iyo true na watz wengi wanawaza simba na yanga na ndo vitu wanavyoweza kujadili na kuwaunganisha ila sio vitu vingine vya maendeleo binafsi au ya nchiKila nikiwasikiliza mashabiki wengi wa mpira bongo wanavyongea, kuandika na katika tambo na mabishano yao ya kimpira huwa nashindwa kuelewa kama vichwa vyao ni vizuri au kweli ni hisia na mahaba tu ya timu zao za mpira.
POle Sana kwa kujamba kwako mkuu, nashauri uende mlongazila wakuchekiNa wewe huwa unabishana mpira mpaka unatokwa povu au kujamba??
Watu wanakusanya stress za ndoa biashara madeni ukiongezea na za mpira we unahisi nini kitatokea kama sio bomu la nyukliaIla hawa washabiki wengi wa mpira ni kama wamechanganyikiwa muda wote.
Huu Uzi umeshaharibika jaribu kunena😁Ngoja nifunge mudomo, nikinena
Nitaharibu.
Football fanaticsKila nikiwasikiliza mashabiki wengi wa mpira bongo wanavyongea, kuandika na katika tambo na mabishano yao ya kimpira huwa nashindwa kuelewa kama vichwa vyao ni vizuri au kweli ni hisia na mahaba tu ya timu zao za mpira.