ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Wako huru kuhama, kwenda kokote, vyovyote. Tatizo ni nini? Nawe uko huru hivyohivyo. Kama wako wasita kuutumia, hilo lako?Msiwaamini sana hawa wasanii..
Wanajali zaidi matumbo yao..
Hata wema uchaguzi ujao hautafanyika akiwa Chadema.. Mtaifufua hii post!