MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Aise nitafurahi Sana kumuona Mzee warioba anaapishwa kuwa raisi Wangu kwa sababu najua atatengeneza katiba itakayo dumu miaka 100
Mzee Slaa hammtaki tena?
Aise nitafurahi Sana kumuona Mzee warioba anaapishwa kuwa raisi Wangu kwa sababu najua atatengeneza katiba itakayo dumu miaka 100
Mzee Slaa hammtaki tena?
Bora wewe umekuwa mkweli kuwa Waryoba ni UKAWA.
Iko wazi mkuu kwa hali ilivyo WARIOBA NI UKAWA hajathibitishwa tu
CCM ya baba zetu sio hii ya sasa. Ile utajiri ilikuwa disqualification factor no. 1. Leo sii ajabu mabilionea wanatangaza wazi kugombea uongozi hata urais. Warioba anafaa, awe kama Mandela wetu umri is just a number. Wenye umri mdogo ndio hao wana kamatwa na AK47 hotelini.