mnang'umba
JF-Expert Member
- Jun 26, 2015
- 471
- 150
Wapo wangapi?wanafikia hata nusu ya wale Zanzibar waliompokea Jana?
ukweli unauma kumbee, hao wasanii si ndio wa kwanza kuja kulalamika serkal hailindi maslahi yao leo wananunuliwa kwa mlo wa jioni pale mliman city,tokea uchaguzi wa 2010 ni lini katika kumbukumbu zako raisi ashawaita wasanii akakaa nao wakapata mlo pamoja? au ni kwa kipindi hichi cha kampeni kuanza ndio anawakumbuka wasanii.Japo hao wasanii nao hawajielewi wanarubuniwa kirahisi
Mpaka sasa wasanii wafuatao wamempost Magufuli
1. Wema
2. Zamaradi
3.Barnaba
4.Shilole
5. Dogo Aslay
6.Linah
Hawa ni wale niliowafollow instagram mm
Diamond hajapost ila naona kawatuma Dancer wake na mpiga picha wake na wapambe wake hii isitukatishe tamaa sisi tunaomuunga mkono Lowasa
Japo wana ''kainflunce'' kwa kiasi chao...wengi wao wana zero knowledge kuhusu siasa....
Magufuli ndiyo kiongozi pendwa na watanzania tunaomba mungu atusaidie huyu fisadi Lowasa asiwe kiongozi atauza taifa letu huyu Lowasa mwizi mpaka anajiibia mwenyewe.
Mpaka sasa wasanii wafuatao wamempost Magufuli
1. Wema
2. Zamaradi
3.Barnaba
4.Shilole
5. Dogo Aslay
6.Linah
Hawa ni wale niliowafollow instagram mm
Diamond hajapost ila naona kawatuma Dancer wake na mpiga picha wake na wapambe wake hii isitukatishe tamaa sisi tunaomuunga mkono Lowasa
Wasanii wengi ni watumiaji wa madawa ya kulevya.
tyta wewe ni mtu nakuheshim sana ila uliposema wana influence, kweli hawa wana lolote mkuu???? Au kuna mwizi kaingilia account yako??
Mpaka sasa wasanii wafuatao wamempost Magufuli
1. Wema
2. Zamaradi
3.Barnaba
4.Shilole
5. Dogo Aslay
6.Linah
Hawa ni wale niliowafollow instagram mm
Diamond hajapost ila naona kawatuma Dancer wake na mpiga picha wake na wapambe wake hii isitukatishe tamaa sisi tunaomuunga mkono Lowasa
hembu tuache unafiki hv hali ya wasanii ya 2010 hatuoni maendeleo yoyote?kama wewe ulivo na sababu ya kumpgia kura lowassa na wao wanasababu ya kumpgia na kua upande wa ccm