Wasafi Wanaiba kazi za Mkito

Wasafi Wanaiba kazi za Mkito

washazoea copy/paste hao ukiwauliza watakwambia hiyo ndio iko kwenye trend sasa hivi,producer wao alicopy beat ya davido wakajitetea weee,lakini tunaojua fakeness yahawa hatuhangaiki nao tunawapuuza tu
 
Wasafi wametumia copy exactly ile walivyoweka Mkito, hadi font style hadi colour everything except the logo. Unasema hakuna mmiliki?
Usikute manager wasafi ni yule kisura anaitwa kifesi. Alikuwepo JF akakimbia.
Sasa utapata nini hapo km mpuuzi huyo kapewa aongoze huo mtandao?
 
Back
Top Bottom