Washikaji tafuteni marafiki wa kike

Washikaji tafuteni marafiki wa kike

Wazee, Jitahidi Uwe na Japo MARAFIKI WA KIKE kadhaa ambao mtashibana na Kusaidiana bila Mahusiano ya Kimapenzi.
Utakuwa umesolve mambo mengi unayosumbuka nayo.[emoji276][emoji276][emoji276]


Weka bayana, mambo kama yepi? Ninachojuwa mwanamme ukiwa na marafiki wengi wa kike unakuwa na tabia za kisenge/ushoga na haitakuchukua muda unaanza kupenda wanaume wenzako. Tunawaona vijana kama kina Jux na wengine wengi tu.
 
mwaka 2002 tukiwa shule ya msingi huko huko bariadi,baba yake ndo alikuwa mwalim mkuu pale,tulikuwa tukikutana shuleni na kanisani (SDA-church),tulipotezana walivyohamishwa mwaka 2005 namm nikabaki palepale kijijini,nlienda sec bila mawasiliano naye,tukaja kupata mawasiliano mm nikiwa advnc yy akiwa Chuo cha ualim huko ndala tabora,nlienda Chuo kikuu nikasoma semester moja tu nikapiga chini baada ya kupata mchongo sehem nyingine,nikaenda depo tukapitezana,tulizd kupotezana zaid nlivyoenda jamhuri ya afrika ya kati mwaka flani,had narud skuwa na mawasiliano naye, alikuja kunipata kwny mitandao ya kijamii nikiwa nchini Cuba course na kuanzia hapo tukawa zaidi ya marafiki au ndugu,akipata tatzo anajua kabisa msaada namba moja ni mm co ndugu zake,hata mm pia ni hivyohvyo,kuna mambo mengi tushaongea,tushasaidiana,tuko waz kw kila moja,ni msiri wangu na mm ni msiri wake,tunapendana sana halaf hatuoni aibu kueleza tatzo lako kwa mwenzio,tuko free kwa kiasi ambacho siwez elezea
i wish aisee
hongereni
 
Tushakujua wewe ni mjeda hongera sana ila una kosea sehem moja piga miti yeye ujiweke salama ,huyo najua hajaolewa ndio maana umnasaidiana bivyo ila trust me akiolewa tu sahau .nipo kiomboi hapa bomani nielekeze shile au jinalake nimsake ili nijiunge kwenye chain yako ila me ntamtafuna aisew.
hahahaaaaaaa,ashaolewa na ana watoto mapacha aliwapata wiki mbili zilizopita,kesho kutwa nitapita hapo kumsalimia nitakuwa na safar ya musoma,nitapita kiomboi,nikijaga huko tunapenda sana kupatia chakula mgahawani kwa Mariam,nitakuchek bomani hapo mzee,JLC pale mishawahi kumchakaza kipigo askari flani hivi alitaka kunletea noma nikiwa na huyo rafiki yangu,ilikuwa mida ya saa nne asbuhi,nilimpihisha doso hatari,huyo rafik yangu kuanzia pale anaheshimika balaa,hata nikifa wataendelea kumheshim wale jamaa,wanajua kumgusa yy ni kutibua mzinga wa nyuki,
 
mkuu,Mimi naomba nitoe ushuhuda kusapot hoja yako,nipo songea ndiko nakofanyia kaz (41 kj-ruhuwiko),nina rafiki yangu wa kike yy ni mwalim shule ya msingi iramba huko mkoani singida,ni rafiki yangu sana na tumeshibana sana,huwezi amini kampani na misaada tunavyosaidiana mmoja wetu akikwama huyu binti husimama na mm kuliko rafiki yangu wa kiume mwenye hadhi ya mkuu wa mkoa au waziri,nilipata matatzo kdgo kazin halaf nyumbani kukawa na shida iliyohtaj uwekezaj wa nataka sana kuisolve,aliingia bank akakopa 6M akanitumia yote,ishatokea shida flan pia kwao,yy akiwa na hali mbaya kifedha kipind hcho,nikamwambia tulia,nilizama bank na kuomba ruhusa job,nikifunga safar had kwa wazaz wake bariadi huko na nikaisimamia ile shida had tukaimaliza,tulizungushwa sana mahakamani na nyumba ya wazaz wake tukaiokoa kupigwa mnada,tunashibana sana na huyu rafk yng madam D****e
Nishamjua tayar uyo madam ambae nyumba yao ilitaka kuuzwa[emoji16][emoji16] na aliniambia kabisa kuwa wewe umetokea mkoa Fulani unaenda kusimamia shoo yote...... Hongereni Sana kwa urafiki wenu
 
Wazee, Jitahidi Uwe na Japo MARAFIKI WA KIKE kadhaa ambao mtashibana na Kusaidiana bila Mahusiano ya Kimapenzi.
Utakuwa umesolve mambo mengi unayosumbuka nayo.[emoji276][emoji276][emoji276]
Umesikia wanasumbuka na nini kwa mfano ambacho dawa yake ni kuwa na hao uliowataja?
 
I wish nipate rafiki wa hivyo maana kila nikipata rafiki wa kike kama sitamtongoza atanitongoza mwenyewe.
mwaka 2002 tukiwa shule ya msingi huko huko bariadi,baba yake ndo alikuwa mwalim mkuu pale,tulikuwa tukikutana shuleni na kanisani (SDA-church),tulipotezana walivyohamishwa mwaka 2005 namm nikabaki palepale kijijini,nlienda sec bila mawasiliano naye,tukaja kupata mawasiliano mm nikiwa advnc yy akiwa Chuo cha ualim huko ndala tabora,nlienda Chuo kikuu nikasoma semester moja tu nikapiga chini baada ya kupata mchongo sehem nyingine,nikaenda depo tukapitezana,tulizd kupotezana zaid nlivyoenda jamhuri ya afrika ya kati mwaka flani,had narud skuwa na mawasiliano naye, alikuja kunipata kwny mitandao ya kijamii nikiwa nchini Cuba course na kuanzia hapo tukawa zaidi ya marafiki au ndugu,akipata tatzo anajua kabisa msaada namba moja ni mm co ndugu zake,hata mm pia ni hivyohvyo,kuna mambo mengi tushaongea,tushasaidiana,tuko waz kw kila moja,ni msiri wangu na mm ni msiri wake,tunapendana sana halaf hatuoni aibu kueleza tatzo lako kwa mwenzio,tuko free kwa kiasi ambacho siwez elezea
 
Back
Top Bottom