Washa Taa Mchana (HODi)

Nyakarungu

JF-Expert Member
May 1, 2011
472
375
NIMEFANIKIWA KUSAJIRI NGO YA KIJAMII,ITAKAYOJIHUSISHA NA UTETEZI WA HAKI ZA BINADAMU KWA MASUALA YA AFYA.

INAITWA NYUMBA YA UTU (HOME OF DIGINITY (HODi)).


pamoja na kutetea haki za kiafya za binadamu pia itatoa elimu ya uelewa kwa jamii anuai.
itafanya kazi mkoa wa mara, na baadae itaweza kukua na kufikia maeneo mengine.

Mungu ibariki ari na nguvu hii.

kauli mbiu ya washa taa mchana itatumika pia.
mimi ni mwenyekiti wa board yake nikiwa mwanzilishi.
mengine nitawajuza kadri muda unavyokwenda.

Tabibu Grayson M. Nyakarungu.
 
Back
Top Bottom