Warumi baby

Warumi baby

habari zenu wakuu,

najua wengi mtashangaa kwa nini nimeamua ku express hisia zangu hapa.
sababu iliyonifanya ni kutokana na huyu bi dada namuogopa(sijui kwanini
ila ninampenda sana ingawa sijawahi kumuona) sana kiasi kwamba nimeogopa
kumzamia pm moja kwa moja.

sina maneno mengi ila ndio hivyo tena kaka yenu nimetokea kumpenda sana
huyu dada anayeitwa warumi

warumi naomba unionee huruma me nateseka juu yako...najua unaweza kuhoji
nakujua au nakufahamu? ki ukweli sikufahamu ila ndio hivyo moyo wangu
umedondoka kwako.

please warumi naomba usinijibu vibaya
ukaniumbua mwenzako. kama nimekuudhi naomba unisamehe kisha unipotezee.
narudia tena dear kama nimekuudhi unisamehe na unipotezee.

warumi wahi kuna roho ya mtu hapa inadondoka plz haraka sana
 
Last edited by a moderator:
Km ni hivi subir namm nimchagua mmoja humu jf sijui nitafanikiwa.

Ila warumi sio fresh inamaa huyo jamaa ndo hujamuelewa anacho maanisaha auu?
 
habari zenu wakuu,

najua wengi mtashangaa kwa nini nimeamua ku express hisia zangu hapa. sababu iliyonifanya ni kutokana na huyu bi dada namuogopa(sijui kwanini ila ninampenda sana ingawa sijawahi kumuona) sana kiasi kwamba nimeogopa kumzamia pm moja kwa moja.

sina maneno mengi ila ndio hivyo tena kaka yenu nimetokea kumpenda sana huyu dada anayeitwa warumi

warumi naomba unionee huruma me nateseka juu yako...najua unaweza kuhoji nakujua au nakufahamu? ki ukweli sikufahamu ila ndio hivyo moyo wangu umedondoka kwako.

please warumi naomba usinijibu vibaya ukaniumbua mwenzako. kama nimekuudhi naomba unisamehe kisha unipotezee. narudia tena dear kama nimekuudhi unisamehe na unipotezee.

Pm haraka.
 
Last edited by a moderator:
Kaka tafadhali, tena taratibu.... huyu warumi tumetoa mafichoni juzi tu wewe unataka tena tuunde team warumi (Bring back our warumi) muache binamu tafadhali


habari zenu wakuu,

najua wengi mtashangaa kwa nini nimeamua ku express hisia zangu hapa. sababu iliyonifanya ni kutokana na huyu bi dada namuogopa(sijui kwanini ila ninampenda sana ingawa sijawahi kumuona) sana kiasi kwamba nimeogopa kumzamia pm moja kwa moja.

sina maneno mengi ila ndio hivyo tena kaka yenu nimetokea kumpenda sana huyu dada anayeitwa warumi

warumi naomba unionee huruma me nateseka juu yako...najua unaweza kuhoji nakujua au nakufahamu? ki ukweli sikufahamu ila ndio hivyo moyo wangu umedondoka kwako.

please warumi naomba usinijibu vibaya ukaniumbua mwenzako. kama nimekuudhi naomba unisamehe kisha unipotezee. narudia tena dear kama nimekuudhi unisamehe na unipotezee.
 
Last edited by a moderator:
Kaka tafadhali, tena taratibu.... huyu warumi tumetoa mafichoni juzi tu wewe unataka tena tuunde team warumi (Bring back our warumi) muache binamu tafadhali

Achana nao hao
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom