Wasichana wa siku hizi..na kutafuta elimu..........

Unajua tukiamua kutoangalia habari ya maadili ni kuwa, tatizo hasa sio kujiuza, tatizo ni matokeo. Hao wanaojiuza ili wajilipie ada halafu mwisho wa siku wakafaulu sio tatizo kwa sababu wanahesabika wana elimu ambayo kweli wanayo lakini wale wanaouza ngono ili wafaulishwe ni tatizo kwa sababu mwisho wa siku wanahesabika wana elimu ambayo hawana. Hii ina maana kuwa kundi la pili ni tatizo kwa taifa zima maana kuna uwezekano wakapewa majukumu ambayo hawayawezi.

Tukirudi kwenye moral standards, wote ni tatizo ila bado hao wanaouza kwa walimu ni tatizo zaidi kwa sababu nilizoeleza hapo juu.

mkuu...
wewe umenielewa na naona unaweza zaidi kufafanua
so naomba unisaidie na watu ambao hawanielewa bado..
 
wewe unashindwa kabisa kuelewa na tukikuelewesha unakasirika...
elimu ya kuipata kwa kujiuza ina faida zipi?
since when 'umuhimu wa individual ukawa ni zaidi ya umuhimu wa society?
we ukiuza bangi na kuwa tajiri utasema ni faida na muhimu kwako wewe binafsi?
na hatuna haki ya kusema sio faida wala muhimu?????

Mbona kazi mnayo kumuelewesha asiyeelewa daima!!You might as well just give up!!
 
The Boss, kumbe unajua kihindi eeh, lol!

This is what I believe in: u can do anything in this world as long as you are prepared for the quosequences.

Morals haswa ndo tatizo, Bible inasema 'itamfaa nini mtu apate ulimwengu wote, naye mwenyewe aje apate hasara ya nafsi yake'. Kupanga ni kuchagua.
 
What for? Kwa kutokukuelewa kila unapoanzisha mijadala nisiyokubaliana nayo 100% ???!

karibu tukuelimishe mpaka uelewe
elewa point inayozungumzwa.....
hakuna faida wala umuhimu wa individual kama unaathiri watu wengine..
mtu anatoa ngono anapewa kazi ambayo hakustahili...na yule aliestahili anaikosa...

society nzima inabadilika na kuona its okay kununua mitihani ili ufaulu.....hii haiwezi kuwa ni faida eti kwa kuwa it works for
some individual.....ni hasara kwa kila mtu hata huyo individual......
get it now?
 
The Boss, kumbe unajua kihindi eeh, lol!

This is what I believe in: u can do anything in this world as long as you are prepared for the quosequences.

Morals haswa ndo tatizo, Bible inasema 'itamfaa nini mtu apate ulimwengu wote, naye mwenyewe aje apate hasara ya nafsi yake'. Kupanga ni kuchagua.

unataka nikuimbie?lol
 
ulikuwa hujui?
Ningejuaje mimi? looool
:focus:
Ni makosa kutafuta degree kwa njia hizo ila pia kuna pressure kubwa sana ya watu kua na degree in order to survive, hata kama huwezi kuitetea hiyo degree. Recruitment system inangalia vyeti, sio ujuzi (aptitude testing)
Halafu njia za kupata degree ni finyu na zina mitego mingi.
Ingekua artisan work is promoted wengine tungejaribu hizo, ila sasa hazilipi Boss wangu.
Alafu huko chuo nako unaweza kujitahidi sana ila Mwalimu akakuonea sababu anakutamani. Hakuna mechanism za kuhakikisha marking system iko fair.
Last but not least, maadili... tumezowea kuyaona kila siku hadi tunasahau kua ni kosa. Imekua ni kawaida tu, ni njia katika njia zingine za kupata unacho kitafuta.
 
Back
Top Bottom