kipenga
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 219
- 55
Hello friends
Kama ulikuwa hujui soma hapa chini.
Simu za nokia lumia asilimia zote
hamna hata inayokubali kufanya kazi
kwenye matumizi ya kuhusiana na
pesa kwa maana ya M pesa au Tigo pesa na kuendelea
kwa hiyo penda kujua na
kufahamu kama unapo chagua simu
akikisha umesha ijua kiundani zaidi
na sio ununue simu usiyoijua. . . .
i know wat am talking.
Take-care friends.
Kama ulikuwa hujui soma hapa chini.
Simu za nokia lumia asilimia zote
hamna hata inayokubali kufanya kazi
kwenye matumizi ya kuhusiana na
pesa kwa maana ya M pesa au Tigo pesa na kuendelea
kwa hiyo penda kujua na
kufahamu kama unapo chagua simu
akikisha umesha ijua kiundani zaidi
na sio ununue simu usiyoijua. . . .
i know wat am talking.
Take-care friends.