Wasichana wazuri!

Wasichana wazuri!

Wasichana wa kihaya huwa wanasifikasana kwa kua na miguu mizuri .

Kweli na shape zao excellent, ila sasa sura lol!!! nzitooo kama tope!
Tukiwa chuo walikua wanaitwa "mkate kichwa" yaani ukiondoa kichwa huko kwengine kuzuri!
 
Nimezunguka Tanzania baraa aa sijawaona wasichana bomba aa wenye kujipamba wakapambika aax5

Naona umemkumbuka Jabali la muziki...."nimezunguka Tanzania bara...Unguja na Pemba nimefika....nimewaona warembo wenye sifa...wenye kujipamba wakapambika...kwa hiyo nielewe dada..sibabaishwi na sura..aaa napenda..tabia njema aaa......"
 
Sidhani kama kabila ni ishu, mimi binafsi tangu nakuwa niliishi kwa kasumba kuwa Wamakonde wanatisha...nikapata fursa ya kusoma chuo fulani Dar, darasani tukawa na demu mmoja, alikuwa "crazy fulani" yaani kila stori class anaanzisha yeye, men akimtongoza anatangazia darasa zima....

Demu alikuwa mzuri/mrembo kama actress Vivica A Fox......baadae nikagundua mtoto/mrembo ni mwenyeji wa Mtwara, yaani mmakonde...na tangu hapo ndio dhana potofu niliyokuwa nayo kuhusu wamakonde ikaisha.
 

Attachments

  • 1405022210449.jpg
    1405022210449.jpg
    9 KB · Views: 291
Kweli na shape excellent ila sasa sura nzitooooo kama tope!
Shauri yako wakikupiga wenzako wamesema tutaje makabila ambayo yana wasichana wazuri. Mimi simo wakikukwida humu lbd kama kuna mabaunsa watakusaidia
 
Umewaacha wapi wa iraq wambulu,wanyaturu thubutuuu hata wasukuma tu hamuwafikiii
Kweli wasukuma nao wazuri bila kusahau wanyamwezi wana mchanganyiko flani wa maumbile ya kitusi nina bibi yangu pamoja na uzee alio nao lkn mzuri sana
 
Umewaacha wapi wa iraq wambulu,wanyaturu thubutuuu hata wasukuma tu hamuwafikiii

He heeee awaaap chagga ndio funika njoo tu kwenye list ya washiriki wa miss tz utapata jibu sikatai kama hayo makabila mengine wazuri hata wambulu nawakubali bt chagga nomaaa
 
Wasichana wazuri (warembo) kwanini wengi wao hawaolewi?
 
Back
Top Bottom