Umetaja kwenye andiko lako kuwa mwanamke awe na msimamo, nijuavyo mimi msimamo ni kusimamia unachokiamini kuwa ni sahihi.Mh Sijakuelewa hapa naomba ufafanuzi kidogo
Na kuna wanawake ni bado wasichana yaani vigoriBaadhi ya,waschana
N wanawake
Excited..?!!! Or speechless.OMG you!!!!!!!!!!
Angekuwepo angeshajitokeza![]()
![]()
![]()
![]()
ina maana hakuna wa ivyo?
Yani hapo nimetoa fursa, na bahati mbaya hajajitokeza hata mmoja, it means hakuna mwanamke wa namna hiyo...hahahahaha a hahahahaha mkuu mbona unatudhihaki wanawake
Kama wewe hufanyi, wenzio wanafanya cha ajabu nini hapo? Kuna uhusiano gani kati ya kumbadilisha mtu na boxer?Duhh! hadi mbadilishwe na wanaume mmekuwa boxer!!? Watu wazima na mnajitambua mnasubiri kubadilishwa? Aisee
Mh mi nadhani kwa mfano huo bado mwanamke atakua na kosa hapo. Kufua na kupika ni baadhi tu ya majukumu ya mke. Panga vizuri ratiba zako mwanamke. Hapo angeloweka nguo akaja kupika chai amtengee mumewe then aendelee nayake... Au kama alidamka mapema kuanza kufua akiona dalili za mume kuamka asitishe kufua amuandalie mume kwanza.... Ni mawazo yangu lakiniUmetaja kwenye andiko lako kuwa mwanamke awe na msimamo, nijuavyo mimi msimamo ni kusimamia unachokiamini kuwa ni sahihi.
Kama hivyo ndivyo huoni kama mwanamke anaposimamia anachokiamini ndio anaonekana mjeuri? Kwa mfano mwanamke amefua toka alfajiri, anaamini kuwa kuandaa chai ni stahiki aandae mumewe, jambo analoamini ni kinyume na mpango mzima wa mtiririko wa maisha ya kiafrika.
Anaamua kuusimamia!! Hapo hajawa kiburi huyu?
Yaani hataki kuniandalia chai kisa anafua???
Karibu.
Hilo sio soo... Ila nimewapa nafasi kwanza ili baadae nikirudi niukate mzizi wa fitinaUnaniaibisha bana mwanaume unakimbiaje soo..!???!! Afu maneno yote hayo kumbe mwoga huhuhuu ..hebu Sovu kiume bana
Hah hah hah nipo hapaKama yupo mwanamke mwenye vigezo hivyo hapo juu, Naomba ajitokeze tukamuweke Kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA kwasababu atakuwa ni hazina kubwa sana iliyobaki
Kama yupo mwanamke mwenye vigezo hivyo hapo juu, Naomba ajitokeze tukamuweke Kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA kwasababu atakuwa ni hazina kubwa sana iliyobaki