Wasaidieni walimu wa Private schools

Wasaidieni walimu wa Private schools

Sema hata huko kwenye shule binafsi nako kumegawanyika. Zipo zinazolipa vizuri, na zipo hizo za wanyonyaji.

Mfano mdogo tu kuna shule moja maarufu ya binafsi huku Lushoto (inamilikiwa na Kanisa), hakuna mwalimu anayelipwa mshahara mbuzi kama huo. Nipo nao hapa hao walimu. Kuna wengine wanakunja milioni 2+ kila mwezi. Ukiwakuta wote wana vitambi!
mkuu upo lushoto maeneo gani? utakuwa unaizungumzia st. mary mazinde
 
Unapelekaje mtoto huko wakati hela yako ni yakuunga unga?


Kwa watanzania wengi si wanajenga nyumba lakini uwezo wa kujenga ni wa kuunga unga .
Mifumo ndiyo inayowafanya watu hata hospitali za serikali wanashindwa kupeleka wagonjwa wao kwa sababu ya huduma duni .
Mtu anauza mali zake ili mgonjwa atibiwe hata India .

Watu wanataka mtoto aweze kupata elimu inayoendana na dunia . Ni lazima aunge unge.

Hivi unajua Tanzania hata Pangekuwa na Gereza la kulipia wetu wangepelekwa wafungwa wao huko hata kwa kuuza mali zao ?
Ni mara ngapi watu wameuza mpaka Nyumba kwa ajili ya kumaliza Kesi .?Ungekuwa na ufahamu mzuri ungekuwa unajua kuwa huduma zote za umma ni mbovu sana na hazimjengi mtu wa chini zaidi ya kumfanya Kuwa jeuri na katili asiyejali wengine wala kuwatendea wema .
 
Hi
Sema hata huko kwenye shule binafsi nako kumegawanyika. Zipo zinazolipa vizuri, na zipo hizo za wanyonyaji.

Mfano mdogo tu kuna shule moja maarufu ya binafsi huku Lushoto (inamilikiwa na Kanisa), hakuna mwalimu anayelipwa mshahara mbuzi kama huo. Nipo nao hapa hao walimu. Kuna wengine wanakunja milioni 2+ kila mwezi. Ukiwakuta wote wana vitambi!
Hivyo vitambi kwa walimu wa Lushoto ni madhara ya kunywa mataputapu na siyo kwa sababu ya hiyo 2m+
 
Kwa watanzania wengi si wanajenga nyumba lakini uwezo wa kujenga ni wa kuunga unga .
Mifumo ndiyo inayowafanya watu hata hospitali za serikali wanashindwa kupeleka wagonjwa wao kwa sababu ya huduma duni .
Mtu anauza mali zake ili mgonjwa atibiwe hata India .

Watu wanataka mtoto aweze kupata elimu inayoendana na dunia . Ni lazima aunge unge.

Hivi unajua Tanzania hata Pangekuwa na Gereza la kulipia wetu wangepelekwa wafungwa wao huko hata kwa kuuza mali zao ?
Ni mara ngapi watu wameuza mpaka Nyumba kwa ajili ya kumaliza Kesi .?Ungekuwa na ufahamu mzuri ungekuwa unajua kuwa huduma zote za umma ni mbovu sana na hazimjengi mtu wa chini zaidi ya kumfanya Kuwa jeuri na katili asiyejali wengine wala kuwatendea wema .
Peleka mtoto kayumba acha maneno.mengi
 
Peleka mtoto kayumba acha maneno.mengi
Kayumba darasa moja lina wanafunzi 700. Hilo ni darasa au mkutano wa kufunga kampeni za CCM .?
Darasa limejaa watoto watukutu waliolala na njaa .
Wanahasira kama mbu wa Masika .
Darasa lina Kelele kama soko la Kariakoo
.Keyumba labda iwe boding lakini sio day.
 
Ndugu zangu ukitaka kujua uhuni unaofanyika kwenye hizi shule basi chukua mtihani wa mwanao halafu mpe afanye tena ukiwa umemsimania..
 
Sema hata huko kwenye shule binafsi nako kumegawanyika. Zipo zinazolipa vizuri, na zipo hizo za wanyonyaji.

Mfano mdogo tu kuna shule moja maarufu ya binafsi huku Lushoto (inamilikiwa na Kanisa), hakuna mwalimu anayelipwa mshahara mbuzi kama huo. Nipo nao hapa hao walimu. Kuna wengine wanakunja milioni 2+ kila mwezi. Ukiwakuta wote wana vitambi!
Mazinde Juu, jirani na ilipokuwa SEKOMU University!
 
Nilichogundua ni walimu kukutumia wazaz kama vichwa. Yaani anakushawishi uwe unamlipa 30k au 50k kwa mwezi eti awe anamsaidia mwanao.

Yaani kuna shule ziko tabata ni upuuzi mtupu shule ukiangalia mhasibu ni shemeji wa mmiliki. Ni aibu anaifanya shule kama genge la nyanya.

Amepata wanafunzi wengi anaringa. Anadhani wazaz ni vipofu
Sio Harvard kweli hii 😂
 
Back
Top Bottom