Wasanii wakisafiri na Rais nje wanakwenda kutumbuiza? Nani atagharamia safari zao?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
943
4,459
Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?

Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?

Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
 
Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?

Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?

Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
Watakula keki ya Taifa
 
Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?

Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?

Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
Huku pesa ni za Rais na siyo mali ya umma
 
Diamond platnumz
rais wa wasafi WCB
na Simba la masimba dangote

😃😃😃😃😃
 
Koh Koh Koh Koh
yaw yaw yaw jeshiiiii
it's konde boy
your boy from kitoholi
harmonize 😃😃😃😃😃
 
Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?

Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?

Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
Hizo ni baadhi ya athari zitokanazo na Mamlaka makubwa ya Kikatiba na kisheria wanayopewa baadhi ya viongozi so bado kuna safari ndefu kuelekea ukombozi wa kifikra.
 
Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?

Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?

Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
Kwani neno ”MUHESHIMIWA” siku hizi limeshushwa thamani?

Labda kamusi imebadilika,nawaza tu!
 
Hoja zako ni dhaifu kwa sababu ilielezwa sababu ya kwenda nao nje ya nchi. Pili unaposema misafara mirefu Ni hoja dhaifu maana hajasema kuwa ataambatana na wasanii wote wanaopatikana katika nchi hii.bali ni kwa kuchagua tu msanii hata mmoja au wawili kwa safari moja. Lakini pia unaposema habari za gharama nayo ni hoja dhaifu sana kwa sababu Mheshimiwa Rais kwa kutumia mshahara wake tu hawezi kushindwa kumlipia na kumsafirisha msanii mmoja au wawili katika safari yake.

Ikumbukwe wasanii wana ushawishi mkubwa sana na wanafaida kubwa sana katika kuitangaza nchi yetu na ni miongoni mwa watu walioitangaza na kuipeperusha vyema sana bendera ya Taifa letu Duniani kwote. Jiulize pia wasanii kama Diamond ana wafuasi wangapi wanaomfuatilia mtandaoni?

Usiwe na mawazo mafupi.fikiri na tumia vyema akili yako.
 
Watatumia Dilimulaina zile zilizonunuliwa na kodi za wananchi kupitia yule mwamba marehemu.

Na huko waendako watakaa, Kula na kunywea five star hotel Kwa hela za kodi za wananchi.
 
Kenya inapiga hatua, Tz iko busy kufanya mambo ya kipuuzi
kwepa kodi kadiri uwezavyo
Kenya siyo wenzetu. Na Ruto alialikwa huko siyo kama huyu wetu anaendaga huko kujipuyangia tu. Ona madude aliyopata!

IMG-20240525-WA0090.jpg
IMG-20240526-WA0070.jpg
IMG-20240526-WA0069.jpg
 
Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?

Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?

Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
Posho,hotel na gharama zote za wasanii tutakuwa tunatoa sisi serikali mtatufanya nn?....
 
Back
Top Bottom