TheGodfather95
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 1,759
- 1,800
I
Hii habari ni ya mda sana mleta uzi Sasa
Hii habari ni ya mda sana mleta uzi Sasa
Unaelewa unachoongea mzee?Umetumia akili ya kuvukia barabara kwenye mfano wa UFM, nishalitolea maelezo humu. Akili kubwa wenyewe washaelewa kwanini UFM iko hizo frequency.
Unahisi kwanini hawana matangazo ya condom, au pombe, au huduma shindani dhidi ya Azam?
Kusema nilifanya kazi, alikua/ni rafiki yangu, nimesomea hayo mambo nk ni weak defending points.Hili suala binafsi nilikuwa nalifahamu tangu 2011 wakati nafanya kazi kwenye media house. Wengi wenu humu JF hamjui mambo mengi sana ya mjini. Mmesoma ila mambo ya town mko nyuma sana.
Wabongo bwana wakisoma pcm wanashoboSo hizi issue za Stochastic Signals, Diterministic signal,Electromagnetism, sijui Mieletronics, modulation and demodulation,Radio and TV Broadcasting, Transimission
Sasa Mkuu, huyo Ali Kiba hajazungukwa na watu? Na huyo Dullah Planet hajazungukwa na watu pia mpaka hii habari iwe siri?I View attachment 2930478
Hii habari ni ya mda sana mleta uzi Sasa
Usisahau hii ni TANZANIA,YASIYOWEZEKANA HAPA YANAWEZEKANA VIZURI TUHiyo Paragraph ya mwisho uwongo,Frequency ni mali ya TCRA yy ndiye anaye panga na kuengineer na ukitaka nenda pale TCRA Frequency bado wanazo na ukimzingua anakunyang'anya Frequency zake.
Crown FM nigga
Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao.
Chanzo ni TRA
Diamond ambaye amekuwa akitafutwa na maafisa kodi kwa muda mrefu, huku yeye akitumia 'janja janja' kuwakwepa, maafisa kodi hao wamehamishia majeshi kwa Joseph Kusaga.
Joseph Kusaga ambaye majukumu ya uendeshaji amemwachia Diamond, amekuwa akimpigia simu mara nyingi bila mafanikio.
Hivyo Diamond anawakwepa maafisa kodi, na huku simu za Kusaga pia hapokei.
Kusaga achoshwa na mabifu ya Diamond!
Inaarifiwa kuwa Kusaga amekuwa akilalamika mara nyingi juu ya mabifu ya Diamond na watu wengi ambayo yanaikwamisha Wasafi Media kukua.
Wakati anaanzisha media hiyo 2016, alikuwa na malengo makubwa ya kuikuza kuwa kubwa pengine kuizidi Clouds Media ambayo ni mali ya familia yao. Hivyo kupitia umaarufu wa Diamond alitegemea kuvuna wasikilizaji kutoka kila pembe ya nchi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limefanikiwa ila kikwazo kikiwa ugomvi wa Diamond na watu wengi ambao wengi hutumia mabifu hayo kama fursa ya kuikwamisha Wasafi Media.
Kusaga amgeukia Ali Kiba…
Habari za uhakika ni kwamba mastermind huyo wa biashara za vyombo vya habari na nyinginezo lukuki, ameelekeza nguvu zake kwa hasimu wa Diamond, Ali Kiba.
Wawili hao (Kusaga na Ali) wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha masuala muhimu likiwemo jina rasmi la kutumika kuitambulisha Media hiyo.
Kupitia chanzo changu makini nimefanikiwa kunasa jina linalopewa kipaumbele, Kings Media (Kings TV & Kings FM).
Pia watangazaji ambao tayari wameshawekwa kwenye list ni Abdallah Ambua ‘Dullah Planet’ aliyeng’oka EATV na EA Radio hivi karibuni, pamoja na Khalid Mohamed ‘TID’.
Kusaga na utajiri wa frequencies!
