unawazungumzia wazungu wa bara lipi?
wekeni hata ya Wema thepetuJamani! Mbona mnaniangusha?...inamaana hakuna mwenye pic
ndio maana nikamuuliza muhusika, maana kuna wazungu wa aina tofauti kulingana na maeneo wanayotoka...hivyo kulikua na haja ya kubainisha.Hivi wale wanaoishi Latin America nao tunawaita wazungu au? Ila ni wazuri sana kwakweli..
waafrica tupo juu na mawowo yetu pamoja na vitambi....