yitzhak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 616
- 853
Yaani mambo yanavyoenda hii nchi walahi IPO siku Tanzania itakuwa nchi tatu au NNE kama ilivyo somalia
Hii nchi kuna familia kadhaa zinajiona nchi ni ya kwao ndio hawataki wengine waongoze wanataka wao au watu wanaowataka wao tu
Walimzima Mzee lowasa kwa kumpaka kila matope Mzee wa watu walimpa stress mpaka sasa amezeeka kuliko umri wake
Je hili kundi linataka kuipeleka wapi hii nchi?
Hawa kina membe walisahau nini mbona walivuna kila aina ya utajiri
Hao kina nani sijui wametoka kwao nchi imeoza uko wamekuwa mabilionea Tanzania wamewinda tembo wetu fedha wanaenda kulisha ndugu zao huko
Kwahizi fujo mnataka kuzianzisha hakika tutaamua kumuunga mkono magufuli
Kuna juhudi kubwa zinafanyika Urais uwe halali ya waswahili
Tutaamua kumuunga mkono magufuli pamoja na mapungufu
Hii nchi kuna familia kadhaa zinajiona nchi ni ya kwao ndio hawataki wengine waongoze wanataka wao au watu wanaowataka wao tu
Walimzima Mzee lowasa kwa kumpaka kila matope Mzee wa watu walimpa stress mpaka sasa amezeeka kuliko umri wake
Je hili kundi linataka kuipeleka wapi hii nchi?
Hawa kina membe walisahau nini mbona walivuna kila aina ya utajiri
Hao kina nani sijui wametoka kwao nchi imeoza uko wamekuwa mabilionea Tanzania wamewinda tembo wetu fedha wanaenda kulisha ndugu zao huko
Kwahizi fujo mnataka kuzianzisha hakika tutaamua kumuunga mkono magufuli
Kuna juhudi kubwa zinafanyika Urais uwe halali ya waswahili
Tutaamua kumuunga mkono magufuli pamoja na mapungufu