Kwa wafuatiliaji wa masuala ya media hasa radio, watakuwa wanafahamu ya kwamba hivi sasa hakuna frequency mpya hapa jijini Dar Es Salaam.
Yaani kwamba ukitaka kuanzisha redio huwezi kupata mawimbi ya kukuwezesha kusikilizwa Dar, labda ununue (frequency) ambayo inamilikiwa na wengine kisha uibadilishe kuwa redio yako.
Wajanja wa mjini wamezihodhi, akiwemo Joseph Kusaga ambaye anaarifiwa kuwa nazo kwa idadi ambayo haifahamiki.
Kupitia chanzo changu nyeti,
Nifah.
Haya masuala ya mtu kumiliki frequency kusaga mwenyewe alishawahi kuliongelea hili sualaFM frequency inaanzia 87.5 hadi 108.0 na inajumla ya ya frequencies 101
Mpaka sasa Dar kuna frequency chini ya 50 zinazotumika na vituo mbali mbali vya Fm radio
Frequency hazinunuliwi kama njugu kusema utazinunua tu uziweke ndani zikae tu utakavyo
Utapewa frequency baada ya kuwa umetimiza masharti na vigezo vyote vya kuwa na Fm radio..... yaani umekamilisha mitambo na kila kitu ndio unaomba, nasio unakwenda na tai yako tu unajza form unapewa frequency
Serikali inatambua limitation ya frequency hairuhusu unakwenda tu na form zako unajaza unapewa
Dar bado frequency zipo, zinazo tumika ni chini ya frequency 50
Ukiilipia hayo masafa si inakua mali yako?Hiyo Paragraph ya mwisho uwongo,Frequency ni mali ya TCRA yy ndiye anaye panga na kuengineer na ukitaka nenda pale TCRA Frequency bado wanazo na ukimzingua anakunyang'anya Frequency zake.
Kipaji hikosijui lini namimi nitakuja kufanyiwa umbea hivi...😅
Sio mali yako ni mali ya TCRAUkiilipia hayo masafa si inakua mali yako?
Alisemaje mkuu?Haya masuala ya mtu kumiliki frequency kusaga mwenyewe alishawahi kuliongelea hili suala
Kama kumbukumbu zangu zitakuwa sawa nadhani alikuwa akihojiwa na salama jabir akazungumzia namna ilivyo changamoto kupata frequency maana kuna watu wamezi hodhi etcAlisemaje mkuu?
Acha kujipaisha basi we taarifa umeileta juzi jna redio inzinduliwa bado unaiita hyo taarifa ni nyetiNina chanzo nyeti mnooo, mpaka nawaandikia hapa mnatakiwa muondoe shaka.
Hii habari ninayo wiki nzima sasa, mimi na chanzo tulishauriana tuitoe katika siku sahihi, ndio leo.
Shukrani za dhati kwa chanzo changu.
hiyo habari Mange aliandika now ni mwaka inaenda na alikuwa anaupdate kila mara ,wewe unakuja kuandika siku 1 kabla ya uzinduzi.Uko serious kweli wewe? Nenda kalete alichoandika yeye na muda aliopost ulinganishe na kwangu.
Watu wengine bwana.
udaku unalipia kama wewe unavyolipia malaya halafu anakupa gono.Kwahiyo Duuh!
Unamvusha da mange ngapi kwa mwezi kusoma udaku? au uko premium membership
Ndio unaniambia wewe kama Mange alikuwa anasema mimi wala sina habari.hiyo habari Mange aliandika now ni mwaka inaenda na alikuwa anaupdate kila mara ,wewe unakuja kuandika siku 1 kabla ya uzinduzi.
we bibi cheupe uko serious kweli?
anawatumiaje wakati wako na share?Kama ni kwel bas Kusaga ana akili za kufa mtu. Maana anawatumia tu hao wajinga wawil kuongeza financial millage.
KOsa pesa pata akili, pesa zitalufuata tu