekano una mchango mkubwa sana kwenye kuhisi tabia ya mtu.. Pili ni aina ya marafiki aliyo nao...


Vile unavyojiweka na ndiyo hivyo hivyo utakavyodhaniwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom