Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,494
Mie mpaka nimewaonea wivu!i wish aisee
hongereni
Mie mpaka nimewaonea wivu!i wish aisee
hongereni
sana jamaniMie mpaka nimewaonea wivu!
Ni ngumu sana kumpata mwaminifu kiasi hicho!asante,inawezekana hata ww ukapata rafik wa jinsia tofauti,mkaheshimiana,mkapendana na mkasaidiana sana,mkawa tayar kujitoa kwa lolote na msiingie kwny mapenz,hili sisi tumeliweza na tunafrahia sana sanaaaa askwambie mtu
Ni ngumu sana kumpata wa hivyo jamani!sana jamani
upendo wa agape
We unamaanisha msichana ambaye anafanya kazi au biashara, na wale ambao wapo tu home kwao?
Kwa uzoefu wangu ni wasichana/wanawake wachache sana ambao ukiwa rafiki yake atakusaidia katika masuala ya fedha.
Sio kweli mkuu ht waloolewa shwanga mrad heshimaUnaweza kuwa na rafiki wa kike ambaye hajaolewa hasa awe ni yule mpambanaji hasa wafanya biashara huwa ndio wanao mudu haya maisha otherwise akiwa ameolewa inakua ngumu sana.
Ila lazima mtakuja kupendana kimapenz...
Kipingamizi kikubwa huwa kwa waume zao ni wanaume wachache wanaoweza elewa ukaribu huo kuwa hauna nadhara.Sio kweli mkuu ht waloolewa shwanga mrad heshima
Sabato njemamkuu,Mimi naomba nitoe ushuhuda kusapot hoja yako,nipo songea ndiko nakofanyia kaz (41 kj-ruhuwiko),nina rafiki yangu wa kike yy ni mwalim shule ya msingi iramba huko mkoani singida,ni rafiki yangu sana na tumeshibana sana,huwezi amini kampani na misaada tunavyosaidiana mmoja wetu akikwama huyu binti husimama na mm kuliko rafiki yangu wa kiume mwenye hadhi ya mkuu wa mkoa au waziri,nilipata matatzo kdgo kazin halaf nyumbani kukawa na shida iliyohtaj uwekezaj wa nataka sana kuisolve,aliingia bank akakopa 6M akanitumia yote,ishatokea shida flan pia kwao,yy akiwa na hali mbaya kifedha kipind hcho,nikamwambia tulia,nilizama bank na kuomba ruhusa job,nikifunga safar had kwa wazaz wake bariadi huko na nikaisimamia ile shida had tukaimaliza,tulizungushwa sana mahakamani na nyumba ya wazaz wake tukaiokoa kupigwa mnada,tunashibana sana na huyu rafk yng madam D****e
Wivu wa nini eti?Mie mpaka nimewaonea wivu!
AiseeeeNi ngumu sana kumpata mwaminifu kiasi hicho!
Nyie mnajuana toka zamani ndo maana inakuwa rahisi kujenga uaminifu!
Sasa hivi ukimpata rafiki miezi kadhaa anakutongoza!
Mpaka kwa Sanchez??Ni ngumu sana kumpata wa hivyo jamani!
Hao ndo wanakuwaga washikaji wa kweli halafu Wana michongo na connection nyingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Malaya tena?
Daaaah Ruhuwiko kitambo sana, nimesoma advance hapo Mkuu,, vipi sir Rugwaguza bado yupo hapo, sir Chang'waru, sir komba, sir Lusulo, Meja Bahame, kitambo sana pande hizomkuu,Mimi naomba nitoe ushuhuda kusapot hoja yako,nipo songea ndiko nakofanyia kaz (41 kj-ruhuwiko),nina rafiki yangu wa kike yy ni mwalim shule ya msingi iramba huko mkoani singida,ni rafiki yangu sana na tumeshibana sana,huwezi amini kampani na misaada tunavyosaidiana mmoja wetu akikwama huyu binti husimama na mm kuliko rafiki yangu wa kiume mwenye hadhi ya mkuu wa mkoa au waziri,nilipata matatzo kdgo kazin halaf nyumbani kukawa na shida iliyohtaj uwekezaj wa nataka sana kuisolve,aliingia bank akakopa 6M akanitumia yote,ishatokea shida flan pia kwao,yy akiwa na hali mbaya kifedha kipind hcho,nikamwambia tulia,nilizama bank na kuomba ruhusa job,nikifunga safar
mkuu,Mimi naomba nitoe ushuhuda kusapot hoja yako,nipo songea ndiko nakofanyia kaz (41 kj-ruhuwiko),nina rafiki yangu wa kike yy ni mwalim shule ya msingi iramba huko mkoani singida,ni rafiki yangu sana na tumeshibana sana,huwezi amini kampani na misaada tunavyosaidiana mmoja wetu akikwama huyu binti husimama na mm kuliko rafiki yangu wa kiume mwenye hadhi ya mkuu wa mkoa au waziri,nilipata matatzo kdgo kazin halaf nyumbani kukawa na shida iliyohtaj uwekezaj wa nataka sana kuisolve,aliingia bank akakopa 6M akanitumia yote,ishatokea shida flan pia kwao,yy akiwa na hali mbaya kifedha kipind hcho,nikamwambia tulia,nilizama bank na kuomba ruhusa job,nikifunga safar had kwa wazaz wake bariadi huko na nikaisimamia ile shida had tukaimaliza,tulizungushwa sana mahakamani na nyumba ya wazaz wake tukaiokoa kupigwa mnada,tunashibana sana na huyu rafk yng madam D****e
kwa wazaz wake bariadi huko na nikaisimamia ile shida had tukaimaliza,tulizungushwa sana mahakamani na nyumba ya wazaz wake tukaiokoa kupigwa mnada,tunashibana sana na huyu rafk yng madam D****e
Mke wako akiwa na urafiki wa hivi na mtu mwingine utauchukuliaje?Nimependa hii...hongera sana.
Hii inafaa kama wote mnaajukumu ya kifamilia, mko ktk ndoa au so wa mmoja na mheshimu mipaka yenu.
Mkuu, kwanini umekuja kutushauri hivi?Kwanini wa kike?Wazee, Jitahidi Uwe na Japo MARAFIKI WA KIKE kadhaa ambao mtashibana na Kusaidiana bila Mahusiano ya Kimapenzi.
Utakuwa umesolve mambo mengi unayosumbuka nayo.[emoji276][emoji276][emoji276]
Umeoa?Wazee, Jitahidi Uwe na Japo MARAFIKI WA KIKE kadhaa ambao mtashibana na Kusaidiana bila Mahusiano ya Kimapenzi.
Utakuwa umesolve mambo mengi unayosumbuka nayo.[emoji276][emoji276][emoji276]