Wasaidieni walimu wa Private schools

Wasaidieni walimu wa Private schools

Wakaguzi na wizara ya kazi lazima waufyate. Shule zao wao zina stink to high heaven! Ofisi ya Rais Tamisemi, Captain Yusuph Makamba Secondary School Dar es Salaam, watoto wana division sufuri kama wote.
*
Wazazi nao hawana nguvu ya kulalamika. Private schools wanatunga mitihani ya NECTA. Shule ya wasichana ya Masista Mbeya mwaka huu Form 4 wameandikwa Guiness Book of World Records. Watahiniwa wote kituo cha mtihani wana pointi saba Utawaambia nini, hutaki mtoe mtoto wako.

Na hela wanapiga. St. Marian Boys and St. Marian Girls wamefanya intetview Bagamoyo. Wamekuja watoto 6,000. Mtihani buku 50. Jumla 300 Milion non refundable quick cash.

They dont give a flying fvck about what you say, and they can afford not to.

Umeleta logical fallacy inayoitwa Texas shapshooter fallacy.

Texas Sharpshooter Fallacy

Kuchagua data zinazothibitisha dai lako na kupuuza zile zinazolikanusha.

Yaani umechagua st francis na marian ambazo nii secondary schools kwenye uzi unaongelea engish medium primary schools za watu binafsi
 
Salam kwenu.. Nije kwenye hoja.. Hawa walimu wanasikitisha.. Mishahara ni midogo sana.. 200,000/- mpaka 400,000/- kwa mwezi.

Kazi ni kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni. Jumatatu mpaka Jumamosi. Hakuna overtime wald posho.. Lakini wewe mzazi unalipa 2,000,000/- kwa mwaka..

Swali la kujiuliza ni Je huyo mwalimu anayemfundisha mwanao ana thamani ya kumfundisha mwanao.. Jibu ni hapana.. Shule zinaajiri vijana wadogo wasio na uzoefu wala weledi wa Ualimu. Lengo ni wamiliki wa shule kupata Super profit..

Je.wewe mzazi unaona sawa mwanao afundishwe na mwalimu wa kuokoteza wakati wewe unalipa mamilioni.?? Jibu ni hapana. Wakaguzi, wazazi na idara ya kazi pitieni kwenye hizi shule mkajionee mauzauza
Yeah!..hawa walimu nao wakumbukwe na maslahi yao yaboreshwe
 
Sema hata huko kwenye shule binafsi nako kumegawanyika. Zipo zinazolipa vizuri, na zipo hizo za wanyonyaji.

Mfano mdogo tu kuna shule moja maarufu ya binafsi huku Lushoto (inamilikiwa na Kanisa), hakuna mwalimu anayelipwa mshahara mbuzi kama huo. Nipo nao hapa hao walimu. Kuna wengine wanakunja milioni 2+ kila mwezi. Ukiwakuta wote wana vitambi!
St Mary Mazinde Juu iko Magambq , Hamna njaa pale
 
Wahenga wanadai udaktari, unesi, ualimu ni WITO.
Walioenda ughaibuni wanadai walimu kule, wa ngazi zote, wanawajali sana sana sana.
Kwetu wanaojaliwa ni machawa na wanasiasa tu!
Wenzetu wanaelewa, kizazi kijacho lazima kifundishwe na watu wanaojaliwa na dola. Sisi?! Bhaaa!
Kazi bado ipo sana sana sana
Kwani wanajeshi wanakula ngapi?
 
Nilichogundua ni walimu kukutumia wazaz kama vichwa. Yaani anakushawishi uwe unamlipa 30k au 50k kwa mwezi eti awe anamsaidia mwanao.

Yaani kuna shule ziko tabata ni upuuzi mtupu shule ukiangalia mhasibu ni shemeji wa mmiliki. Ni aibu anaifanya shule kama genge la nyanya.

Amepata wanafunzi wengi anaringa. Anadhani wazaz ni vipofu
😂😂😂😂
 
Ama ndo ajira serikalini zinatolewa kwa mchongo...!!???

Hao wa private wote wangehamia shule za kanumba.
Bora laki 6 kuliko laki 4.
Hata wangelipwa laki tatu lakini serikalini kuna security.

Tatizo serikali haina uwezo wa kuajili au haina vipaumbele.

Kuna kundi la wahuni wachache tu ndio wakakula keki ya Taifa ukianza na Wabunge.

Hivi mtu hata diploma hana analipwa mshahara wa zaidi ya million 14 kwa mwezi na marupurupu kibao.
 
Nilichogundua ni walimu kukutumia wazaz kama vichwa. Yaani anakushawishi uwe unamlipa 30k au 50k kwa mwezi eti awe anamsaidia mwanao.

Yaani kuna shule ziko tabata ni upuuzi mtupu shule ukiangalia mhasibu ni shemeji wa mmiliki. Ni aibu anaifanya shule kama genge la nyanya.

Amepata wanafunzi wengi anaringa. Anadhani wazaz ni vipofu
Kuna shule nilimpeleka mtoto kufanya mtihani wa kujiunga majibu yalipotoka eti amefeli yule mkuu wa shule anataka rushwa eti anisaidie nikamwambia apeleke matako yake mbele, nilitafuta shule nyingine, yani wanawafelisha makusudi ili wachukuwe rushwa na hapo wamekulia pesa ya form.
 
Labda ina tofautiana na shule, kunae mtu namfahamu anafundisha shule ya private, yeye anapokea 700k.
 
Salam kwenu.. Nije kwenye hoja.. Hawa walimu wanasikitisha.. Mishahara ni midogo sana.. 200,000/- mpaka 400,000/- kwa mwezi.

Kazi ni kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni. Jumatatu mpaka Jumamosi. Hakuna overtime wald posho.. Lakini wewe mzazi unalipa 2,000,000/- kwa mwaka..

Swali la kujiuliza ni Je huyo mwalimu anayemfundisha mwanao ana thamani ya kumfundisha mwanao.. Jibu ni hapana.. Shule zinaajiri vijana wadogo wasio na uzoefu wala weledi wa Ualimu. Lengo ni wamiliki wa shule kupata Super profit..

Je.wewe mzazi unaona sawa mwanao afundishwe na mwalimu wa kuokoteza wakati wewe unalipa mamilioni.?? Jibu ni hapana. Wakaguzi, wazazi na idara ya kazi pitieni kwenye hizi shule mkajionee mauzauza
Shule binafsi wanatumia uhaba wa ajira kuwaumiza walimu kimaslai. Kazi nyingi ujira kidogo. Poleni
 
Na hawana cha kazi Jumamosi wala baada ya muda wa kazi. Hawana mausumbufu sijui ya kuandaa mitest ya kila wiki wala nini; wao 8 hrs sharp or less majukumu yao yameisha wanarudi makwao. Hawana stress kabisa.
Wanatoa test 500 watoto 200 week8ana kibunda =100000
 
Back
Top Bottom