Warning: kuhusu NOKIA LUMIA

Warning: kuhusu NOKIA LUMIA

hahaha nsivyoipenda OS wa WP kwa simu yoyote ile halafu ukinitajia na Nokia ndo kabisaaa cna hata ham nayo since my last N97 ... hiyo Lumia 920 ukiniekea na iPhone 4, nachukua iPhone
 
hapo nyekundu mbona uongo mtakatifu,,ni nani huyo anayejiingiza kwenye matatizo ya kununua simu za Nokia mwaka 2013, bora usevu hiyo hela ununue i4n au galaxy :twitch:

Kumbe huwa unafika mpaka huku nimefurahi kukuona kwenye jukwaa hli!!
 
Sijui mnachobishana kwani huduma ya Airtel,Tigo na M pesa hutolewa na kampuni husika
Pili line zote inawezeshwa kutoa huduma ya kampuni husika
 
unapokea simu
unapokea msg
unapiga simu
unatuma msg
upo online whatsapp
upo online sijui twitter facebook instagram
wewe ni senior member jf unataka kila saa uingie
bado umesign kwa emails yahoo gmail hotmail na saa zingine msn messenger
teh teh hiyo hiyo unaandaa presentation ya kesho
kila saa kujifotoa mapicha na mivideo
bila kusahau you tube kila saa
simu hiyo hiyo unailalamikia haikai na chaji??
ahaaaa zioneeeni huruma basi na muwe fair kufanya judgement
watu wengine ni waku ignore tu hata ukiwapa elimu kama hii wahakuelewi, kuna mwingine alinifuata nimuuzie simu yangu tena kwa kunilazimisha nikamuuzia baada ya siku mbili akanifuata anadai simu haikai na chaji nikamrudishia hela yake nikamwambia kuwa yeye ni ---- katika hizo siku mbili ni siku gani alikuwa hachanyanyi haya uliyoyaandika hapo juu, baadae akaja eti achukue tena nikamwambia azifuate madukani zipo kibao
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom