GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,099
Awamu hii ya sita wenye pesa wana pesa mpaka wanatambaa kama walevi waliozidiwa na pombe na maskini kwao hata kupata elfu kumi na tano kwa siku ni ngumu sana,Naongelea kwa sasa kupata chenji ya elfu kumi ni shida sana kwa maskini.
Tunapoongelea ubepari wengi walikuwa hawaelewi maana yake lakini sasa wanapata picha kamili ya neno Free capitalism.
Wakati vita ya Ukraine inaanza tulielezea hapa madhara ya muda mrefu wa vita lakini Kuna watu walikuja na kutupinga hapa JF kuhusu ongezeko la bei za bidhaa na shilingi kupoteza thamani.
Watu waliohodhi Dola za kimarekani sasa wanaishi Maisha kama walevi, Maisha ya kunywa na kutambaa
Kwa sisi wafanyabiashara neno dola linatuumiza vichwa sana kwani tunatumia shilingi nyingi sana kupata dola Moja ya kimarekani ili tuagize bidhaa na Mali ghafi.
Ni Nani anaumia kwa sasa?
Walio na pesa wana pesa kweli na maskini kwa sasa ni maskini kweli.
Ingawa pesa inazidi kuzunguka wewe kwanini pesa haikufikii awamu hii ya sita?
Baadhi ya sisi wafanyabiashara unaamua kutafuta dola unakokujua wewe lakini ukisubiri za kubadilisha na shilingi basi utaambiwa na Bank njoo kesho baada ya kesho unaambiwa tumepata kidogo sana hivyo mlipe supplier wako kiasi kidogo utamalizia
Tunapoongelea ubepari wengi walikuwa hawaelewi maana yake lakini sasa wanapata picha kamili ya neno Free capitalism.
Wakati vita ya Ukraine inaanza tulielezea hapa madhara ya muda mrefu wa vita lakini Kuna watu walikuja na kutupinga hapa JF kuhusu ongezeko la bei za bidhaa na shilingi kupoteza thamani.
Watu waliohodhi Dola za kimarekani sasa wanaishi Maisha kama walevi, Maisha ya kunywa na kutambaa
Kwa sisi wafanyabiashara neno dola linatuumiza vichwa sana kwani tunatumia shilingi nyingi sana kupata dola Moja ya kimarekani ili tuagize bidhaa na Mali ghafi.
Ni Nani anaumia kwa sasa?
Walio na pesa wana pesa kweli na maskini kwa sasa ni maskini kweli.
Ingawa pesa inazidi kuzunguka wewe kwanini pesa haikufikii awamu hii ya sita?
Baadhi ya sisi wafanyabiashara unaamua kutafuta dola unakokujua wewe lakini ukisubiri za kubadilisha na shilingi basi utaambiwa na Bank njoo kesho baada ya kesho unaambiwa tumepata kidogo sana hivyo mlipe supplier wako kiasi kidogo utamalizia