Warioba asisitiza katiba mpya Tanzania

Warioba asisitiza katiba mpya Tanzania​

WARIOBA ASISITIZA KATIBA MPYA TANZANIA | 13.07.2021​

57421551_101.jpg


Vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya Tanzania bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba ametoa himizo hilo.​

Nchini Tanzania vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba amejitokeza na kusisitiza haja ya kuwa na maridhiano yatayosaidia kupatikana kwa katiba mpya.

Hayo yanajiri wakati Rais Samia Suluhu Hassan akisisitiza kuwa ingawa utawala wake unatambua jambo hilo lakini unatoa kwanza kipaumbele katika kukuza uchumi. Hoja ya Warioba aliyeitoa katika mahojiano na kituo kimoja cha televisheni cha jijini Dar es Salaam huenda ikachangiza madai yanayoendelea kuibuliwa na wanasiasa hasa wa upinzani wanashinikiza katiba mpya.

Medani ya siasa imechukua nafasi kubwa katika himizo la katiba mpya.

55471061_101.jpg


Kiongozi wa upinzani wa Tanzania, Freeman Mbowe
Wanasiasa hao kwa nyakati tofauti wamekuwa wazitolea mwito mamlaka za serikali kufufua mchakato wa katiba hiyo mpya uliokwama tangu mwaka 2014 baada ya kufika katika bunge maalumu la katiba.

Jaji Warioba katika mahojiano hayo ingawa hakubainisha msimamo wa moja kwa moja kuhusu takwa la katiba hiyo mpya, lakini ameashiria haja ya kuendelea na mchakato huo na amewashauri wanasiasa kuwa tayari kukutana na Rais Samia ili kuanzisha majadiliano yatayofungua njia ya kumaliza mkwamo huo.

Licha ya katiba kutajwa ni hitaji la kitaifa linapaswa kuwashirikisha wananchi wa kona zote, hata wanasiasa ndio wanaonekana kulivalia njuga zaidi jambo hilo na madai yao makubwa yanaangukia juu ya kutaka tume huru ya uchaguzi, mshindi wa urais awe ni yule anayepata zaidi ya asilimia 50 ya kura na matokeo ya uchaguzi wa urais kuhojiwa mahakamani.

Fikra ya kugawika wanasiasa kimtazamo Tanzania.

Kwa upande mwingine, hatua ya Jaji Warioba kutaka wanasiasa kuwa tayari kuanzisha majadiliano na Rais Samia kuhusu hoja zao hizo, baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wamegawika katika kulijadili jambo hili. Mathalani, mwanasiasa na mchambuzi wa mambo, Sammy Ruhuza amesema anaepinga suala la katiba mpya anajiweka mbali na wananchi.

Wanasiasa wa upinzani wanadai kuwa katiba ya sasa iliyondikwa mwaka 1977 na baadaye kufanyiwa mabadiliko kadhaa ikiwemo ya mwaka 1992 kuruhusu mfumo wa vyama vingi inatoa upendelea kwa chama tawala CCM.

Chama hicho tawala ingawa katika ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2015 -2020 iliweka kipengele cha kuendelea na mchakato wa katiba na baadaye kipengele hicho kuondolewa kwenye ilani iliyofuata kimekuwa kikisitiza kuwa katiba ya sasa ni bora na inapendekeza kuendelea nayo.
The constitutional reform is indispensable and unstoppable despite of desperate efforts from CCM to delay it.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK

Warioba asisitiza katiba mpya Tanzania​

WARIOBA ASISITIZA KATIBA MPYA TANZANIA | 13.07.2021​

57421551_101.jpg


Vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya Tanzania bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba ametoa himizo hilo.​

Nchini Tanzania vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba amejitokeza na kusisitiza haja ya kuwa na maridhiano yatayosaidia kupatikana kwa katiba mpya.

Hayo yanajiri wakati Rais Samia Suluhu Hassan akisisitiza kuwa ingawa utawala wake unatambua jambo hilo lakini unatoa kwanza kipaumbele katika kukuza uchumi. Hoja ya Warioba aliyeitoa katika mahojiano na kituo kimoja cha televisheni cha jijini Dar es Salaam huenda ikachangiza madai yanayoendelea kuibuliwa na wanasiasa hasa wa upinzani wanashinikiza katiba mpya.

Medani ya siasa imechukua nafasi kubwa katika himizo la katiba mpya.

55471061_101.jpg


Kiongozi wa upinzani wa Tanzania, Freeman Mbowe
Wanasiasa hao kwa nyakati tofauti wamekuwa wazitolea mwito mamlaka za serikali kufufua mchakato wa katiba hiyo mpya uliokwama tangu mwaka 2014 baada ya kufika katika bunge maalumu la katiba.

Jaji Warioba katika mahojiano hayo ingawa hakubainisha msimamo wa moja kwa moja kuhusu takwa la katiba hiyo mpya, lakini ameashiria haja ya kuendelea na mchakato huo na amewashauri wanasiasa kuwa tayari kukutana na Rais Samia ili kuanzisha majadiliano yatayofungua njia ya kumaliza mkwamo huo.

Licha ya katiba kutajwa ni hitaji la kitaifa linapaswa kuwashirikisha wananchi wa kona zote, hata wanasiasa ndio wanaonekana kulivalia njuga zaidi jambo hilo na madai yao makubwa yanaangukia juu ya kutaka tume huru ya uchaguzi, mshindi wa urais awe ni yule anayepata zaidi ya asilimia 50 ya kura na matokeo ya uchaguzi wa urais kuhojiwa mahakamani.

Fikra ya kugawika wanasiasa kimtazamo Tanzania.

Kwa upande mwingine, hatua ya Jaji Warioba kutaka wanasiasa kuwa tayari kuanzisha majadiliano na Rais Samia kuhusu hoja zao hizo, baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wamegawika katika kulijadili jambo hili. Mathalani, mwanasiasa na mchambuzi wa mambo, Sammy Ruhuza amesema anaepinga suala la katiba mpya anajiweka mbali na wananchi.

Wanasiasa wa upinzani wanadai kuwa katiba ya sasa iliyondikwa mwaka 1977 na baadaye kufanyiwa mabadiliko kadhaa ikiwemo ya mwaka 1992 kuruhusu mfumo wa vyama vingi inatoa upendelea kwa chama tawala CCM.

Chama hicho tawala ingawa katika ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2015 -2020 iliweka kipengele cha kuendelea na mchakato wa katiba na baadaye kipengele hicho kuondolewa kwenye ilani iliyofuata kimekuwa kikisitiza kuwa katiba ya sasa ni bora na inapendekeza kuendelea nayo.
Watanzania wengi kama sio wengi sana, wote tunajua shinikizo la uhitaji wa Katiba Mpya ni KUTOKA KWA VIONGOZI WA UPINZANI! Kwa nini wanatoa shinikizo hilo la kutaka Katiba Mpya!? Jibu ni rahisi sana, viongozi hao wanadhani kuwa KUSHINDWA KWAO kwenye chaguzi mbalimbali au chaguzi zote ni kwa sababu ya hii Katiba ya SASA! Wadhani ikipatikana Katiba Mpya WATATOBOA! Thubutu! Hayo ndiyo mawazo yao, halafu sababu nyingine, ni kuwa wanataka POSHO! Walishaonja ASALI SASA WANATAKA KUCHONGA MBUYU! Hawa, wengi wao walishiriki kwenye MCHAKATO, WAKALA ILE MIPOSHO, sasa wanaitaka hiyo miposho tena! Kwa sababu shinikizo lao hili likikubaliwa, "watadai liitishwe Bunge la Katiba ili kurekebisha mambo fulani fulani eti kwa kisingizio ni muda mrefu umepita tangu Bunge lile liipitishe ile Katiba Pendekezwa kwa ajili ya Kura ya Maoni". Hii ndiyo hatua ya pili watakayo kuja nayo IKIWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA ITAINGIA MKENGE HUU! Iam just thinkinig ALOUD. Subirini muone!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 UPUUZI MTUPU!! Butiku na Warioba ambao nao ni maccm wanavyosisitiza umuhimu wa kuwa na katiba mpya wanataka nini? Wapuuzi kama wewe mnafurahia kuishi katika nchi ambayo haina HAKI NA UHURU, vyombo vya habari havina uhuru, Watanzania hawana uhuru wa kuchagua Viongozi mbali mbali wawatakao katika chaguzi. Chaguzi zimejaa hila, vitisho, wizi na hata mauaji ili tu genge la wahuni wa maccm waendelee kung’ang’ania madarakani.
654E6A6A-6A9F-4EA1-A21B-1017BE499C8F.jpeg

Watanzania wengi kama sio wengi sana, wote tunajua shinikizo la uhitaji wa Katiba Mpya ni KUTOKA KWA VIONGOZI WA UPINZANI! Kwa nini wanatoa shinikizo hilo la kutaka Katiba Mpya!? Jibu ni rahisi sana, viongozi hao wanadhani kuwa KUSHINDWA KWAO kwenye chaguzi mbalimbali au chaguzi zote ni kwa sababu ya hii Katiba ya SASA! Wadhani ikipatikana Katiba Mpya WATATOBOA! Thubutu! Hayo ndiyo mawazo yao, halafu sababu nyingine, ni kuwa wanataka POSHO! Walishaonja ASALI SASA WANATAKA KUCHONGA MBUYU! Hawa, wengi wao walishiriki kwenye MCHAKATO, WAKALA ILE MIPOSHO, sasa wanaitaka hiyo miposho tena! Kwa sababu shinikizo lao hili likikubaliwa, "watadai liitishwe Bunge la Katiba ili kurekebisha mambo fulani fulani eti kwa kisingizio ni muda mrefu umepita tangu Bunge lile liipitishe ile Katiba Pendekezwa kwa ajili ya Kura ya Maoni". Hii ndiyo hatua ya pili watakayo kuja nayo IKIWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA ITAINGIA MKENGE HUU! Iam just thinkinig ALOUD. Subirini muone!
 
Y
Katiba mpya ni hitaji la watanzania hivyo halina mjadala ni lazima ipatikane ni suala la muda tu
Yaaah uko sahihi upatikanaji wa Katiba Mpya ni "suala la muda tu"! Basi wasubiri, wasiipe Serikali yetu SHINIKIZO itende "kwa muda wao", Serikali itatenda "kwa muda wake" kama alivyosema Rais Samia Suluhu Hassani. Tusubiri tufanye ya maana zaidi ya hili la Katiba Mpya jamani.
 
Mfumo wa vyama vingi una miaka 30 sasa hili genge la wahuni wa maccm kama lilikuwa na nia ya kweli ya kuhakikisha katiba mpya inayoendana na mfumo wa vyama vingi kwanini imeshindwa kufanya hivyo kwa miongo mitatu!?
Yaaah uko sahihi upatikanaji wa Katiba Mpya ni "suala la muda tu"! Basi wasubiri, wasiipe Serikali yetu SHINIKIZO itende "kwa muda wao", Serikali itatenda "kwa muda wake" kama alivyosema Rais Samia Suluhu Hassani. Tusubiri tufanye ya maana zaidi ya hili la Katiba Mpya jamani.
 
TU
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 UPUUZI MTUPU!! Butiku na Warioba ambao nao ni maccm wanavyosisitiza umuhimu wa kuwa na katiba mpya wanataka nini? Wapuuzi kama wewe mnafurahia kuishi katika nchi ambayo haina HAKI NA UHURU, vyombo vya habari havina uhuru, Watanzania hawana uhuru wa kuchagua Viongozi mbali mbali wawatakao katika chaguzi. Chaguzi zimejaa hila, vitisho, wizi na hata mauaji ili tu genge la wahuni wa maccm waendelee kung’ang’ania madarakani.
View attachment 1889567
Hili suala linataka hoja siyo matusi au majibu ya mkato mkato. Suala la UPUUZI linatoka wapi! Halafu kila mtu anayo haki ya kusema lolote atakalo, huo ndio uhuru wa kujieleza na utekelezaji wa dhana ya haki yako ya kidemokrasia na uhuru wa kujieleza, kama alivyo fanya Comrade Bashe!
 
Hukuona hoja? Sasa kama unaonyesha upuuzi unataka NIREMBE? Matusi mnayaona sana lakini udhalimu na dhuluma za hadharani hamzioni.
miaka 30 sasa bado hakuna katiba mpya hilo hulioni halafu unakuja hapa kuandika ujinga wako.
Hili suala linataka hoja siyo matusi au majibu ya mkato mkato. Suala la UPUUZI linatoka wapi! Halafu kila mtu anayo haki ya kusema lolote atakalo, huo ndio uhuru wa kujieleza na utekelezaji wa dhana ya haki yako ya kidemokrasia na uhuru wa kujieleza, kama alivyo fanya Comrade Bashe!
 
Katiba ni moyo wa taifa na ustawi wake hivyo ni muhimu kuliangalia hili shida ni kwamba CCM wanaona wakikubali agenda ya katiba mpya basi wanatekeleza agenda ya CDM hapa ndo mzizi wa fitina upo
 
Hukuona hoja? Sasa kama unaonyesha upuuzi unataka NIREMBE? Matusi mnayaona sana lakini udhalimu na dhuluma za hadharani hamzioni.
miaka 30 sasa bado hakuna katiba mpya hilo hulioni halafu unakuja hapa kuandika ujinga wako.
Ujinga unaoandika humu na hasa kuhusu hili la Katiba Mpya siyo mawazo yako, wewe umelishwa na kuaminishwa useme tu haya maneno usemayo. Anayekulipa ndiyo mwenye kosa wewe ni kama kasuku tu. Pole sana!
 
Una akili finyu sana wewe!! Hunijui lakini umeweza kuhitimisha kwamba haya si mawazo yangu binafsi. Endelea kuamini huo upuuzi wako. Nimo humu mwaka wa 14 sasa na muda wote huo msimamo wangu kuhusu genge la wahuni wa maccm ambao ni maadui wakubwa wa Watanzania haujabadilika na wala hautabadilika.
Wapuuzi na wachumia tumbo kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa. Mmeweka mbele njaa na matumbo yenu ya maslahi ya Taifa.
Miaka 60 ya uhuru nchi ina rasilimali chungu nzima lakini haina chochote kile cha kujivunia. Ajira, elimu, afya, usafiri, huduma muhimu maji, umeme etc zote ni hovyo hovyo tu lakini ZWAZWA wewe huoni hilo bado unapiga makofi maccm ni nambari one.
Ujinga unaoandika humu na hasa kuhusu hili la Katiba Mpya siyo mawazo yako, wewe umelishwa na kuaminishwa useme tu haya maneno usemayo. Anayekulipa ndiyo mwenye kosa wewe ni kama kasuku tu. Pole sana!
 
Una akili finyu sana wewe!! Hunijui lakini umeweza kuhitimisha kwamba haya si mawazo yangu binafsi. Endelea kuamini huo upuuzi wako. Nimo humu mwaka wa 14 sasa na muda wote huo msimamo wangu kuhusu genge la wahuni wa maccm ambao ni maadui wakubwa wa Watanzania haujabadilika na wala hautabadilika.
Wapuuzi na wachumia tumbo kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa. Mmeweka mbele njaa na matumbo yenu ya maslahi ya Taifa.
Miaka 60 ya uhuru nchi ina rasilimali chungu nzima lakini haina chochote kile cha kujivunia. Ajira, elimu, afya, usafiri, huduma muhimu maji, umeme etc zote ni hovyo hovyo tu lakini ZWAZWA wewe huoni hilo bado unapiga makofi maccm ni nambari one.
Sawa kabisa umekuwa ukiendeshwa na akina TOBO kwa miaka yote hiyo 14 kwa sababu kabla hujaja wewe humu JF, akina TOBO na GAIDI walikuwepo na wakakutumia kuanzia hapo hadi leo bado wanakutumia. Hongera sana kwa kutumika for all those 14 years! Asiye taka kuona hata ukimpa hadubini ya Kirusi inayoona anga za juu hawezi kuona. Wenzako walikuwa hivyo hivyo lakini sasa wanaona na kuzikubali sera za CCM. By the way mjengo wa pale Ufipa unaendeleaje? Mmeshindwa kujenga ofisi, mkipewa li- nchi hili mtaliweza kweli!?
 

Warioba asisitiza katiba mpya Tanzania​

WARIOBA ASISITIZA KATIBA MPYA TANZANIA | 13.07.2021​

57421551_101.jpg


Vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya Tanzania bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba ametoa himizo hilo.​

Nchini Tanzania vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba mpya bado liko juu na safari hii, waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba amejitokeza na kusisitiza haja ya kuwa na maridhiano yatayosaidia kupatikana kwa katiba mpya.

Hayo yanajiri wakati Rais Samia Suluhu Hassan akisisitiza kuwa ingawa utawala wake unatambua jambo hilo lakini unatoa kwanza kipaumbele katika kukuza uchumi. Hoja ya Warioba aliyeitoa katika mahojiano na kituo kimoja cha televisheni cha jijini Dar es Salaam huenda ikachangiza madai yanayoendelea kuibuliwa na wanasiasa hasa wa upinzani wanashinikiza katiba mpya.

Medani ya siasa imechukua nafasi kubwa katika himizo la katiba mpya.

55471061_101.jpg


Kiongozi wa upinzani wa Tanzania, Freeman Mbowe
Wanasiasa hao kwa nyakati tofauti wamekuwa wazitolea mwito mamlaka za serikali kufufua mchakato wa katiba hiyo mpya uliokwama tangu mwaka 2014 baada ya kufika katika bunge maalumu la katiba.

Jaji Warioba katika mahojiano hayo ingawa hakubainisha msimamo wa moja kwa moja kuhusu takwa la katiba hiyo mpya, lakini ameashiria haja ya kuendelea na mchakato huo na amewashauri wanasiasa kuwa tayari kukutana na Rais Samia ili kuanzisha majadiliano yatayofungua njia ya kumaliza mkwamo huo.

Licha ya katiba kutajwa ni hitaji la kitaifa linapaswa kuwashirikisha wananchi wa kona zote, hata wanasiasa ndio wanaonekana kulivalia njuga zaidi jambo hilo na madai yao makubwa yanaangukia juu ya kutaka tume huru ya uchaguzi, mshindi wa urais awe ni yule anayepata zaidi ya asilimia 50 ya kura na matokeo ya uchaguzi wa urais kuhojiwa mahakamani.

Fikra ya kugawika wanasiasa kimtazamo Tanzania.

Kwa upande mwingine, hatua ya Jaji Warioba kutaka wanasiasa kuwa tayari kuanzisha majadiliano na Rais Samia kuhusu hoja zao hizo, baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wamegawika katika kulijadili jambo hili. Mathalani, mwanasiasa na mchambuzi wa mambo, Sammy Ruhuza amesema anaepinga suala la katiba mpya anajiweka mbali na wananchi.

Wanasiasa wa upinzani wanadai kuwa katiba ya sasa iliyondikwa mwaka 1977 na baadaye kufanyiwa mabadiliko kadhaa ikiwemo ya mwaka 1992 kuruhusu mfumo wa vyama vingi inatoa upendelea kwa chama tawala CCM.

Chama hicho tawala ingawa katika ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2015 -2020 iliweka kipengele cha kuendelea na mchakato wa katiba na baadaye kipengele hicho kuondolewa kwenye ilani iliyofuata kimekuwa kikisitiza kuwa katiba ya sasa ni bora na inapendekeza kuendelea nayo.
Tafadhali acheni Kumchonganisha Mzee wa Watu Waziri Mkuu na Jaji Mstaafu Warioba na Rais ( Mwenyekiti CCM Taifa ) Samia pamoja na Chama chake Tawala.
 
