Warioba Anataka Nini Hasa?

Warioba Anataka Nini Hasa?

Ndiyo maana hata serikali ilimshinda wakati akiwa waziri mkuu mpaka akajiudhuru wadhifa wake ni miongoni mwa watu wa hovyo kabisa wanaopenda kulazimisha mambo hata kama hayana maana yapite.

Update me hivi Warioba alijiuzuru eehh, ilikuwa mwaka gani?je Mwinyi hajawahi kujiuzuru na baadaye kuwa rais wa JMT?trivial minds discuss people and not issues, no man is an island na Jaji Warioba hakuwa mwenyewe kwenye tume, hence grow up you and your intarahamwe party, stop personal attack.
 
- Unajua ni makosa makubwa sana kujibu mada ambayo hujaielewa ndio matokeo yake unajionyesha mwenyewe kwamba ni akili yako mwenyewe ndio ndogo soma tena mada kabla ya kujibu kaka!!

- Halafu uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana ungakuwa mkubwa ungeelewa kwamba hakuna mjumbe yoyote wa Tume ya Rasimu anyehangaika zaidi ya Warioba tu WHY?

Le Mutuz System

Sina haja ya kusoma kila ulichoandika maana maudhui yako yalilenga kwenye kutuonyesha kuwa wewe ni MWANDISHI wa Gazeti la JAMBA LEO!... inawezekana wenzio hawakuambii ukweli; mtazamo wako na aina hii ya uandishi kamwe huwezi kulipaisha JAMBA LEO bali unaiangamiza kwani hata wale wapenzi wa udaku watalikimbia soon...
 
Basi tu simu yangu haina kitufe cha kulike, sometimes unatema ishu bila kuegemea upande wowote, unaongea fact tupu.
The Mutuz, tatizo kubwa la wajumbe wa katiba wa mtazamo wako wameacha kuongelea agenda zilizopo mezani na kuanzisha agenda mpya. 1. Kuvunja muungano,2. Warioba.3. Kuleta vita. Hizi ndo agenda mpya zilizoanzishwa na kuchangiwa sana na wajumbe wa dini mpya 'waumini wa serikali 2'. Kwa personal attacks zinavyo fulumushwa kwa mzee warioba ni lazima na yeye ajitetee. Platform ya kujibia hizo tuhuma mpya anazorushiwa bunge la muungano liliiondoa pale lilipo kataa wajumbe wa tume mwisho wao ni siku watakapo wasilisha ripoti, sasa akasemee wapi? Mh. Makamba aliandika kwenye fb page yake kuwa watatumia wingi wao 'ccm'kulinda muungano. Hilo ndo tunalo liona linatokea hakuna pointi bali ni vijembe, matusi, kebehi na vitisho kwa sana. Hayo yote hayatalijenga taifa kabisa. Kama sampling ya watu elfu 17 kutoka kona mbali mbali za tz inakataliwa basi ya watu 400 wenye malengo na mtazamo mmoja ndo haifai kabisa
 
Mkuu Matola usiwe na hofu kabisa! !!!

Jukwaani hatupandi wananchi wote ila imefika muda wa kujulishana kuwa despite watu wapo kimya ila uelewa ni mkubwa sana sasa hili halitimii mpaka washindwe woooote kwa njia zote tena kwa hoja ili ukweli udhihiri na objectivity iwe norm of the day! !!!!!

Nchi imekuwa too political hata kwa yanayohitaji ujuzi,hatuwezi kwenda mbele so acha zijae thread ili mawe yote yageuzwe "unapopewa mchele kidogo ndani ya ungo mkubwa uwezekano wa kuona chuya na mawe huongezeka, acha thread zije mkuu"
nimekusoma mkuu wangu pamoja na kuwa miruzi mingi humpoteza mbwa lakini acha twende hivyohivyo tu.

Mchambuzi karibu jamvini.
 
