kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Wasanii huwa wanatumika kubeba mgongoni mafisadi kwenda Ikulu. Demokrasia yetu bado ni changa, baada ya uchaguzi kwisha kazi za wasanii hao zitadoda kwa hasira za walioshindwa, na mifano hai tunayo ya wasanii walioanguka kwasababu tu za kushabikia vyama fulani wakati wa uchaguzi.
Kabla ya kukubali kandarasi ya kukipigia kampeni chama chochote fikiria kwanza hali ya kazi zako za kisanii zitakuwaje baada ya uchaguzi kumalizika.
Kabla ya kukubali kandarasi ya kukipigia kampeni chama chochote fikiria kwanza hali ya kazi zako za kisanii zitakuwaje baada ya uchaguzi kumalizika.