KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,766
- 86,448
yapo tena makali sana!Meno unayo...!!?😁
yapo tena makali sana!Meno unayo...!!?😁
mkuu upo lushoto maeneo gani? utakuwa unaizungumzia st. mary mazindeSema hata huko kwenye shule binafsi nako kumegawanyika. Zipo zinazolipa vizuri, na zipo hizo za wanyonyaji.
Mfano mdogo tu kuna shule moja maarufu ya binafsi huku Lushoto (inamilikiwa na Kanisa), hakuna mwalimu anayelipwa mshahara mbuzi kama huo. Nipo nao hapa hao walimu. Kuna wengine wanakunja milioni 2+ kila mwezi. Ukiwakuta wote wana vitambi!
Unapelekaje mtoto huko wakati hela yako ni yakuunga unga?
Hivyo vitambi kwa walimu wa Lushoto ni madhara ya kunywa mataputapu na siyo kwa sababu ya hiyo 2m+Sema hata huko kwenye shule binafsi nako kumegawanyika. Zipo zinazolipa vizuri, na zipo hizo za wanyonyaji.
Mfano mdogo tu kuna shule moja maarufu ya binafsi huku Lushoto (inamilikiwa na Kanisa), hakuna mwalimu anayelipwa mshahara mbuzi kama huo. Nipo nao hapa hao walimu. Kuna wengine wanakunja milioni 2+ kila mwezi. Ukiwakuta wote wana vitambi!
Peleka mtoto kayumba acha maneno.mengiKwa watanzania wengi si wanajenga nyumba lakini uwezo wa kujenga ni wa kuunga unga .
Mifumo ndiyo inayowafanya watu hata hospitali za serikali wanashindwa kupeleka wagonjwa wao kwa sababu ya huduma duni .
Mtu anauza mali zake ili mgonjwa atibiwe hata India .
Watu wanataka mtoto aweze kupata elimu inayoendana na dunia . Ni lazima aunge unge.
Hivi unajua Tanzania hata Pangekuwa na Gereza la kulipia wetu wangepelekwa wafungwa wao huko hata kwa kuuza mali zao ?
Ni mara ngapi watu wameuza mpaka Nyumba kwa ajili ya kumaliza Kesi .?Ungekuwa na ufahamu mzuri ungekuwa unajua kuwa huduma zote za umma ni mbovu sana na hazimjengi mtu wa chini zaidi ya kumfanya Kuwa jeuri na katili asiyejali wengine wala kuwatendea wema .
Kayumba darasa moja lina wanafunzi 700. Hilo ni darasa au mkutano wa kufunga kampeni za CCM .?Peleka mtoto kayumba acha maneno.mengi
Upo sahihi kaka.. Kazi ya Ualimu imekuwa ni upumbavu..Cheap is expensive always. Pia ualimu is no longer a job now.
Mazinde Juu, jirani na ilipokuwa SEKOMU University!Sema hata huko kwenye shule binafsi nako kumegawanyika. Zipo zinazolipa vizuri, na zipo hizo za wanyonyaji.
Mfano mdogo tu kuna shule moja maarufu ya binafsi huku Lushoto (inamilikiwa na Kanisa), hakuna mwalimu anayelipwa mshahara mbuzi kama huo. Nipo nao hapa hao walimu. Kuna wengine wanakunja milioni 2+ kila mwezi. Ukiwakuta wote wana vitambi!
Sio Harvard kweli hii 😂Nilichogundua ni walimu kukutumia wazaz kama vichwa. Yaani anakushawishi uwe unamlipa 30k au 50k kwa mwezi eti awe anamsaidia mwanao.
Yaani kuna shule ziko tabata ni upuuzi mtupu shule ukiangalia mhasibu ni shemeji wa mmiliki. Ni aibu anaifanya shule kama genge la nyanya.
Amepata wanafunzi wengi anaringa. Anadhani wazaz ni vipofu