Last edited by a moderator:
Usiseme Warioba ana vita na Taifa, ana vita na CCM na ni kutokana na kusema ukweli, CCM hampendi ukweli that's ur nature,,,
 
Mzee Malechela alikuwa anafanya biashara gani zaidi ya utumishi wa UMA akitumbua na kujenga nyumba kutokana na kodi za hawa unaowatukana sasa ? h
 
Warioba ni CCM damudamu, Rais alimwamini, anafanya kazi nzuri tena ana hofu ya Mungu. Amewakilisha hoja kwa niaba ya Rais na serikali yake. Hofu ya nini? Basi angeituma NEc ya CCM!
 
Umeandika uzi mrefu pasina umuhimu. Huyu mzee kwanza anahisoria kubwa barani Africa hivyo wapaswa kumuheshimu na kalitumikia taifa hili vema. Pili huyu mzee anachofanya ni kutoa ufafanuzi wa baadhi ya mambo muhimu kama anavouliizwa na media.

- Mkuu unaonekana upo sober sana please tell me wewe umewahi kuona wapi somthing like this, yaani kila kukicha Warioba yupo kwenye media kupingana na wasio na mawazo kama yake, I mean this is strange Warioba ameongoza kamati nyingi sana na zote hakuna hata moja iliyowahi kutekeleza aliyokusanya lakini hajapiga kelele why this one? Kuna nini hasa behind all these?

- I mean ninarudia tena kwenye Criminology tunasema kuna something bigger that what we are seeing what is that?

Le Mutuz System
 
Huyu demu Faizafoxy anakuzimikia sana wewe hujui tu.

Mtafute umtimizie haja ya mtima wake!

Kweli kabisa. hata Jussa alisema baada ya kuambiwa ajaoa kuwa Kuna utaratimu upo kwenye vitabu vya dini unao ruhusu kumsaidia Faizafoxy na ni sunna.
 
Warioba yeye lengo lake ni kuvunja nchi halafu matakwa yao yaweze kutimia kadri wanavyotaka na jamaa zake japo siamini kama atafanikiwa katika hili huwezi kusema maoni ya wananchi halafu ukaendelea kuwasemea watu wenye maoni yao.

huyu mzee anachoshangaza ni kitendo cha kusema watanzania wanataka serikali tatu wakati wapo wanataka serikali mbili na wengine moja lakini pia wapo wanataka mkataba yeye hili hitimisho la serikali tatu kalito wapi.

Maoni ya walio wengi
 
Sina haja ya kusoma kila ulichoandika maana maudhui yako yalilenga kwenye kutuonyesha kuwa wewe ni MWANDISHI wa Gazeti la JAMBA LEO!... inawezekana wenzio hawakuambii ukweli; mtazamo wako na aina hii ya uandishi kamwe huwezi kulipaisha JAMBA LEO bali unaiangamiza kwani hata wale wapenzi wa udaku watalikimbia soon...

- Kaka haya ni mawazo yako mgando yasiyokuwa na utafiiti kumbuka Mao Tsetung alisema nini kaka NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK, ungenyamaza unhejisaidia sana kaka!!

Le Mutuz System
 
Warioba mimi nampuuza tu kama ninavyowapuuza watu wengine wenye malengo ya kuingiza nchi kwenye matatizo kama anavyofanya warioba.

Acha unafiki jibuni hoja za Warioba, tatizo lenu hamjui kuwa kila walichokikusanya tume ya Maoni ya katiba Rais alijulishwa hata hizo draft zpte alizibariki akiwa kama mtu aliyeteua tume hivyo ailieajibika kwa JK. Tuache siasa uchwara zisizo na nidhamu kuwatukana watu wazima ambao wameongoza nchi hii kwa nidhamu kubwa.
 
Warioba yeye lengo lake ni kuvunja nchi halafu matakwa yao yaweze kutimia kadri wanavyotaka na jamaa zake japo siamini kama atafanikiwa katika hili huwezi kusema maoni ya wananchi halafu ukaendelea kuwasemea watu wenye maoni yao.

huyu mzee anachoshangaza ni kitendo cha kusema watanzania wanataka serikali tatu wakati wapo wanataka serikali mbili na wengine moja lakini pia wapo wanataka mkataba yeye hili hitimisho la serikali tatu kalito wapi.

Uchungu mkubwa wa Warioba ni kwa nini Zanzibar imekuwa nchi.

Jana nimemsikiliza vizuri sana, kafikia kusema ingekuwa Mwalim yuko hapa angekubali kuwa na Rais mwengine anaepigiwa mizinga 21?

Warioba amefikia kusema Zanzibar haikuwa nchi, nchi ilikuwa moja tu.

Mnaofikiri kuwa Warioba anawatakia mema hamjamsoma between the lines.

Nia ya Warioba ni Zanzibar kudhibitiwa na tatizo lake sio kuwa na Serikali ya Tanganyika. Hana tatizo na jina, hana tatizo na bendera, hana tatizo na nembo. Tatizo lake mizinga 21, kwanini nchi unayoitawala Rais wake apigiwe mizinga 21?

Amefikia kusema kuwa Zanzibar iko juu ya katiba ya Muungano. Hapo sasa.

Lengo la Warioba ni iwe nchi moja, Serikali moja, hii ya Serikali 3 ni geresha yake tu na anatumia mbinu ya kizamani ya kuchonganisha. Lakini misukule wengi wameingia kichwa kichwa.

Serikali 1, nchi moja, Zanzibar kuwa mkoa ndio matamanio ya Warioba aanze vipi kwa hilo? anasema Zanzibar hilo hawalikubali kabisa, njia mbadala? kuanzisha chokochoko nchi itawaliwe kijeshi, shortcut ya kufikia nchi moja. Na ni ndoto ya Nyerere, kuifanya nchi yenye Waislaam 99% kuwa nchi isiyo na dini. Hapo utakatifu njia nyeupeeeeeee.
 
- mkuu unaonekana upo sober sana please tell me wewe umewahi kuona wapi somthing like this, yaani kila kukicha warioba yupo kwenye media kupingana na wasio na mawazo kama yake, i mean this is strange warioba ameongoza kamati nyingi sana na zote hakuna hata moja iliyowahi kutekeleza aliyokusanya lakini hajapiga kelele why this one? Kuna nini hasa behind all these?

- i mean ninarudia tena kwenye criminology tunasema kuna something bigger that what we are seeing what is that?

Le mutuz system

think big
 
Warioba ametoa maswali ambayo wanaotaka serikali mbili wanatakiwa wayajibu. Hakuna aliyejibu hadi sasa!
 
Acha unafiki jibuni hoja za Warioba, tatizo lenu hamjui kuwa kila walichokikusanya tume ya Maoni ya katiba Rais alijulishwa hata hizo draft zpte alizibariki akiwa kama mtu aliyeteua tume hivyo ailieajibika kwa JK. Tuache siasa uchwara zisizo na nidhamu kuwatukana watu wazima ambao wameongoza nchi hii kwa nidhamu kubwa.

- Tatizo hata Warioba hawezi kujibu hoja za Serikali 2, uamuzi wa wananchi Warioba sio msemaji wao ndipo ninapopata shida kumuelewa ninaamini ana washauri siajui wanamshauri vipi maana this is more than maoni now!!

Le Mutuz System
 
Ninachoshindwa kuwaelewa watu wengine, tena vijana wadogo, ni pale wanapoona si halali kumkosea heshima mzee wetu Marehemu Mwalimu Nyerere lakini wanaona ni sahihi kumtukana na kumkashifu Mzee Warioba na Wazee wengine wote waliokuwa kwenye Tume kwa sababu tu wana maoni tofauti na yale ya wananchi waliohojiwa na Tume.
 
Back
Top Bottom