Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,526
- 25,734
Wakuu mbali mbali habari za Wakati kama huu...
Nimeleta huu mahsusi ili Wasabato watuambie hii ina maanisha nini...
Tunafahamu ndugu Yetu Isaack Gamba(R.I.P) alikuwa ni Msabato.....Na kwa kadiri ya Mafundisho ya Wasabato ambayo yalihasisiwa na Nabii Ellen Gould White, Msalaba kwenye Kanisa la SDA ni haramu, upagani....Kwa Kifupi Ellen G White alikataza waumini wake kuwa na misalaba na alama zozote kwenye kanisa lake....
Sasa nilikuwa naomba ufafanuzi kutoka kwa Wasabato hicho ni kitu gani kwenye kaburi la ndugu yetu Isaack Gamba....maans siyo Msalaba...je! Ni alama ya nini...? Inawakilisha kitu gani...?
Je! Mbona EGW alipinga alama ndani ya Kanisa....
Nawakaribisha..
@sactus anacletus
mitale na midimu
Dumelang
blackstarline
@Idhiambo
Ntuzu
Kitaja