Wasabato, hii kitu ina maana gani?

Otorong'ong'o

JF-Expert Member
Aug 17, 2011
37,526
25,734
FB_IMG_1541180468084.jpg


Wakuu mbali mbali habari za Wakati kama huu...

Nimeleta huu mahsusi ili Wasabato watuambie hii ina maanisha nini...

Tunafahamu ndugu Yetu Isaack Gamba(R.I.P) alikuwa ni Msabato.....Na kwa kadiri ya Mafundisho ya Wasabato ambayo yalihasisiwa na Nabii Ellen Gould White, Msalaba kwenye Kanisa la SDA ni haramu, upagani....Kwa Kifupi Ellen G White alikataza waumini wake kuwa na misalaba na alama zozote kwenye kanisa lake....

Sasa nilikuwa naomba ufafanuzi kutoka kwa Wasabato hicho ni kitu gani kwenye kaburi la ndugu yetu Isaack Gamba....maans siyo Msalaba...je! Ni alama ya nini...? Inawakilisha kitu gani...?

Je! Mbona EGW alipinga alama ndani ya Kanisa....

Nawakaribisha..

@sactus anacletus
mitale na midimu
Dumelang
blackstarline
@Idhiambo
Ntuzu
Kitaja
 
Mkuu nataka nifahamishwe hiyo ni alama ya nini...??? Ina maahisha nini..?

Na kama ni alama inayo masnisha kitu fulani, mbona sasa Mtakuwa mnaenda kinyume na Mafundisho ya muanzilishi wa Usabato Ellen G White, ambaye alipiga marufuku alama yoyote kwenye Usabato...?
Ellen G White sio mwanzilishi wa sabato
 
Wasabato wakianzisha mada kuhusu ukatoliki, wakatoliki huwa mnafanya kama hamfatiliagi madhehebu mengine lakini kumbe ni wale wale...



Dini hizi😃

Mkuu biblia imesema wazi kuwa nyakati za mwisho watatokea maadui wa Msalaba.....Sasa ukiangalia kwa makini hapo kwrnye hilo kaburi ni kama Ulikuwa ni Msalaba ila ukakatwa kwa juu kufanya alama ya T..

Je! Hiyo alama ina maanisha nini...? Kwann ikatwe???
 
Duuh wasiwe wqnamaanisha Kristo alitundikwa kwenye msalaba kwenye umbo la T.
Lakini hiyo ni sanamu pia, wameanza lini tabia hiyo Na inamaanisha nini?
Mkuu au Ndio wale maadui wa Msalaba biblia iliyowataja kuwa watajitokeza....?
 
Ndio nilichouliza, hicho kitu kama Msalaba uliokatwa kwa juu ukafanya herufi kama T ni kitu gani ..??
hahaha mkuu naona unakomaa sio mchezo.
Kaiulize familia yake, maana kama umesema sio msalaba unataka sisi tupige ramli.

kwa harakaharaka naona kama ni kibao cha kuandikia maandishi yaliyoandikwa hapo.
Kuhusu Msalaba wasabato wamejikita kwenye maana ya Msalaba na Yesu alichokifanya pale msalabani sio Ile Miti au sanamu ya misalaba. Hata ukikuta imewekwa na msabato mahali usipaniki, maana Kilicho nyuma ya msalaba ndio kinamaana kwa msalaba sio ule mti, Ukimkuta anaubusu, au kuuonyeshea tendo lolote la kiibada kanakwamba unasehemu katika ibada au wokovu wake muulize vizuri labda yuko darasa la ubatizo.

Pia ukisema Hellen White kasema kitu, vizuri kukionyesha, usijekujikuta unatembelea kwenye uzushi ulionyweshwa bila kutafakari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom