Nedago
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 908
- 1,348
Habari wakuu?,I hope you do good.
Diamond platnumz leo wakati wa kutambulisha watangazaji wapya wa vipindi vya michezo pale Wasafi HQs.
Mbele ya wageni waalikwa na mgeni rasmi waziri wa michezo Mh, Dkt.Mwakyembe.
Ametangaza kuwa ndani siku chache zijazo yaani 3, Wasafi TV itakuwa inaonekana Africa nzima na sio Tanzania tu au hapa East Africa tu, hii itakuwa ndiyo the first entertainment media from East African region to broadcast across all african countries,
Tofauti na nyingine ambazo zina cover Tanzania au East Africa tu.
Hadi hapa Diamond atakuwa kaleta mapinduzi makubwa hapa Tanzania na East Africa kwa ujumla katika Entertainment Media Industry.
Hongera kwake na ndicho tulichokuwa tunataka, challenge ni muhimu katika ukuaji wa tasnia ya habari naamini na wengine watafuata, ili hata Mtanzania ukiwa Ghana uweze kucheki media za Bongo bila wasi wasi.
Diamond platnumz leo wakati wa kutambulisha watangazaji wapya wa vipindi vya michezo pale Wasafi HQs.
Mbele ya wageni waalikwa na mgeni rasmi waziri wa michezo Mh, Dkt.Mwakyembe.
Ametangaza kuwa ndani siku chache zijazo yaani 3, Wasafi TV itakuwa inaonekana Africa nzima na sio Tanzania tu au hapa East Africa tu, hii itakuwa ndiyo the first entertainment media from East African region to broadcast across all african countries,
Tofauti na nyingine ambazo zina cover Tanzania au East Africa tu.
Hadi hapa Diamond atakuwa kaleta mapinduzi makubwa hapa Tanzania na East Africa kwa ujumla katika Entertainment Media Industry.
Hongera kwake na ndicho tulichokuwa tunataka, challenge ni muhimu katika ukuaji wa tasnia ya habari naamini na wengine watafuata, ili hata Mtanzania ukiwa Ghana uweze kucheki media za Bongo bila wasi wasi.