Wasanii wa kike wa Bongo Fleva ambao walitamba kisha wakatoweka

"We ndo uliyejigonga... da jo halfcast la kimanga, ukikataa nitajinyonga... leo unaniponda?"

Si ulileta nyodo?!!

Long live Da Jo popote ulipo.

-Kaveli-
Hahaha Inspector mwenyewe anazimia na yeye :D :D :D :D :D :D akimuona tu oh Miss Kigamboni.
 
Besta alikua Noma!! Nyimbo yake ya Baby Boy mpaka leo hii ni Moto🔥
 
Aiseee Hardman na Fatma waliimba lile goma lao linaitwa TAMALA lilibamba kinoma noma. Hilo la Eno Mic nakumbuka mwaka 2003 kuna jamaa zangu Waingereza walinikutaga nasikiliza kwenye Walk-Man wakalipenda kinoma, wakaomba niwaandikiage mistari yake. Daah hata kiganda chenyewe nikawa sijui, nikaandikaga pumba tu. These moments were one among the Best times of my life.......
na wao wakazibeba pumba kama pumba zilivo au walistukia wakaedit?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom