dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
Yaaah..alafu kuna mmoja alikuwa anaimba kama saida kalori..kiasili asiliUnique sisters! Wale watoto wa kipozi
Wimbo mmojwapo ni akatambala
Yaaah..alafu kuna mmoja alikuwa anaimba kama saida kalori..kiasili asiliUnique sisters! Wale watoto wa kipozi
Tamala binafsi ni one of my favorite song of all the time. bila kumsahau producer mika mwamba alitisha sana kwenye beatAiseee Hardman na Fatma waliimba lile goma lao linaitwa TAMALA lilibamba kinoma noma. Hilo la Eno Mic nakumbuka mwaka 2003 kuna jamaa zangu Waingereza walinikutaga nasikiliza kwenye Walk-Man wakalipenda kinoma, wakaomba niwaandikiage mistari yake. Daah hata kiganda chenyewe nikawa sijui, nikaandikaga pumba tu ila kuvimba tu kwa totoz za Scotland, such good memories............
Noma sana mzee, kama wale wasanii ndiyo wangekuwepo kipindi hiki cha utandawazi naamini wangefika mbali mno.Tamala binafsi ni one of my favorite song of all the time. bila kumsahau producer mika mwamba alitisha sana kwenye beat
Kweri kabisa mkuuNoma sana mzee, kama wale wasanii ndiyo wangekuwepo kipindi hiki cha utandawazi naamini wangefika mbali mno.
Hata producers walikuwa wameenda shuleUmenifanya ni zame Youtube..kiukweli hicho kipindi bongo flavour kweli ilikua inamashiko..sio ya wasanii wa kipindi hiki bongo fleva imejaa matusi tupu.
#MaendeleoHayanaChama
Ni dada yake.Huyo Maunda Zoro ni mke wa Banana Zoro???
Nawasilisha swali
Hivi huyu Fatma ndio yule jamaa wa kundi la WAWILI walikua wanapenda kumshirikisha?List haiwezi kukamilika bila kumuweka Fatma yule dada yake na Hardmad, dada alikuwa anaimba aisee, kipindi hiko bila kumuweka kwenye chorus wimbo wako haukubaliki kitaa.
Ule wimbo wa Eno mic wa Ziggy D wa Uganda mpaka leo nausikilizaga saana hasa kile kisauti cha huyu bidada.
Uishi milele EYCE,
Uishi milele wewe mtaalam.
Nadhani kuna nyimbo zao hao wanamama ni timeless.
Ila wooooote naona mmemsahau dada yetu kipenzi Saida Karoli.
Our Lady Maunda Zorro was just ahead of her time,....
Aina ya muziki aliyokuwa anaifanya angekuwa sehemu kama Nigeria angefika mbali mno.
Alikuwa kifua na miguu mizuri.
Uzi siupi marks bila dada ENIKAH, VUMILIA(utanikumbuka) etc
Zay B mwana dada Gaidi
Da Jo Da JO tumekukubali na bado ft Bad Spark.
Sara Kipingu na Caz T aka angwisaKuna yule aliimba "nakuhitaji mpenzi wangu nakuhitaji" sijui cat b
Ni mdogo wakeHuyo Maunda Zoro ni mke wa Banana Zoro???
Nawasilisha swali