wazungu wanavutia.
unaishi na mzungu
Haya hii ya mzunguUngeanza kutoa picha wewe kwanza.
gfsonwin my sis girls wa kiafrica wana kila sifa,si maumbile tu kwa kila kitu,ila kuna latino mhh,nao wapo juu.jamani mbona bila hata picha hili swala linajadilika? kwanza kabisa uzuri uko machoni pa mwonaji mwenyewe. Pili waafrika na wazungu wanaweza kuwa na na uzuri sawa ama wakatofautiana.
but miye kwangu mwanamke wa kiafrika anasifa hizi kwa mwonekano wa nje anangozi nzuri, umbo mwanana,ana vutia sana hata kwa kumtizama tu. pasi kuvua nguo.yaani wamekaa kubembeleza bembeleza hivi ukilinganisha na mzungu. tizama wanawake wa kitusi ama ethiopia ama eritrea anma swazland kisha njoo hapa tanzania, nenda kondoa, uchagani, tanga, arusha lolest jamani tu wazuri sisi.
Mzungu kwangu mimi ana ngozi mbaya havutii hata kama atakaa uchi wengi wao pia kama siyo make up basi wangetisha. maumbo yao yanechorwa kwa rula sana utafikiri sanamu ya juma na rosa.
bora wanawake wa kihindi wengine waweza kuwakuta wana sura nzuri sana na ingawa hawa maumbo yamewaumbua. Waarabu jamani they are also cute na hata maumbo yao ni mazuri sana