Faiza, umewemleta hapa huyu kihiyo na hoyuba yake ili abishane na Malechela au Warioba?
maana vitu anavyoongea yeye mwenyewe haelewi anasema nini!!
" Mambo wanayoyataka wa Zenji watawapa!" siku zote walikuwa wapi kuwapa?
Inakuwaje ZNZ ndo wapewe, wasio wa Zenji je?
Mtu mzima kama Warioba nakuja na hoja kama vile hakwenda shule eti:-
-Wewe ni mtanzania ila kama sio mzanzibar huwezi kupata aridhi znz pia huwezi kupiga kura znz
Ila kwao wakija tanganyika ni kinyume chake
-Takwimu ni za kweli ni kwanini kwa nyalali na kwa kisanga hawakusema twakimu ni za uwongo?
-anasema kipindi cha nyuma wanajeshi walikuwa choka mbaya lakin hawakufikir kupindua nchi kwa hiyo hoja ya kupindua nchi kwa sababu ya serikal tatu haitakuwa na fedha ya kuwalipa haina mashiko
-Wasizungumzie takwimu au gharama watafute majibu ya hoja na maswali
-Warioba amesema mwalimu akirudi ghafla akakuta maraisi wawili wanapigiwa mizinga 21 angeshangaa sana"
Warioba eti anasema "wasizungumzie takwimu au gharama watafute majibu ya hoja na maswali"
hivi kweli kuchakachua takwimu siyo hoja? au gharama siyo hoja? Warioba amejidhalilisha kweli.
Really??!!!Mimi warioba hanishangazi sana siku zote ni mtu wa hila na kupenda sifa bandia....muulize mwinyi na wassira wanamjua warioba
Utanganyika utakupatia tonge? Tanganyika ni jina tu kwa taarifa yako Tanganyika ni jina la kimanyema na wamanyema asili yao Congo kwa hiyo Tanganyika ni jina la Kikongo ndiyo maana kule Kigoma waliongoza kwa kudai Serikali tatuAcha kutumiwa kijana jitambue hata hao Wazanzibar wanawaona hamnazo iweje ujikane Utanganyika wako wakati wao wanatukuza Uzanzibar wao! Swala la takwimu hujuji hesabu ndo maana unakomaa nalo
Waliopo madarakani au waliopo CCM?Nimemleta ili wana JF walio Waislaam waelewe jinsi Waislaam wanavyotazamwa kwa mtazamo upi na Wakristo waliopo madarakani.
Ikiwa William Lukuvi ana hofu na Zanzibar kwa kuwa tu ni Waislaam, vipi wa hapa Tanganyika? hana hofu nao?
Utanganyika utakupatia tonge? Tanganyika ni jina tu kwa taarifa yako Tanganyika ni jina la kimanyema na wamanyema asili yao Congo kwa hiyo Tanganyika ni jina la Kikongo ndiyo maana kule Kigoma waliongoza kwa kudai Serikali tatu
Utanganyika utakupatia tonge? Tanganyika ni jina tu kwa taarifa yako Tanganyika ni jina la kimanyema na wamanyema asili yao Congo kwa hiyo Tanganyika ni jina la Kikongo ndiyo maana kule Kigoma waliongoza kwa kudai Serikali tatu
Mimi warioba hanishangazi sana siku zote ni mtu wa hila na kupenda sifa bandia....muulize mwinyi na wassira wanamjua warioba
Utanganyika utakupatia tonge? Tanganyika ni jina tu kwa taarifa yako Tanganyika ni jina la kimanyema na wamanyema asili yao Congo kwa hiyo Tanganyika ni jina la Kikongo ndiyo maana kule Kigoma waliongoza kwa kudai Serikali tatu
Kisoda Hakuna aliyesema Tume iwahoji watu wote Acha Akili Za Pumba! mnadanganya watu tu!
Watoe HESABU SAHIHI KWA HAO HAO WALIOHOJIWA BAASI!
Walihoji Watu 371000 wote kama Muundo wa Muungano ungekuwa ni Tatizo la KIKATIBA wangeuzungumzia tuuu, UHURU huo walikuwa nao NDIO kuwa Hawakuuzungumzia Ina Maana Kwao Haukuwa Jambo la Kusumbua Akili AMA Kikwazo Kwao !
Iweje Leo watu 17000 waliotoka Serikali 3 Kati ya 371000 na zaidi ULIOWAHOJI UTWAMBIE ETI NI ASILIMIA 60% HESABU ZA KIMWINYI hizo kama alilosema NYERERE 1+1=3