Warumi baby

Warumi baby

kazipata sana..
hata yeye kakumiss sana!

have you ever climb mount kilimanjaro?

Poa poa.

Naona swali lako lina majibu mia....
ila wakubwa tushaelewa....Kwi!!!!! kwi!!!!!! kwi!!!!!
 
Bahati imekufata hadi miguuni si vyema kuipiga teke.Binamu hebu mkubalie mtoto wa mwanamke mwenzio
 
mbona mwatuchanganya? warumi njoo toa utata.. wewe ni mwanaume au mwanamke?
 
Last edited by a moderator:
mbona mwatuchanganya? warumi njoo toa utata.. wewe ni mwanaume au mwanamke?

Sasa utata upi? Mbona warumi anawachanganya hivyo? Im not a big person as you guys think, just small one, so chukueni jembe mkalime
 
Last edited by a moderator:
Unataka Mungu akupe gunia la chawa au akupe mapele mwilini?

Kwq hiyo una msuport huyo au? Sikuelewi, mungu anipe gunia la chawa la nini wakat nina gunia la umbea apa ata kulibeba nashindwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom