Warioba: Mimi na Salim urais basi

Warioba: Mimi na Salim urais basi

Wewe si msomi bali ni kichomi, hakuna msomi anayeweza kuandika ujinga huu. Kwani ungetoa mada bila majigambo ya elimu yako na unakofanyia kazi ungepungukiwa nini? Eti oooh nafanyakazi DSTV, so what?
 
Unapaswa kufikiri kabla ya kusema, jaji waryoba hajaweka maoni yake bali matakwa ya wananchi na tafiti zilizopita.
 
Kwa watafakuzi na wadadavuzi wa mambo walishaona kuwa c.c.m yote kwa ujumla ni dhaifu sana kwa sasa kupita vindi vyote ilivyopitia huko nyuma. =kati ya kosa kubwa ambalo watakuja kulijutia katika historia ya chama baada ya kutoka madarakani 2015. Ni kwa chama kukubali kuanzisha huu mchakato wa katiba bila maandalizi ya kutosha. Chama cha c.c.m kimejidhalilisha na kudharaulika kwa jamii ya watanzania. -ushauri wangu kwa vyama vya upinzani vyenye nia ya kuchukua dola na kuongoza nchi baada ya kushinda 2015. 1.mteueni jaji joseph sinde warioba agombee uraisi wa nchi hii kupitia umoja wa katiba ya wananchi "ukawa".najua hili ni jambo gumu,lakini kuiondoa c.c.m madarakani inahitaji maamuzi magumu kwa maslahi ya umma wa watanzania. Ukiniuliza kwanini awe ni warioba na si mwingine,nitakujibu "hata c.c.m hawaelewi ni kwanini mzee kama warioba aliandaa rasimu ambayo inaiuwa c.c.m kutokana na mfumo wao mmbovu waliouzoea toka zama tanu"! 2.ukawa iendelee kudumu.*nawasilisha.
 
Aise nitafurahi Sana kumuona Mzee warioba anaapishwa kuwa raisi Wangu kwa sababu najua atatengeneza katiba itakayo dumu miaka 100
 
Kwa watafakuzi na wadadavuzi wa mambo walishaona kuwa c.c.m yote kwa ujumla ni dhaifu sana kwa sasa kupita vindi vyote ilivyopitia huko nyuma. =kati ya kosa kubwa ambalo watakuja kulijutia katika historia ya chama baada ya kutoka madarakani 2015. Ni kwa chama kukubali kuanzisha huu mchakato wa katiba bila maandalizi ya kutosha. Chama cha c.c.m kimejidhalilisha na kudharaulika kwa jamii ya watanzania. -ushauri wangu kwa vyama vya upinzani vyenye nia ya kuchukua dola na kuongoza nchi baada ya kushinda 2015. 1.mteueni jaji joseph sinde warioba agombee uraisi wa nchi hii kupitia umoja wa katiba ya wananchi "ukawa".najua hili ni jambo gumu,lakini kuiondoa c.c.m madarakani inahitaji maamuzi magumu kwa maslahi ya umma wa watanzania. Ukiniuliza kwanini awe ni warioba na si mwingine,nitakujibu "hata c.c.m hawaelewi ni kwanini mzee kama warioba aliandaa rasimu ambayo inaiuwa c.c.m kutokana na mfumo wao mmbovu waliouzoea toka zama tanu"! 2.ukawa iendelee kudumu.*nawasilisha.

Unajua mchakato wa katiba mpya baada ya Kura za kuipitisha bungeni, unaahirishwa na Katiba mpya haijadiliwi tena mpaka baada ya uchaguzi wa 2015?
 
Warioba ndiye mgombea ndiye mgombea rais wa ukawa hii wamepanga siku nyingi sana wakiwa dodoma wakati bunge la katiba linaanza.
 
Aise nitafurahi Sana kumuona Mzee warioba anaapishwa kuwa raisi Wangu kwa sababu najua atatengeneza katiba itakayo dumu miaka 100
Ni kweli mkuu akiwa rais wako itakuwa vizuri lakini asiwe rais wa tanzaniaakiwa wako na familia yako sawa.
 
Mambo ya King Cobra(Michael Satta) yatawezekana kweli?
 
Uliyeanzisha Uzi unafikra za mbali japo CCM hawawez kuunga mkono hoja..
 
warioba jina lake litaandikwa kwa wino wa dhahabu daima hiki chama cha ccm kwa maovu waliyoyafanya kwenye bunge la katiba kutoa maoni ya wanachi na kuingiza maoni ya ccm ipo siku Mungu atawahukumu VIJANA wenzangu tunatakiwa kujiandaa kuzunguka nchi nzima kuwaelimisha wanachi mbinu mpya za kuindoa madarakani serekali ya ccm madarakani
View attachment 188668
 
Mimi ni msomi tena sana katika maswala ya science. Nimebahatika kupata Kazi nzuri kiasi kuniwezesha kuwa na DSTV.

Vipindi ni vingi ila napenda habari za nje ya nchi.

Nimefuatilia sana Katiba ya Kenya pia nchi mbalimbali, muungano wetu ni mzuri sana na una maadui wengi ila serikali tatu ni kuvunja Muungano. Je Warioba ana hila gani na hii nchi?

Rasimu ya Katiba ilapaswa kubadilishwa kuendana na mahitaji ya kisiasa ya sasa waryoba alitaka wabunge wafanyeje?

Najua CCM haijawahi kumpitisha waziri Mkuu yoyote Kugombea Urais.

Je atagombea upinzani?

mkuu maswali kama haya ni yakuulizana na mama yako mkiwa mnaoga.
 
Utakuwa umenunua vyeti,ndio maana hujiamini mpaka ujisifie mwemyewe eti umesoma.Matendo na tabia ndio hutoa picha kamili ya msomi.Uchangiaji wako umedhihirisha kuwa wewe huna hicho ulichoingia nacho humu
 
Nimewaza sana ni namna gani tunaweza kufikia mabadiliko tunayoyahitaji kama Taifa, ni katiba bora tu inaweza kutunasua na hali tuliyonayo watanzania, hali ya umasikini katika nchi yenye utajiri, tatizo la ajira, tatizo la ufisadi na rushwa liliopindukia, katika kuwaza nimejikuta najisemea kwa nini tusimpe nchi Warioba kwa kazi moja tu maalum nayo ya kutuletea katiba mpya iliyo bora, huyu mzee anaweza, napendekeza apewe nchi kwa miaka 5 na kazi kubwa ni kutupatia katiba mpya. NAJARIBU KUWAZA.
 
Nimewaza sana ni namna gani tunaweza kufikia mabadiliko tunayoyahitaji kama Taifa, ni katiba bora tu inaweza kutunasua na hali tuliyonayo watanzania, hali ya umasikini katika nchi yenye utajiri, tatizo la ajira, tatizo la ufisadi na rushwa liliopindukia, katika kuwaza nimejikuta najisemea kwa nini tusimpe nchi Warioba kwa kazi moja tu maalum nayo ya kutuletea katiba mpya iliyo bora, huyu mzee anaweza, napendekeza apewe nchi kwa miaka 5 na kazi kubwa ni kutupatia katiba mpya. NAJARIBU KUWAZA.

Agombee kupitia chama gani? Najua ccm wenzake hawatampitisha, je UKAWA watakubali kumwachia awatangulie?
 
Back
Top Bottom