njeeseka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,371
- 976
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu mpangilio wa noti pindi ninavyorudishiwa chenji zangu ninaponunua bidhaa na bado naendelea na utafiti.
Kuna siku moja ghafla nilipata wazo la kuangalia chenji baada ya kufanya manunuzi; nilitoa elfu kumi na kununua bidhaa na nilirudishiwa elfu sita yaani elfu tano moja na elfu moja, yule aliyerudisha aliweka elfu tano juu na elfu moja chini. Baadae tena nilinunua vocha ya elfu moja baada ya kutoa elfu kumi, chenji chenji nilipewa elfu tano juu na elfu mbilimbili chini yake.
Nimeendelea na utafiti na jambo hilo.limejitokeza mara kwa mara nikitoa elfu kumi chenji zinarudishwa kwa mpangilio wa iliyo kubwa inawekwa juu na zenye thamani ndogo zinawekwa chini.
Leo nimefanya manunuzi nimerudishiwa elfu saba zikiwa ktk mpangilio km ninavyoueleza ( nimekuwekea picha chini). Mpangilio huu umenishtua kwani mimi kwa kawaida ninapangilia pesa kubwa chini na ile dogo naweka juu, sasa hii imekuwa kinyume chake ndio maana ninashtuka, sina hakika kama wanaorudisha chenji huwa wanakosea au mipangilio yao iko sahihi au kuna jambo lipo nyuma ya pazia.
Nimeleta hapa jamvini ili kama kuna mtu anaelewa lolote karibu tujuzane, km huelewi pia ruksa kuuliza au kuweka nyongeza/nyamanyama...
Kuna siku moja ghafla nilipata wazo la kuangalia chenji baada ya kufanya manunuzi; nilitoa elfu kumi na kununua bidhaa na nilirudishiwa elfu sita yaani elfu tano moja na elfu moja, yule aliyerudisha aliweka elfu tano juu na elfu moja chini. Baadae tena nilinunua vocha ya elfu moja baada ya kutoa elfu kumi, chenji chenji nilipewa elfu tano juu na elfu mbilimbili chini yake.
Nimeendelea na utafiti na jambo hilo.limejitokeza mara kwa mara nikitoa elfu kumi chenji zinarudishwa kwa mpangilio wa iliyo kubwa inawekwa juu na zenye thamani ndogo zinawekwa chini.
Leo nimefanya manunuzi nimerudishiwa elfu saba zikiwa ktk mpangilio km ninavyoueleza ( nimekuwekea picha chini). Mpangilio huu umenishtua kwani mimi kwa kawaida ninapangilia pesa kubwa chini na ile dogo naweka juu, sasa hii imekuwa kinyume chake ndio maana ninashtuka, sina hakika kama wanaorudisha chenji huwa wanakosea au mipangilio yao iko sahihi au kuna jambo lipo nyuma ya pazia.
Nimeleta hapa jamvini ili kama kuna mtu anaelewa lolote karibu tujuzane, km huelewi pia ruksa kuuliza au kuweka nyongeza/nyamanyama...