thebigbobo
Senior Member
- Sep 25, 2014
- 168
- 17
Ukistaajabu ya mungu utayaona ya ibilisi....iyooo apo mkuu
Utakuwa na bwawa we si bure
Ukistaajabu ya mungu utayaona ya ibilisi....iyooo apo mkuu
Ukistaajabu ya mungu utayaona ya ibilisi....iyooo apo mkuu
Utakuwa na bwawa we si bure
Huyu msomi kapost kule MMU eti demu wake ana uchi mkubwa na yeye ana kibamia! Anaomba ushauri! Hawa ndo wasomi wetu eti!
Kula like mkuu! Natumia nokia ya tochi, hebu msaada wa kuiweka hapa juu ili iwe 'visible"
Ukiwa CCM usomi wako unaiacha kando na unakuwa zuzu.Unanifuata fuata
Mimi ni msomi tena sana katika maswala ya science. Nimebahatika kupata Kazi nzuri kiasi kuniwezesha kuwa na DSTV. Vipindi ni vingi ila napenda habari za nje ya nchi. Nimefuatilia sana katiba ya kenya pia nchi mbalimbali, muungano wetu ni mzuri sana na unamaadui wengi ila serikali3 ni kuvunja muungano. Je waryoba ana hila gani na hii nchi?? Rasimu ya katiba ilapaswa kubadilishwa kuendana na mahitaji ya kisiasa ya sasa waryoba alitaka wabunge wafanyeje?
Najua CCM haijawahi kumpitisha waziri Mkuu yoyote Kugombea urais. Je atagombea upinzani??
Mkuu, hapa kwa maoni yangu naona kuna mambo 3 yanayoweza kuwa yanamsumbua Warioba.
1.Inawezekana kabisa anaweza kuwa anatumika na mataifa ya magharibi (inluding CIA) kufanya kile alichofanya aliyekuwa rais wa Urusi iliyosambaratishwa, (Mikael Gorbachouv) ambaye alilipwa hela nyingi kuvunga muungano wa Urusi, basi inawezekana naye kalipwa kufanya hivyo.
2.Hasira za kuachwa nje ya game kwa muda mrefu,bila kuwa ndani ya system.
3.Huenda Chadema wanataka kumtumia kama mgombea wao.
Hayo ni mawazo yangu tu.
Hee kumbe ndo huyu -----!!!! kaulizwa maswali madogo tu lameshindwa kujibu hoja sasa anakuja kuchokonoa huku lazima aishie kutukana. kaniharinia siku sana huyu thebigbobo aisee
Ndo huyu anajiita msomi wa kiwango cha juu tena sayansi huku anashindwa kumridhisha demu wake... Yaani wasomi wa FISIEM hawa bure kabisa!
Cc tumboo
Kuna watu wanajua naongea nini!!
Naona uzi wako wa MMU ambao umeshindwa kumridhisha demu kwa kibamia chako na kuchepukia kwa housegirl umefutwa!! Hebu kajipange upya mzee wa Dstv!
Cc tumboo
Niiwekeje juu wapi mkuu npe maelekezo ili niiwekee
Ni jenge hoja gani huku watu wapumbavu tu wanamslahi binafsi wanania ya kuvuruga ili wapate madaraka