MAAMUZI MAGUMU.
Ninafahamu kuwa ni Demokrasia na kila mmoja ana uhuru wa kuchagua na kuamua LAKINI....
I have officially unfollowed
diamondplatnumz
Mwanafa and
wemasepetu
I followed them because I love their art and entertainment...I never thought they were politically blind.
Mmoja katoka Shule ya Tandale huku ikiwa haina mahitaji muhimu kama walimu, madarasa, vitabu nk. Pia ameacha kabisa kutoa albums kwasababu serikali ya Chama tawala imeshindwa kusimamia haki na hatimiliki za kazi zake. Amesahau hata Waganda na Wakenya kazi zao zinasimamiwa na serikali vyema na ni mabilionea.
Mwingine ni Muigizaji, amefanya sanaa kwa zaidi ya miaka 9 sasa. Lakini bado anarandaranda kwenye nyumba za kupanga, amesahau katika nchi nyingine ambapo serikali inathamini kazi za wasanii, leo hii angekuwa ni Bilionea.
Mwingine ni Mkuu wa Kwaya, amekuwa kwenye Game kwa miaka zaidi ya 10. Mafanikio yake hayalingani na wasanii wengi wa kiwango chake katika nchi za wenzetu ambapo kazi za wasanii zinathaminiwa. Amejisahau sana kuwa leo hii alitakiwa kuwa sawa kimafanikio na kina 2Face au hata Jose Chameleone. "Umasikini mkubwa kuliko wote ni umasikini wa Mawazo/akili"- J.K Nyerere.