Sahani20
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 1,519
- 740
matarajio na matokeo yalikuwa tofauti ndio maana tukapiga chinimbona ninyi mliwatumia kwenye kampeini zenu za mwaka 2015
matarajio na matokeo yalikuwa tofauti ndio maana tukapiga chinimbona ninyi mliwatumia kwenye kampeini zenu za mwaka 2015
Safi.Chadema ina macho makali kuliko ya Tai , tumeshaweka kikosi huru cha darubini mkuu , shaka ondoa .
umesema kweli tupu, kakosa hela ya wakili, nao wanamtumia kwani hawana pa kuuza sura zaidi ya mahakamaniAKUFAAE KWA DHIKI NDO RAFIKI.MUONE JINSI ATAKAVYOSAIDIWA KESI YAKE NA LISSU MTABAKI MIDOMO WAZI.WEMA BORA UMETAMBUA MAPEMA KULEEEE HAKUNA WA KUKUFUTA MACHOZI
Wamejitambua ila wewe bado hujajua nini kinakuweka hukoalie weka thamani sawa ya kura kwa watanzania alikosea sana.
haiwezekani bendera fata upepo, mtu asiye na uwezo wa kufikiria kura yake kuwa na thamani sawa na anayefikiria.
hao wasanii ni bendera fata upepo (kama ni kweli) maana hawajui nini kinawapeleka huko zaidi ya kumfata wema
Hapo umeshindwa kudadavuaNdio maana marekani kuna electoral college
Macho makali wangepokea mafisadi?Chadema ina macho makali kuliko ya Tai , tumeshaweka kikosi huru cha darubini mkuu , shaka ondoa .
Ukitaka kujua kama walikuja au bado fanya hivi chukua kura za Dr Slaa 2010 Lipumba na mgombea wa NCCR Mageuzi za 2010 alafu linganisha na kura alizopata lowasa 2015 jibu utapataMbowe wakati wa kumpokea lowasa alisema lowasa ataleta wanachama wapya Chadema milioni 2 toka CCM walishakuja?
Kwa mujibu wa tume ya uchaguziMbowe wakati wa kumpokea lowasa alisema lowasa ataleta wanachama wapya Chadema milioni 2 toka CCM walishakuja?
lengo lake ni ubunge,wakimpa hata wa viti maalum anasepaMsiwaamini sana hawa wasanii..
Wanajali zaidi matumbo yao..
Hata wema uchaguzi ujao hautafanyika akiwa Chadema.. Mtaifufua hii post!
Diamond mmemvuruga nae anavaa gwanda...wema+diamond =6m wafuasiHivi ni msaanii gani atahama ssm aumize kichwa mtu sasa hivi?? Steve nyerere au nani hawa huwa wanatumiwa na kutupwa kama CONDOM hamna msanii mwenye powerful mind nchii..
Wale jamaa hawataki masikhara kabisaNdio maana marekani kuna electoral college