Kwa ufinyu wa akili yako kwa kuwa wewe mganga njaa na mchumia tumbo unatumika ili ugange njaa zako basi unadhani kila mtu anafanya huo ujinga. Maslahi ya Tanzania ZWAZWA wewe umeyaweka pembeni kabisa ili tu uendele kurushiwa makombo na hao wanaokutumia ili waweze kuendelea kuivuruga Tanzania.
Nyie wenye ofisi nzuri sana madarakani miaka 60 ni cha maana mlichokifanya kwa Watanzania zaidi ya Sera MUFILISI? Mwaka wa sita huu Wafanyakazi hawana nyongeza ya mishahara, ajira hata kwa graduates hakuna, pesa mtaani hakuna, kodi ni kubwa kuliko nchi yoyote ile jirani. Dhuluma na udhalimu kwa Wafanyakazi. Wakulima na Wafanyabishara kila kukicha lakini MPUMBAVU wewe huyaoni yote hayo.
Sawa kabisa umekuwa ukiendeshwa na akina TOBO kwa miaka yote hiyo 14 kwa sababu kabla hujaja wewe humu JF, akina TOBO na GAIDI walikuwepo na wakakutumia kuanzia hapo hadi leo bado wanakutumia. Hongera sana kwa kutumika for all those 14 years! Asiye taka kuona hata ukimpa hadubini ya Kirusi inayoona anga za juu hawezi kuona. Wenzako walikuwa hivyo hivyo lakini sasa wanaona na kuzikubali sera za CCM. By the way mjengo wa pale Ufipa unaendeleaje? Mmeshindwa kujenga ofisi, mkipewa li- nchi hili mtaliweza kweli!?
 
Kwa ufinyu wa akili yako kwa kuwa wewe mganga njaa na mchumia tumbo unatumika ili ugange njaa zako basi unadhani kila mtu anafanya huo ujinga. Maslahi ya Tanzania ZWAZWA wewe umeyaweka pembeni kabisa ili tu uendele kurushiwa makombo na hao wanaokutumia ili waweze kuendelea kuivuruga Tanzania.
Unachofanya wewe kwa miaka 14 hukioni!? Be independent BAK acha kutumika. It will cost you. Unaoneshwa haya ya sasa na akina Tobo na wewe unayalipukia, acha hizo zita kucost!
 
hv kwann nchi hii mmejaa majuha hv???
Watanzania wengi kama sio wengi sana, wote tunajua shinikizo la uhitaji wa Katiba Mpya ni KUTOKA KWA VIONGOZI WA UPINZANI! Kwa nini wanatoa shinikizo hilo la kutaka Katiba Mpya!? Jibu ni rahisi sana, viongozi hao wanadhani kuwa KUSHINDWA KWAO kwenye chaguzi mbalimbali au chaguzi zote ni kwa sababu ya hii Katiba ya SASA! Wadhani ikipatikana Katiba Mpya WATATOBOA! Thubutu! Hayo ndiyo mawazo yao, halafu sababu nyingine, ni kuwa wanataka POSHO! Walishaonja ASALI SASA WANATAKA KUCHONGA MBUYU! Hawa, wengi wao walishiriki kwenye MCHAKATO, WAKALA ILE MIPOSHO, sasa wanaitaka hiyo miposho tena! Kwa sababu shinikizo lao hili likikubaliwa, "watadai liitishwe Bunge la Katiba ili kurekebisha mambo fulani fulani eti kwa kisingizio ni muda mrefu umepita tangu Bunge lile liipitishe ile Katiba Pendekezwa kwa ajili ya Kura ya Maoni". Hii ndiyo hatua ya pili watakayo kuja nayo IKIWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA ITAINGIA MKENGE HUU! Iam just thinkinig ALOUD. Subirini muone!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
hv mbna unaonesha ujahil hv hadharan???
Y

Yaaah uko sahihi upatikanaji wa Katiba Mpya ni "suala la muda tu"! Basi wasubiri, wasiipe Serikali yetu SHINIKIZO itende "kwa muda wao", Serikali itatenda "kwa muda wake" kama alivyosema Rais Samia Suluhu Hassani. Tusubiri tufanye ya maana zaidi ya hili la Katiba Mpya jamani.
 
Back
Top Bottom