Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,574
- 3,133
Habari za Jumapili wanajukwaa,
Maisha hayajawahi kuwa mepesi na hayatakuja kuwa mepesi. Ugumu wa maisha ninaamini ulianza punde tu mara baada ya wale watu wawili kula tunda pale bustanini. Kilichofuata baada ya hapo kila mtu anajua.
Baada ya kumaliza elimu ya chuo nikarudi home kujipanga upya. Niliweka plan zangu za kujiari kupitia saving za boom na plan nyngne za kutafuta mtaji nikiwa kitaa. Mambo hayakwenda sawa kama nilivyodhania.
Anuani ya makazi walinipiga chini, sensa nayo niliangukia kidevu kwenye sakafu.
Life likawa gumu lakini uhakika wa kula ulikuwepo maana wazazi wangu hawakuwa na noma kwani me licha ya kuwa nmerudisha mpira kwao lakini nilikuwa najiongeza Kwa deiwaka mtaani ,kuchoma mkaa ,kufua nguo za watu nk.
October basi mwaka jana ikatokea nafasi za kazi kwenye kampuni moja huku kwetu. Niliapply vizuri tu bila hata kwenda stationery ( vijana tujiongeze kutumia simu zetu vizuri) . Baada ya kama siku tano hivi baada ya kutuma maombi nikapigiwa simu ya kwenda kwenye interview.
Umbali wa Toka home hadi hapo ni kama km 20 hivi (haipungui). Nikicheki sina nauli nina sh. 1500/= tu yaani buku jero. Na toka mchakato unaanza sijawahi muambia mtu maana nilishajifunza baada ya kufeli mara kadhaa kwani nilikuwa nawaambia watu kila kitu kunihusu. Hapa hata mama sikumuambia kabisa. Nilimdanganya kuwa kuna mahali naenda. Anaulizia ni wapi me nikawa namjibu ya kuwa nitakuambi.
Sasa changamoto ni nauli. Basi nikapanga ya kuwa hapa ni kutembea tu ya mguu ila itabidi nisafiri siku moja kabla ya siku ya usaili.
Nikadamka saa kumi usiku huyo lengo ni kuwa asbh niwe nimefikia kwa ndugu yangu anayekaa karibu na hiyo kampuni anipe hifadhi( naye nilimdanganya nakuja kufanya nn ila nikamuambia kuna mishe nafuatilia)
So mama alishangaa niko serious bhn.. nimeamka saa kumi najiandaa nipo sebuleni natoa simu kwenye chaji akaamka akanipa elfu mbili jumla nikawa na elfu tatu na mia tano. Lakini ikawa haitoshi nauli kabisa.
Wazee Kijijini kwetu ni misitu minene balaa mpaka unafika na inatisha ila niliamua kusafiri muda wa usiku ili nisionewe huruma na mtu. Nikifka salama saa tatu asbh . Buku mbili nikanunulia bundle nikazama humu jf jukwaa la ajira kule nikakutana na uzi mmoja unazungumzia maswali ambayo ni huyokea mara kwa mara kwenye interview.
JF ibarikiwe sana maana kila nilichokisoma mule basi nikakutana nacho vilevile. Majibu mengine nilijibu kutokana na uelewa wangu. Nikatoka kwenye interview nikijisemea ya kuwa hapa nimeua. Nikarudi home Kijijini kuendelea na issue nyingine nikisubiri week mbili nilizopewa kama kuna majibu ya kuitwa kazini .
Maisha hayajawahi kuwa mepesi na hayatakuja kuwa mepesi. Ugumu wa maisha ninaamini ulianza punde tu mara baada ya wale watu wawili kula tunda pale bustanini. Kilichofuata baada ya hapo kila mtu anajua.
Baada ya kumaliza elimu ya chuo nikarudi home kujipanga upya. Niliweka plan zangu za kujiari kupitia saving za boom na plan nyngne za kutafuta mtaji nikiwa kitaa. Mambo hayakwenda sawa kama nilivyodhania.
Anuani ya makazi walinipiga chini, sensa nayo niliangukia kidevu kwenye sakafu.
Life likawa gumu lakini uhakika wa kula ulikuwepo maana wazazi wangu hawakuwa na noma kwani me licha ya kuwa nmerudisha mpira kwao lakini nilikuwa najiongeza Kwa deiwaka mtaani ,kuchoma mkaa ,kufua nguo za watu nk.
October basi mwaka jana ikatokea nafasi za kazi kwenye kampuni moja huku kwetu. Niliapply vizuri tu bila hata kwenda stationery ( vijana tujiongeze kutumia simu zetu vizuri) . Baada ya kama siku tano hivi baada ya kutuma maombi nikapigiwa simu ya kwenda kwenye interview.
Umbali wa Toka home hadi hapo ni kama km 20 hivi (haipungui). Nikicheki sina nauli nina sh. 1500/= tu yaani buku jero. Na toka mchakato unaanza sijawahi muambia mtu maana nilishajifunza baada ya kufeli mara kadhaa kwani nilikuwa nawaambia watu kila kitu kunihusu. Hapa hata mama sikumuambia kabisa. Nilimdanganya kuwa kuna mahali naenda. Anaulizia ni wapi me nikawa namjibu ya kuwa nitakuambi.
Sasa changamoto ni nauli. Basi nikapanga ya kuwa hapa ni kutembea tu ya mguu ila itabidi nisafiri siku moja kabla ya siku ya usaili.
Nikadamka saa kumi usiku huyo lengo ni kuwa asbh niwe nimefikia kwa ndugu yangu anayekaa karibu na hiyo kampuni anipe hifadhi( naye nilimdanganya nakuja kufanya nn ila nikamuambia kuna mishe nafuatilia)
So mama alishangaa niko serious bhn.. nimeamka saa kumi najiandaa nipo sebuleni natoa simu kwenye chaji akaamka akanipa elfu mbili jumla nikawa na elfu tatu na mia tano. Lakini ikawa haitoshi nauli kabisa.
Wazee Kijijini kwetu ni misitu minene balaa mpaka unafika na inatisha ila niliamua kusafiri muda wa usiku ili nisionewe huruma na mtu. Nikifka salama saa tatu asbh . Buku mbili nikanunulia bundle nikazama humu jf jukwaa la ajira kule nikakutana na uzi mmoja unazungumzia maswali ambayo ni huyokea mara kwa mara kwenye interview.
JF ibarikiwe sana maana kila nilichokisoma mule basi nikakutana nacho vilevile. Majibu mengine nilijibu kutokana na uelewa wangu. Nikatoka kwenye interview nikijisemea ya kuwa hapa nimeua. Nikarudi home Kijijini kuendelea na issue nyingine nikisubiri week mbili nilizopewa kama kuna majibu ya kuitwa kazini .